Slot: not that difficult to plan” to face Unai Emery’s Aston Villa as the Spaniard “has played in a similar style for years”.
Hii kauli unaweza kuona kama mpinzani amechukuliwa kiwepesi but it had happened yesterday.
Slot anafuatilia mpinzani wake in details na ndio mana Villa kila wakijaribu kuja na plan ya kutushambulia au kutuzuia ilikuwa rahisi kwa Slot kuwajibu na hiyo jibu lake ni hili njoo na nyingine.
Jana build ilafanywa narrowly structure Bradley anasogea karibu na Ibou, Robbo karibu na Vvd na ball movements zinafanyika kwa muundo huo, mpira uki RHS Bradley anavutika chini Robbo anavutika upande pia kufuata ball move and vice verse, mbele yao anasimama Gravern na Macca, Kazi ya Vvd, Ibou Bradley, Robbo ni kupiga 1 pass nyuma ya mstari wa kwanza wa Villa kwa Gravern au Macca baada ya hapo imeisha, why?? Villa waliacha spaces nyingi btn foward line & MF line ilikuwa easy kwa Gravern with one turn and its over.
Villa walikuja na 4-3-3 without the ball kwa muda mrefu kipindi cha kwanza ikawa rahisi kupita. Hata LFC waliacha Spaces ila as Slot said its not difficult ku plain vs Emery.
One counter and killed them (hii toka era ya klopp we were beast kwenye counter) So Slot applied it yesterday where it due. Nunez had the chance to put 2-0 with the Counter ila Nunez is just Nunez.
2nd half Emery akaja na solution ya kuzuia na wachezaji wengi na wengi wawe behind the ball, with 4-4-2 defensively, Spaces zikafungwa vilivyo ilabaki tunacheza mpira zaidi kwa defenders & MF’s. Slot akaja na option nyingine Macca & Jones wasogee mbele na wacheze wide RHS& LHS lengo ni kulazimisha Villa wafunguke zaidi katikati pawe na Spaces maana yake kama watabaki ndani tu, LFC wameongeza numbers pembeni, mpira hauna na unautaka mpira upo 1-0 means bado mpo mchezoni, wakaingia kwenye mtego Spaces zikafunguka one long ball, Salah akapress pasi akaizuia, mbio tushindane, Martinez sogea mbele kidogo, mkataba nautaka uarabuni siende, its my chance them Boom 2 up.
Slot kapunguza offensively mode akawasha balance mode with natural DM (Endo) kuja kutuluza vurugu zao. Yule Onana alikuwa pinned sana ndio Gravern wao ukimbana vilivyo unaipunguzia Villa ability ya kukuumiza.
Slot anatamua muda mwingi kufuatilia opponents wake kwa kauli yake juu ya Emery. Nikajiuliza what if tufungwe na kauli kama hii??
Mpira unahitaji moments zote mbili uwe timamu uwanjani asiwepo mamluki with the ball, find spaces, with a time achia pasi, find space, run kwenye channels, tumia nafasi kwa usahihi and without the ball, kimbia kadiri ya uwezavyo, shinda mipambano yako ya aerial duels, second balls kwa ukamilifu. Hiki ndicho kilifanyika jana vs Villa.
Diaz is a beast mapafu ya mbwa mwenye njaa.
Jones technical ability yake inakupa tuvitu vitu hivi vitamu.
Gravern anavyoutumia mwili wake joyous to watch him with the ball.
Ibou Konate wanakuambia amebakisha mechi mbili vs City na Madrid baada ya hapo apewe likizo amwachie Quansah na Gomez, funny eeh?? Nafikiri Vvd akiona anacheza na Ibou anafurahia sana. Jamaa anajituma sana without the ball Ibou ni mtu hatari sana kuliko akiwa na mpira, ananusaa hatari haraka sana, kwenye counters so far he is our destroyer.
Kelleher what a Gk we have so far. Huwezi kuona pengo la AB1, kudos
Lets FSG open their mind and give Slot a proper DM in January and the rest will be history.
After Shankly (Klopp) to build LFC its time for Paisley (Slot) to grab as many tuttles as he can.
Chelsea[emoji736]
Leipzig[emoji736]
Arsenal[emoji1754]
Brighton[emoji736]
Brighton[emoji736]
Leverkusen[emoji736]
Aston Villa[emoji736]
Southampton[emoji3480]
Up reds
Up Liverpool
Know You Can
Ynwa’