Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Wakuu, inauma kufungwa na hawa mashetani wekundu... Lakini siyo mwisho wa dunia! Mkuu Pazi, nimefurahi sana kukuona hapa leo... Poleni wakuu, tuko pamoja... YNWA.
 

Dah! Umetia huruma mtani :becky::becky::becky:
 
Reactions: Mbu


Poleni wakuu mjitahidi J5 mshinde maana mechi yenu na chichi Gunners itakuwa revenge time ya mwaka jana mlipotushitukiza ... .. ... Baloteli useless, nashangaa ati Kolo Toure ndiye mnamwamini aibu, third-tyre player so far .... . .
 
Tatizo kubwa tulilonalo sasa hivi Liverpool siyo la wachezaji, ni meneja na takitiki zake mbovu. Ameng'ang'ania 4-3-3 ambayo haileti matunda yoyote. Selection yake, kama ya leo, ni mbovu kweli kweli: utapangaje timu bila striker? Marcovic beki 3? Henderson right wing? Bila kupata meneja mpya tusitarajie mabadiliko yoyote.
 
mtoto wa mbagala kuu; waambie hawa watu wakuelewe; na yule mzee malafyale..kajificha wapi?

wataelewa tu!' hahahaha ............, hajui kuwa looserfools ni timu ndogo kama ilivyo QPR. atajificha sana! na msimu ujao championship inamuhusu!'

mbagala kuu wanakupa hi mkuu! agosti 8

Grand PA
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…