Lazima useme hivi kwa sababu hujui raha ya timu yako kushinda kushinda kombe.Msimu mmoja uliopita mlishinda nini?
Miwili?
Mitatu?
Usilete story za carabao na FA.
Ok.Lazima useme hivi kwa sababu hujui raha ya timu yako kushinda kushinda kombe.
FA Cup ni Major Trophy.
Carabao cup ni Major Trophy.
Mmoja wenu ataita hizo ni major trophies.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] King Ngwaba katoka kuongelea hili la miaka 30 hapo juu dhidi ya mashabiki wa Everton waliokua wanawabeza.
"Ni namna ya kujifariji tu kwasababu kwenye hiyo miaka 30 bila ya EPL ndani yake muna 2 Champion League, 2 Supercup, 1 Europa Cup, 1 Club World Cup na 1 EPL achana na FA na Carabao sasa sijui wanapata wapi ujasiri wa kujiona wao Zero Trophy kuwa ni bora?"
Haya nyinyi Arsenyo nje ya Carabao na FA tuonesheni kombe lolote la maana mlilonalo kwa kipindi cha miongo miwili iliyopita.
Kua hapa tulipo. Hakuna timu inakutana na Arsenal ina uhakika na ushindi
😂😂😂😂Nipo ofisini kikombe kipo nyumbani
Hizi fixtures zilizobaki zinatufavour sisi Liverpool.
Hivyo Slot hapaswi kufanya bottling kwa njia yoyote kwenye hili kwasababu kila nikiangalia kuanzia January mpaka sasa tumepoteza points nyingi sana kwa Manure, Forest, Bournemouth, Everton.
Pia nimegundua weakness kubwa sana kwa Slot kuhusu matches za AWAY Timu ina struggle kushinda tofauti na kipindi cha Klopp.
Ubingwa wetu upo London tukiwafunga Tottenham, arsenal, Chelsea tutakua tumemaliza kazi
Wachezaji wabovu ambao Klopp aliwataka ila thanks God tumewakosa
1. Camavinga
2. Tchuamen
3. Lavia
4. Caicedo
No, sababu ya uwezo wao huko walipo na bei zaoWabovu kwasababu tumewakosa?
Ivyo vitasa ni hatar sana asee vinakupa option zaid ya moja kwenye timu,ni majeruhi tu ndo yanawasumbua,na wote hao kwenye timu zao namba uakika na na bei yao sokon bado ugusi kirahisi.nawataman wote hao ata mmoja aje liverpool ata keshoWachezaji wabovu ambao Klopp aliwataka ila thanks God tumewakosa
1. Camavinga
2. Tchuamen
3. Lavia
4. Caicedo
No, sababu ya uwezo wao huko walipo na bei zao
Wachezaji wabovu ambao Klopp aliwataka ila thanks God tumewakosa
1. Camavinga
2. Tchuamen
3. Lavia
4. Caicedo
GAkpo injury?Kikosi cha ushindiView attachment 3237776