kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Hakika mkuu!Hakuna timu ENGLAND ingehimili moto wa PSG leo. Hakika mmepambana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika mkuu!Hakuna timu ENGLAND ingehimili moto wa PSG leo. Hakika mmepambana
HakikaPsg akicheza hivi mechi zote Uefa yake
Muite Dembele a.k.a TembeleKwa wapenzi wa soka hapo liverpool hamtamsahau huyu kwa msimu huu. Katibua mipango dakika za mapema kabisaView attachment 3267333
Game wakati mwingine inakataa penati alikosa baggio fainal..jota kosa lake nini misimu miwili au mitatu kaibeba timu anakuwa gereji akirudi anatufungia magoli hata hivi tunavyoongoza ligi kuna mchango wake kwani tusifukuze vvd na alisson ndani ya siku nne wamefanya makosa ya kufanana!Kama kuna wachezaji wa kufukuzwa mwisho mwa msimu hawa wawe wa kwanzaView attachment 3267322
Inabidi pale mbele wwacheze kikubwa, dembele na barcola waduwanziPsg akicheza hivi mechi zote Uefa yake
hata wamiliki wa Club FSG nao ni matapeli tuHao sio wachezaji ni matapeli
Argentina WANAMTAMBUA. SEMA SIKU HIYO HAIKUWA BAHATI YAO TU AU NADANGANYA Greatest Of All Time?Muite Dembele a.k.a Tembele
Unawajua madogo wa La Masia?Psg akicheza hivi mechi zote Uefa yake
Unatamani hela ya muhindi, kumbe muhindi anakuvizia🤣🤣Kwenye mikeka watu walijisahau sana wengi walimpa Liver.
Wengine waliooona goli la mapema wakapatwa na tamaa wakaweka 2.5 over.
Sasa hivi ndio wanaelewa hakuna hela rahisi.
Mchezaji ambaye hana msaada kwenye ni wa kazi gani ???Game wakati mwingine inakataa penati alikosa baggio fainal..jota kosa lake nini misimu miwili au mitatu kaibeba timu anakuwa gereji akirudi anatufungia magoli hata hivi tunavyoongoza ligi kuna mchango wake kwani tusifukuze vvd na alisson ndani ya siku nne wamefanya makosa ya kufanana!
Vyema...Mchezaji ambaye hana msaada kwenye ni wa kazi gani ???
Jota ameisaidia nini LFC msimu huu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Arsenyau hichi mnachokifanya ni kumtukana mamba kabla hamjavuka mto, hivi unajua kua Mbappe anawasubiria kwa hamu?UCL ni mashindano ya wanaume, sio ndezi kama nyie
Mchawi Donnaruma. Uchawi aliowafanyia England ndio huo huo kawafanyia Liverpool. Wakina Nunez utawaonea tu
Timu yoyote ile kwa sasa duniani haipendi kufikishana kwenye hatua ya penalty shoot outs na PSG sababu ya hilo dubwana Gigi Donnaruma, maana jamaa huwa ni lazima licheze angalau penalties mbili,[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nilijua tu hili lidude likisimama tu pale golini linatisha, halafu Nunez kwa kipindi hiki sio wa kumuachia kupiga penalty kabisa, ni kumtafutia lawama tu za bure na kumchonganisha na mashabiki.