Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool hawana tofauti na jamaa zangu wa pale jangwani 🚮
 
Moja ya exit ambayo haina maumivu ni hii. Ingawaje ingekuwa poa tu kama tungeweza kuendelea hatua inayofuata.

#YNWA.
 
Game wakati mwingine inakataa penati alikosa baggio fainal..jota kosa lake nini misimu miwili au mitatu kaibeba timu anakuwa gereji akirudi anatufungia magoli hata hivi tunavyoongoza ligi kuna mchango wake kwani tusifukuze vvd na alisson ndani ya siku nne wamefanya makosa ya kufanana!

Mimi simlaumu Jota kwa lolote katika mchezo wa jana ila niseme tu ukweli HAKUNA MSIMU HATA MMOJA AMBAO JOTA KAIBEBA LIVERPOOL.
Huo msimu haupo! Jota ni homa za vipindi tu kuna mechi 4 au 5 anaibuka halafu anapotea mechi 15.
Ingawa ukisema INCONSISTENCY ya Jota hapa tunaletewa useless Takwimu eti tunaambiwa Jota ni Clinical Finisher! Labda awe Clinical Medicine ila sio kwenye mpira.
 
Wakuu, tunaanza kumsifia Allison saa ngap? 😂
Amefanya save moja hatari sana, otherwisehata kwenye matuta tusingefika., ila kwenye penalty kakutana na wapiga penalty waliojiandaa kisawasawa. Becker katubeba sana Liverpool, wachezaji pia wamechoka sana sana sana. EPL kila team ni kama PSG, sina chakuwadai wachezaji, wakomae EPL mechi 3 zinazofuata tupate ushindi kwanza.
 
Tusisahau Arsenal alimfunga PSG tena kimpira na sio kibahati kama tulivyoshinda sisi pale Paris.

Hivyo Mshabiki wa Liverpool hana uhalali wowote wa kumcheka Arsenal msimu huu unless awe dumbass.
Ni mawazo yako mkuu na una haki ya kusema kutokana na uwezo wako wa kufikiria. Vipi lakini mmoja wetu akajaribu kuingia kupitia mlango wa Westham, nimejaribu tu kuwaza kwa sauti.

# This tracherous game called FOOTBALL.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Arsenyau hichi mnachokifanya ni kumtukana mamba kabla hamjavuka mto, hivi unajua kua Mbappe anawasubiria kwa hamu?
UCL kweli ni mashindano ya wanaume, na Liverpool ni miongoni mwa hao wanaume tayari ameshabeba makombe 7 ya Ucl, haya tuambie wewe timu yako Arsenyo ni yanaume au ni ya wamama?
Kama kweli ni timu ya wanaume tokea imeanzishwa mwaka 1886 ina makombe mangapi ya Ucl?
Ni rahisi ngamia kupenya kwenye tundu la sindano kuliko Arsenal kubeba UEFA
 
Back
Top Bottom