Mtu Alie Nyikani
JF-Expert Member
- Nov 9, 2022
- 949
- 2,038
Na manyumbu ya United humu utakuta yapo hum yanacheka Liver kuondolewa!!! Kweli vituko haviishi😄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Captain MarvelousKuna yule jamaa mwenye picha ya Firmino kwenye avatar yake sijawahi kumuona kwenye uzi mwingine, namuonaga hapa tu... hivi yuko wapi leo?
Ila Madrid hawajapotea mbona mzee
Game wakati mwingine inakataa penati alikosa baggio fainal..jota kosa lake nini misimu miwili au mitatu kaibeba timu anakuwa gereji akirudi anatufungia magoli hata hivi tunavyoongoza ligi kuna mchango wake kwani tusifukuze vvd na alisson ndani ya siku nne wamefanya makosa ya kufanana!
Ladies and gentlemen football is fair game ,team Bora imeshinda Psg imeizidi Liverpool kila kitu .
Ummma umefurahi 😂Muda mfupi ujao, umma utafurahi baada ya majogoo kunyonyolewa 😂
Amefanya save moja hatari sana, otherwisehata kwenye matuta tusingefika., ila kwenye penalty kakutana na wapiga penalty waliojiandaa kisawasawa. Becker katubeba sana Liverpool, wachezaji pia wamechoka sana sana sana. EPL kila team ni kama PSG, sina chakuwadai wachezaji, wakomae EPL mechi 3 zinazofuata tupate ushindi kwanza.Wakuu, tunaanza kumsifia Allison saa ngap? 😂
Ni mawazo yako mkuu na una haki ya kusema kutokana na uwezo wako wa kufikiria. Vipi lakini mmoja wetu akajaribu kuingia kupitia mlango wa Westham, nimejaribu tu kuwaza kwa sauti.Tusisahau Arsenal alimfunga PSG tena kimpira na sio kibahati kama tulivyoshinda sisi pale Paris.
Hivyo Mshabiki wa Liverpool hana uhalali wowote wa kumcheka Arsenal msimu huu unless awe dumbass.
Mkuu huamini uwepo wa Mungu ila cha ajabu una amini mambo ya Bahati?Poleni sana wanangu ila mpira leo mmeuonesha.
Sina hakika kama huko mbeleni kutakuwa na mechi tamu kuizidi hii.
Sometimes bahati nazo zina play role yake.
Ni rahisi ngamia kupenya kwenye tundu la sindano kuliko Arsenal kubeba UEFA[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Arsenyau hichi mnachokifanya ni kumtukana mamba kabla hamjavuka mto, hivi unajua kua Mbappe anawasubiria kwa hamu?
UCL kweli ni mashindano ya wanaume, na Liverpool ni miongoni mwa hao wanaume tayari ameshabeba makombe 7 ya Ucl, haya tuambie wewe timu yako Arsenyo ni yanaume au ni ya wamama?
Kama kweli ni timu ya wanaume tokea imeanzishwa mwaka 1886 ina makombe mangapi ya Ucl?
Walibebwa ili kumfurahisa shoti waoArgentina WANAMTAMBUA. SEMA SIKU HIYO HAIKUWA BAHATI YAO TU AU NADANGANYA Greatest Of All Time?