Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Huyo PSG tulishamfunga kama unajifanya unajizima dataNyie mlishika ya ngapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo PSG tulishamfunga kama unajifanya unajizima dataNyie mlishika ya ngapi?
Hakuna timu ENGLAND ingehimili moto wa PSG leo. Hakika mmepambana
We banduliwa kivyako acha kuwaza wanaumeNa manyumbu ya United humu utakuta yapo hum yanacheka Liver kuondolewa!!! Kweli vituko haviishi😄
Uliwaambia mapema hawakusikiaKwa huyu kipa wa Psg inabidi hizi dakika 15 zilizosalia Liverpool wafanye juu chini wapate goli, la sivyo hili kipa la mikono 100 linaweza likawachomolea betri kwenye penalties.
Ni mawazo yako mkuu na una haki ya kusema kutokana na uwezo wako wa kufikiria. Vipi lakini mmoja wetu akajaribu kuingia kupitia mlango wa Westham, nimejaribu tu kuwaza kwa sauti.
# This tracherous game called FOOTBALL.
Kwamba hawakuwahi kuchukua kombe lolote kipindi wanajenga uwanjaHebu nipe historia fupi kipindi wanajenga uwanja wao na mwaka waliojenga
Kwamba hawakuwahi kuchukua kombe lolote kipindi wanajenga uwanja
We unataka jibu Gani zaidi ya timu kubeba kombe kubwaHaya sio majibu ya jambo nililohitaji
Huyo huyo naamini leo hii hajiskii kuongelea mpira, hivyo basi pengine anaweza kutembelea hata nyuzi za kula tunda kimasihara hili kuondoa stress.
Kwa kikosi gani alicho kua nacho PSG, siku hiyo mlianzishiwa watoto ndiyo maana mlijipigia tu goli 2 lakini round hii endapo mtakutana nao mtakulangoli za kutoshaTusisahau Arsenal alimfunga PSG tena kimpira na sio kibahati kama tulivyoshinda sisi pale Paris.
Hivyo Mshabiki wa Liverpool hana uhalali wowote wa kumcheka Arsenal msimu huu unless awe dumbass.
Nllijua tu hamuwezi kukosa hapa😄We banduliwa kivyako acha kuwaza wanaume
Mimi binafsi nafikiri mnatakiwa muangalie pia na wakati ambao Arsenal anamfunga PSG.Yaani Facts ya Arsenal kumfunga PSG unaita mawazo yangu? Aisee wewe ni mtu wa kwanza kumshuhudia hajui tofauti ya FACTS v/s OPINIONS
Exactly 💯 pia kikosi Cha Liver saivi tunahitaji reform ndani ya kikosi ukitoa first eleven pale Liverpool hakuna kinacho baki, hatuna wachezaji ambao wanaweza kutokea nje wakabadilisha game zaidi ya kuingia mizigo kwenye team.Amefanya save moja hatari sana, otherwisehata kwenye matuta tusingefika., ila kwenye penalty kakutana na wapiga penalty waliojiandaa kisawasawa. Becker katubeba sana Liverpool, wachezaji pia wamechoka sana sana sana. EPL kila team ni kama PSG, sina chakuwadai wachezaji, wakomae EPL mechi 3 zinazofuata tupate ushindi kwanza.
Huyo aliyeandika hivyo ni mwana liverpool, nafikiri labda alikuwa overwhelmed by emotions.Kwa kikosi gani alicho kua nacho PSG, siku hiyo mlianzishiwa watoto ndiyo maana mlijipigia tu goli 2 lakini round hii endapo mtakutana nao mtakulangoli za kutosha
Sahihi kabsa Jamaa wako moto sana na Kipindi wanakutana na arsenal ndiyo walikua Wana reform kikosi.Huyo aliyeandika hivyo ni mwana liverpool, nafikiri labda alikuwa overwhelmed by emotions.
Huyo Arsenal angekutana na PSG hii tungeona mpira tofauti kabisa