Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
So kwa vile tu wamekuangusha kwenye hii mechi moja basi ndio unawaona hawafai kabisa? Mashabiki bwana.Kama kuna wachezaji wa kufukuzwa mwisho mwa msimu hawa wawe wa kwanzaView attachment 3267322
Mimi nai support LFC si support mchezaji kama mchezaji hana msaada kwenye timu yangu hafai kuwa hapo.So kwa vile tu wamekuangusha kwenye hii mechi moja basi ndio unawaona hawafai kabisa? Mashabiki bwana.
Madrid ya UEFA sio Madrid ya La Liga ni vitu viwili tofauti kabisa.Hili Kombe linakuja Catalunya, mark my words.!!
Nilikuepo
Ansu fati type hii.....View attachment 3267324
Dogo akiongea na wazee wake kabla ya kuandika penalty ya mwisho iliyowabandua liverpool
Kuna clip niliona yupo na kocha wake wanafanya mazoezi kwenye giza anarushiwa mbegu za ubuyu anadaka.Timu yoyote ile kwa sasa duniani haipendi kufikishana kwenye hatua ya penalty shoot outs na PSG sababu ya hilo dubwana Gigi Donnaruma, maana jamaa huwa ni lazima licheze angalau penalties mbili,
Kwasababu wamekutoa wewe ndo unaona hakuna timu ya kuwazuia?Slot again huyu kocha ni mpumbavu sana sijawai kuona hizi match za mhimu anadhidi kutushusha the match against Plymouth FA akaweka wachezaji wa ajabu tukaondolewa. Leo tena anafanya sub za kiseng* kumtoa McAllister na Szoboslai was big mistake, then alivyo wa ajabu anaenda kufanya selection mbovu ya wapigaji penalty, Yakima Nunez yaliyo jichokea, aisee... Hii match imeniuma. Hata saivi EPL tushukuru tu Man. City na Arsenal hawapo kwenye form vinginevyo saivi tungekua tupo nafasi ya 3 huko. Simuoni akiwa na mda mrefu pale viunga vya ANFIELD.
Lakini hongera kwa. PSG wameonyesha ushindani mkubwa sana. Naona Kuna uwezekano mkubwa sana wa PSG kuchukua huu ubingwa. Jamaa wanajua kukaba, (high pressing) wanapiga accuracy pass aisee... Mpaka Sasa match nilizo ona UEFA sioni timu ya kuwazuia hawa washikaji.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Slot again huyu kocha ni mpumbavu sana sijawai kuona hizi match za mhimu anadhidi kutushusha the match against Plymouth FA akaweka wachezaji wa ajabu tukaondolewa. Leo tena anafanya sub za kiseng* kumtoa McAllister na Szoboslai was big mistake, then alivyo wa ajabu anaenda kufanya selection mbovu ya wapigaji penalty, Yakima Nunez yaliyo jichokea, aisee... Hii match imeniuma. Hata saivi EPL tushukuru tu Man. City na Arsenal hawapo kwenye form vinginevyo saivi tungekua tupo nafasi ya 3 huko. Simuoni akiwa na mda mrefu pale viunga vya ANFIELD.
Lakini hongera kwa. PSG wameonyesha ushindani mkubwa sana. Naona Kuna uwezekano mkubwa sana wa PSG kuchukua huu ubingwa. Jamaa wanajua kukaba, (high pressing) wanapiga accuracy pass aisee... Mpaka Sasa match nilizo ona UEFA sioni timu ya kuwazuia hawa washikaji.
Let's wait. Hili kombe PSG anaenda kulichukua mapema sana. kutolichukua kwake labda fainali.Kwasababu wamekutoa wewe ndo unaona hakuna timu ya kuwazuia?
Hizo hisia zako tu.
PSG anafungika vizuri tu.
Mkuu vipi? Wewe unakubaliana na Slot[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Eh 🤣 unahama timu tu bruvKabisa Mkuu.
Mi ni Nyumbu ila leo nimewapa saluti.
Unachekesha.Let's wait. Hili kombe PSG anaenda kulichukua mapema sana. kutolichukua kwake labda fainali.
Mkuu baada ya kumtoa tu Mc Allister na kuingia Jones nilijua tumekwishaMkuu vipi? Wewe unakubaliana na Slot
Dah tumetolewa 😀😀Liver amshukuru kipa hizi dk extra kapelekewa moto hasa. Ngoja tuone penalties
Hadi mimi nilijua tuMkuu baada ya kumtoa tu Mc Allister na kuingia Jones nilijua tumekwisha
Treble ya nioko.Treble incoming
Aah aah.Watu wanawaza treble humu unaambiwa 😂😂