Liverpool FC (The Reds) | Special Thread


Swala la kumrudisha teenager kutoka kwenye mkopo eti ndo aje kuwa ''suarez'' ni kumchosha tu Ibe. BR kafanya blunder kwenye summer transfer window kama alikuwa na shida na striker kama back ni bora angemrudisha aspas kuliko kumleta lambert na kwenye beki kwa game nilizo muona tiago illori alizocheza spain (grenada) he is far better than lovren,sakho,toure na skrtel funny enough he was loaned to bordeaux where he has just played only 4 games.

Kwasasa timu inahitaji striker mwenye pace and can hold the ball upfront waiting for support from his team mates, i was thinking these two guys would have been good addition (jackson martinez or Luiz adriano wa shankhter) ila we are being linked na jermaine defoe(lambert v.2)

Halafu hizi ngojera zake kuwa hakuna striker sokoni hatutaki hakuna timu inamuweka mchezaji sokoni kama anaperform vizuri kama vipi tuendelee hivi hivi na kina balo na lord lambert mpaka msimu unaisha

kwa issue ya gerrard(thanks for the memories, that header 2005 and those two beautiful goals in 2006) mi naona its a high time for him stay aside mi ningependa astaafu soka akiwa liverpool ila kaamua mwenye kwenda kwingine(japo maneno yake yanaonyesha ni kutokukubaliana na BR na owners) ndo wakati wa kutengeneza timu kwenye defensive midfield akae Emre Can/Lucas na Henderson
 

Hapo kwenye red napingana na wewe, how many teams did he turn them down? kama angekuwa selfish sasa hivi tungekuwa tunamuongelea gerrard wa chelsea,madrid,man utd,ac milan na bayern aliamua kubaki timu japo haikuwa na possibility ya kuchukua epl hayo mengine sawa tu the person who needed him most is youngster jordan rossiter because this kid is going to be our new gerrard
 
Mourinho keshafafanua vizuri...sina haja ya kukujibu...
 
Last edited by a moderator:

selfishness meant is Gerad's forcing to start in the first 11 of the team every game, he could accept his performance have been diminished so he should play few games than was playing 5 years ago. Remember Fergie times used to play Giggs coming from the bench and was doing quite well, so Gerad could accept BR ideas of him to come from the bench, but instead Gerad choose to go to MLS.
 
SG silaha yake kuwa ni[ilikuwa] energy,lung bursting runs all around the pitch,box to box.....carrick silaha yake ni brain na long passes hakimbii kimbii hovyo kama SG.

comparing sg na carrick confirm usivyojua soka... baki na ushabiki mandazi

scholes au keane ndio wa kupima gerro

usisahau epl ni ligi mvurugo
 

salute mkuu
 
Watu uwa wanachemsha kuwaza kwamba kila mchezaji mzuri anaweza kuja kuwa kocha cum meneja mzuri wa klabu ya soka.

Katika makocha cum mameneja waliofanya na wanaofanya vizuri, ni WACHACHE SANA walikuwa wachezaji mahiri..


si mbaya akijaribu mkuu......
 
Mourinho keshafafanua vizuri...sina haja ya kukujibu...

Hamna alicho fafanua cha maana!

Ubora wa mtu unapimwa na market price walipokuwa kwenye prime time zao!

1.Ni teams ngapi elites zilimtaka Scholes alipokuwa kwenye prime time yake?

2.Teams ngapi zilimuhitaji SG alipokuwa hot?

RRONDO na Mourinho walipokuwa kwenye prime time yao SG alikuwa bora zaidi ya Scholes na mahitaji yao ya uhamisho yanaonyesha hivyo
 
Last edited by a moderator:
comparing sg na carrick confirm usivyojua soka... baki na ushabiki mandazi

scholes au keane ndio wa kupima gerro

usisahau epl ni ligi mvurugo

ni kweli mimi sijui soka na ni mshabiki maandazi....next time i will be calling u some names and take it as a man..respect is two way....now let me put u where u belong.

usidandie tu comments za watu bila kujua zimeanzia wapi....hujui carrick kaingiaje kwenye huu mjadala....aliemuingiza carrick kwenye huu mjadala ni Malafyale wakati anajibu post yangu niliyoandika "BR yuko right kumwambia SG hawezi kucheza muda wote coz he is 34" ndio Malafyale akasema mbona carrick is 33 na anaanza man utd?? nikamjibu silaha ya carrick ni brain na long passes lakini SG anatumia sana nguvu na ni box to box midfielder.....then malayale akasema huyo carrick timu ya taifa anasubiri kwa SG etc nikamwambia nikifikiri unalimganisha role na position zao uwanjani na mimi kama kawa nikampa dongo linalowauma nyinyi wote 'carrick has won epl title SG has never' thats a fact....kwahio usijifanye wewe mjuaje kuita watu majina ya dharau coz kila mtu hilo halimshindi...unaweza kuniona mimi shabiki maandazi na mimi nikakuona mpuuzi fulani tu.
 
Last edited by a moderator:

Hamna team yyt ya ukweli iliyo muhitaji Scholes alipokuwa kwenye prime yake na hii ni fact!

Teams ngapi SG alikataa kwenda Ilizokuwa tayari kuvunja rekodi za uhamisho?

Scholes alibebwa na ubora wa Clasa of 92 na team aliyo ikuta na kocha bora Babu Fergie
 

im done with this discussion.....STEVE G IS THE BEST EVER!
 
im done with this discussion.....STEVE G IS THE BEST EVER!

Huwezi jibu hii maana ni fact!SG alitakiwa na kila team kubwa duniani na kuna kipindi Liverpool walimruhusu aongee na teams hizo yy AKAKATAA!

Mchezaji anapimwa na soko lake alipokuwa hot!Teams gani kubwa zilimhitaji Scholes?
 

aisee....scholes alistaafu 2011 akarudishwa na fergie tena 2012/13 akasaidia ubingwa....sasa tangu astaafu man utd walitwaa epl titles zipi??? halafu nyinyi ndio mnaita watu mashabiki maandazi....amazing!

angalia scholes honors

Manchester United


im done with this discussion!
 
Reactions: Nzi
thanks mkuu
 
Huwezi jibu hii maana ni fact!SG alitakiwa na kila team kubwa duniani na kuna kipindi Liverpool walimruhusu aongee na teams hizo yy AKAKATAA!

Mchezaji anapimwa na soko lake alipokuwa hot!Teams gani kubwa zilimhitaji Scholes?

nashukuru kila siku najifunza kitu kipya!!!

 
Reactions: Nzi

Ulipo Malafyale?
Umeanza kurukaruka like a headless chicken sasa, at least ungestick na points zako za mwanzoni, kama ni thamani ya mchezaji sokoni ndio ina determine ubora wake then Bale ni mkali kuliko Messi, Zizou, Pirlo, Giggs e.t.c
 
Last edited by a moderator:
Reactions: Nzi
Ulipo Malafyale?
Umeanza kurukaruka like a headless chicken sasa, at least ungestick na points zako za mwanzoni, kama ni thamani ya mchezaji sokoni ndio ina determine ubora wake then Bale ni mkali kuliko Messi, Zizou, Pirlo, Giggs e.t.c

You loose ur memory?
Pirlo alikuwa Milan,Zizzou alianzia Juve na Giggs ni exceptional kumfananisha na Scholes ni matusi

Bale aliondoka kwa hela nyingi kama CR 7 kuthibitisha ubora wake!Hamna niliposema kuwa Messi anazimwa na Bale lkn nachokuambia mchezaji bora anapimwa na nguvu yake ya soko?

Scholes mchezaji avarage tu alifaidika na uimara wa Man U enzi hizo!Roy Keane ndiyo nakubali kama SG alikuwa hata hagusi sio Scholes
 
Last edited by a moderator:


ryt....gerrard alipofikia alitakiwa kukubal mech mojamoja tena kwa sabu ili akiingia anafanya yake tena acheze free.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…