Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

hahahahahahahahah!!!!

me mwenzako nasubiria kuona Kama akiflop lawama atatupiwa nan...BR or Committee..

kwangu mm nadhan priority ingekuwa ni KEEPER..

japokuwa Shaqir inaweza kuwa ni great addition pia...

Rumourz zinasema LFC wanaconsider kumrudisha IBE kutoka Derby county...manake naona McClaren analalamika huyo, IBE kawa mchezaji muhimu sana kwenye team yake..

Oooooh! nlisahau kama kuna Luis Alberto...

Swala la kumrudisha teenager kutoka kwenye mkopo eti ndo aje kuwa ''suarez'' ni kumchosha tu Ibe. BR kafanya blunder kwenye summer transfer window kama alikuwa na shida na striker kama back ni bora angemrudisha aspas kuliko kumleta lambert na kwenye beki kwa game nilizo muona tiago illori alizocheza spain (grenada) he is far better than lovren,sakho,toure na skrtel funny enough he was loaned to bordeaux where he has just played only 4 games.

Kwasasa timu inahitaji striker mwenye pace and can hold the ball upfront waiting for support from his team mates, i was thinking these two guys would have been good addition (jackson martinez or Luiz adriano wa shankhter) ila we are being linked na jermaine defoe(lambert v.2)

Halafu hizi ngojera zake kuwa hakuna striker sokoni hatutaki hakuna timu inamuweka mchezaji sokoni kama anaperform vizuri kama vipi tuendelee hivi hivi na kina balo na lord lambert mpaka msimu unaisha

kwa issue ya gerrard(thanks for the memories, that header 2005 and those two beautiful goals in 2006) mi naona its a high time for him stay aside mi ningependa astaafu soka akiwa liverpool ila kaamua mwenye kwenda kwingine(japo maneno yake yanaonyesha ni kutokukubaliana na BR na owners) ndo wakati wa kutengeneza timu kwenye defensive midfield akae Emre Can/Lucas na Henderson
 
Gerrard is selfish , he didn't want coming off the bench. Rogers wanted him to stay cos the lads at the club were yet to benchmark him. Young players had a lot to learn from him just like Giggs did at Manchester United, If he loved the club as much as he claims, he'd accept that he can't play as much as he used to.

Hapo kwenye red napingana na wewe, how many teams did he turn them down? kama angekuwa selfish sasa hivi tungekuwa tunamuongelea gerrard wa chelsea,madrid,man utd,ac milan na bayern aliamua kubaki timu japo haikuwa na possibility ya kuchukua epl hayo mengine sawa tu the person who needed him most is youngster jordan rossiter because this kid is going to be our new gerrard
 
Hapa watu watapima mm na ww nani mweupe!!
1.Taja kikosi cha Man U alicho chezea Scholes na onyesha kama bila yy Man U isingetwaa ubingwa

2.Baada ya kustaafu Man U walichukua ubingwa mara ngapi bila kuwepo Scholes

3.Mchukue SG muondoe kwenye kikosi cha Liverpool kuanzia 2000-2012 then pima kama wangechukua hata FA

Kaka unazidi kujiabisha tu!Scholes effect yake Man U ilikuwa ndogo sana hata bila yy Man U walizidi kutwaa ubingwa!Bila SG Liverpool wangetwaa nn?Hata Cardif Capital Cup mwaka juzi tusingechukua!
Nzi njoo hata nizidi kukufunza
Mourinho keshafafanua vizuri...sina haja ya kukujibu...
 
Last edited by a moderator:
Hapo kwenye red napingana na wewe, how many teams did he turn them down? kama angekuwa selfish sasa hivi tungekuwa tunamuongelea gerrard wa chelsea,madrid,man utd,ac milan na bayern aliamua kubaki timu japo haikuwa na possibility ya kuchukua epl hayo mengine sawa tu the person who needed him most is youngster jordan rossiter because this kid is going to be our new gerrard

selfishness meant is Gerad's forcing to start in the first 11 of the team every game, he could accept his performance have been diminished so he should play few games than was playing 5 years ago. Remember Fergie times used to play Giggs coming from the bench and was doing quite well, so Gerad could accept BR ideas of him to come from the bench, but instead Gerad choose to go to MLS.
 
SG silaha yake kuwa ni[ilikuwa] energy,lung bursting runs all around the pitch,box to box.....carrick silaha yake ni brain na long passes hakimbii kimbii hovyo kama SG.

comparing sg na carrick confirm usivyojua soka... baki na ushabiki mandazi

scholes au keane ndio wa kupima gerro

usisahau epl ni ligi mvurugo
 
Kama tunataka ku-win anything this term au hata ku-crash kwenye top 4, inabidi tuwe realistic and therefore we should address tatizo la msingi la timu yetu, which is MEDIOCRE DEFENDING.

Strikers waliopo kwenye market kwenye hii transfer window hawawezi kuwa game changers na huu ni ukweli. Anayemjua game changer aliyepo sokoni sasa hivi atuambie. Option iliyopo ni ku-reinforce strike force yetu kwa kuwapa opportunity akina Ibe (arudishwe) na Suso.....wakipangwa mechi 2 au 3 on the trot hapana shaka confidence yao itaongezeka. Kama kwa Sterling iliwezekana kwa nini ishindikane kwa hawa wengine?

So the solution for our strike force problem is just to appropriately shuffle the existing pack.

Nimesema tatizo la msingi ni MEDIOCRE DEFENDING. Sijasema MEDIOCRE DEFENDERS kwa sababu mimi nadhani tatizo lipo zaidi kwenye mfumo na siyo personnel. Maana kama defenders ndiyo tatizo how come Terry-Cahill pairing didn't appear to work effectively kwenye England national team lakini wakicheza pamoja pale Chelshit ni ukuta wa chuma?? So hapa tuna tatizo ambalo kiini chake kinaanzia pale Melwood and this is for BR to fix, and fast!

What to do then? Get a defensive coaching team to exclusively (almost independently) work on the existing personnel - if BR doesn't buy into this then I think am going to have to change my mind about how I rate him.
Kama tukipata reinforcement kwenye eneo la GK itakuwa bonus - nasikia hawa hapa wanaweza kuwa available: Chech, Ochua (yule wa Mexico) and Valdes.

Also let's not forget that famous quote from Fergie (much as I dislike the guy but I respect what he has achieved) which says..."Attack wins you games but defence wins you titles". And this has been proven true in modern football.

salute mkuu
 
Watu uwa wanachemsha kuwaza kwamba kila mchezaji mzuri anaweza kuja kuwa kocha cum meneja mzuri wa klabu ya soka.

Katika makocha cum mameneja waliofanya na wanaofanya vizuri, ni WACHACHE SANA walikuwa wachezaji mahiri..


si mbaya akijaribu mkuu......
 
Mourinho keshafafanua vizuri...sina haja ya kukujibu...

Hamna alicho fafanua cha maana!

Ubora wa mtu unapimwa na market price walipokuwa kwenye prime time zao!

1.Ni teams ngapi elites zilimtaka Scholes alipokuwa kwenye prime time yake?

2.Teams ngapi zilimuhitaji SG alipokuwa hot?

RRONDO na Mourinho walipokuwa kwenye prime time yao SG alikuwa bora zaidi ya Scholes na mahitaji yao ya uhamisho yanaonyesha hivyo
 
Last edited by a moderator:
comparing sg na carrick confirm usivyojua soka... baki na ushabiki mandazi

scholes au keane ndio wa kupima gerro

usisahau epl ni ligi mvurugo

ni kweli mimi sijui soka na ni mshabiki maandazi....next time i will be calling u some names and take it as a man..respect is two way....now let me put u where u belong.

usidandie tu comments za watu bila kujua zimeanzia wapi....hujui carrick kaingiaje kwenye huu mjadala....aliemuingiza carrick kwenye huu mjadala ni Malafyale wakati anajibu post yangu niliyoandika "BR yuko right kumwambia SG hawezi kucheza muda wote coz he is 34" ndio Malafyale akasema mbona carrick is 33 na anaanza man utd?? nikamjibu silaha ya carrick ni brain na long passes lakini SG anatumia sana nguvu na ni box to box midfielder.....then malayale akasema huyo carrick timu ya taifa anasubiri kwa SG etc nikamwambia nikifikiri unalimganisha role na position zao uwanjani na mimi kama kawa nikampa dongo linalowauma nyinyi wote 'carrick has won epl title SG has never' thats a fact....kwahio usijifanye wewe mjuaje kuita watu majina ya dharau coz kila mtu hilo halimshindi...unaweza kuniona mimi shabiki maandazi na mimi nikakuona mpuuzi fulani tu.
 
Last edited by a moderator:
Soccer inachezwa na wachezaji 11, ingawa wanazidiana uwezo uwanjani, lakini hakuna mchezeji anaweza kushinda match peke yake, aliyeweza kujaribu kwa kiasi kikubwa ni Maradona 'D10S' tu, akiwa na Argentina na Napoli, lakini hata yeye hakuwa peke yake uwanjani

SG alikua mzuri sana, lakini media ya waingereza wakati mwingine inapotosha ukweli, kuna watu walikua wanamfanya ang'ae ambao hawapewi credit kama za SG particularly Xabi Alonso ambaye toka aondoke Liverpool, SG hajawahi kuaffect the game kama wakati akicheza alongside Alonso. Pia wapo kina Torres, Callagher na Mascherrano walimfanya SG ang'ae during his prime.
Hata ile fainali ya 2005 Vs Milan, kuna chumvi nyingi sana zinaongezwa kuhusu role ya SG, no one talks of Xabi Alonso, Vladimir Smicer au Dudek's heroics kwenye zile penati.
Na tukiacha hiyo match SG alikua anavurunda kwenye big stages Vs the big boys ndio maana SAF alimponda kwamba alikua hafurukuti mbele ya Scholes na Keane, hata mwaka jana ali 'slip' wakati aliotakiwa kusimama na kuicost club yake EPL title.
Scholes alikua bora kuliko hawa media darlings Steve na Frankie, kama T.Henry alivyosema, Scholes hakua na kiherehere cha kupenda u-celebrity wala kutaka sifa zote za mafanikio ya team apewe yeye, in fact ilikua nadra sana kumsikia Scholes anaongea na media enzi za uchezaji wake. Lakini kwa wanaojua soccer wanajua Scholes was miles away from Steve and Frankie combined.

Hamna team yyt ya ukweli iliyo muhitaji Scholes alipokuwa kwenye prime yake na hii ni fact!

Teams ngapi SG alikataa kwenda Ilizokuwa tayari kuvunja rekodi za uhamisho?

Scholes alibebwa na ubora wa Clasa of 92 na team aliyo ikuta na kocha bora Babu Fergie
 
Hamna alicho fafanua cha maana!

Ubora wa mtu unapimwa na market price walipokuwa kwenye prime time zao!

1.Ni teams ngapi elites zilimtaka Scholes alipokuwa kwenye prime time yake?

2.Teams ngapi zilimuhitaji SG alipokuwa hot?

RRONDO na Mourinho walipokuwa kwenye prime time yao SG alikuwa bora zaidi ya Scholes na mahitaji yao ya uhamisho yanaonyesha hivyo

im done with this discussion.....STEVE G IS THE BEST EVER!
 
im done with this discussion.....STEVE G IS THE BEST EVER!

Huwezi jibu hii maana ni fact!SG alitakiwa na kila team kubwa duniani na kuna kipindi Liverpool walimruhusu aongee na teams hizo yy AKAKATAA!

Mchezaji anapimwa na soko lake alipokuwa hot!Teams gani kubwa zilimhitaji Scholes?
 
My point:Scholes alipo staafu Man U walitwaa EPL mara kibao tu!!SG angeondoka Liverpool hata FA wasingechukua

Pundits inabidi uangalie sana kwenye team yako una nani na msaada wako ni nn!Huyu hata enzi za Babu akiwa kwenye prime time yake alishindwa kuwa EPL player of the year

aisee....scholes alistaafu 2011 akarudishwa na fergie tena 2012/13 akasaidia ubingwa....sasa tangu astaafu man utd walitwaa epl titles zipi??? halafu nyinyi ndio mnaita watu mashabiki maandazi....amazing!

angalia scholes honors

Manchester United


im done with this discussion!
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
ni kweli mimi sijui soka na ni mshabiki maandazi....next time i will be calling u some names and take it as a man..respect is two way....now let me put u where u belong.

usidandie tu comments za watu bila kujua zimeanzia wapi....hujui carrick kaingiaje kwenye huu mjadala....aliemuingiza carrick kwenye huu mjadala ni Malafyale wakati anajibu post yangu niliyoandika "BR yuko right kumwambia SG hawezi kucheza muda wote coz he is 34" ndio Malafyale akasema mbona carrick is 33 na anaanza man utd?? nikamjibu silaha ya carrick ni brain na long passes lakini SG anatumia sana nguvu na ni box to box midfielder.....then malayale akasema huyo carrick timu ya taifa anasubiri kwa SG etc nikamwambia nikifikiri unalimganisha role na position zao uwanjani na mimi kama kawa nikampa dongo linalowauma nyinyi wote 'carrick has won epl title SG has never' thats a fact....kwahio usijifanye wewe mjuaje kuita watu majina ya dharau coz kila mtu hilo halimshindi...unaweza kuniona mimi shabiki maandazi na mimi nikakuona mpuuzi fulani tu.
thanks mkuu
 
Huwezi jibu hii maana ni fact!SG alitakiwa na kila team kubwa duniani na kuna kipindi Liverpool walimruhusu aongee na teams hizo yy AKAKATAA!

Mchezaji anapimwa na soko lake alipokuwa hot!Teams gani kubwa zilimhitaji Scholes?

nashukuru kila siku najifunza kitu kipya!!!

 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Hamna team yyt ya ukweli iliyo muhitaji Scholes alipokuwa kwenye prime yake na hii ni fact!

Teams ngapi SG alikataa kwenda Ilizokuwa tayari kuvunja rekodi za uhamisho?

Scholes alibebwa na ubora wa Clasa of 92 na team aliyo ikuta na kocha bora Babu Fergie

Ulipo Malafyale?
Umeanza kurukaruka like a headless chicken sasa, at least ungestick na points zako za mwanzoni, kama ni thamani ya mchezaji sokoni ndio ina determine ubora wake then Bale ni mkali kuliko Messi, Zizou, Pirlo, Giggs e.t.c
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Nzi
Ulipo Malafyale?
Umeanza kurukaruka like a headless chicken sasa, at least ungestick na points zako za mwanzoni, kama ni thamani ya mchezaji sokoni ndio ina determine ubora wake then Bale ni mkali kuliko Messi, Zizou, Pirlo, Giggs e.t.c

You loose ur memory?
Pirlo alikuwa Milan,Zizzou alianzia Juve na Giggs ni exceptional kumfananisha na Scholes ni matusi

Bale aliondoka kwa hela nyingi kama CR 7 kuthibitisha ubora wake!Hamna niliposema kuwa Messi anazimwa na Bale lkn nachokuambia mchezaji bora anapimwa na nguvu yake ya soko?

Scholes mchezaji avarage tu alifaidika na uimara wa Man U enzi hizo!Roy Keane ndiyo nakubali kama SG alikuwa hata hagusi sio Scholes
 
Last edited by a moderator:
nyie washabiki mnashangaza sana....nyinyi ndio mlikuwa mnasema kila siku humu SG hafai kuanza,anaslow down timu yenu na malalamiko kibao!!! sasa BR kafanya kitu sensible ambacho ni ku-manage playing time ya SG kwasababu he is no longer 24yrs old,he is 34!!! kitu hicho hicho SAF kakifanya kwa scholes/giggs na wakaweza kucheza kwa muda mrefu zaidi.....sioni kwanini mnaacha kumshangaa SG mnalaumu eti BR ndio kasababisha aondoke...stop sugarcoating SG is past his best and he doesnt deserve starting berth EVERY GAME.....BR IS RIGHT


ryt....gerrard alipofikia alitakiwa kukubal mech mojamoja tena kwa sabu ili akiingia anafanya yake tena acheze free.....
 
Back
Top Bottom