Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Credit kwa Brendan Rodgers kwa hili, baada ya kuwaweka bench au nje ya kikosi kabisa Balotelli na Lovren kumewapunguzia pressure ndo maana anaanza kuwarudisha kwenye kikosi taratibu taratibu, katika mechi zote mbili walizoingia kama substitutions wamefanya vizuri hasa Balotelli.


It's time now for Brendan to pair up two strikers upfront (Sturridge and Balotelli) this will easy pressure and man marking on single striker from opponents' centre-backs kama ilivyokuwa kwa sturridge kwenye game na crystal palace in first half baada ya Mario kuingia kukawa na space ya ku- run behind mabeki ndo tukaweza pata equalizer goal.


Mimi naona Lovren angerudishwa taratibu kwenye line up to allow Can kucheza kama Defensive midfielder, Joe Allen si wa kumuamini kabisa
 
game bado ngumu, liverpool hawajashinda kwenye hii pitch mechi sita mfululizo

Kumbe hawa jamaa hatujawashinda hapo nyumbani kwao for 18 years!

BBC Sport
FULL-TIME
Crystal Palace 1-2 Liverpool
Posted at 19:25
Liverpool are into the last eight, with a first win at Selhurst Park in 18 years.
Favourites for the Cup?


Anyways, nimefurahishwa na very professional and factual reaction ya Alan Pardew

 
Kwa kweli inabidi BR awe mwangalifu sana kuhusu hatari ya kuwa-overstretch key players.

Games 2 zilizopita Coutinho amekuwa below par, and rightly so kwa vile since December amecheza 17 consecutive starts, huku akiwa amepumzika kwa 90 minutes only kipindi chote (this is according to Liverpoolecho). This is a bit too much kwa technically gifted players kama Coutinho.

Game ya jana ilikuwa ya 40 kwa LFC kwa msimu huu. Msimu wote uliopita hadi May 2014 LFC walicheza jumla ya mechi 43! This season, kama tuta-progress kwenye cup competitions zilizobaki kuna uwezekano wa kufikisha mechi 60.

Ndiyo maana mimi nashauri kuwepo a structured player-time management (aka rotation policy) kwa ku-priotize hizi competition (hapa tujifunze kutoka kwa master of Europe, Rafa Benitez, ambaye for the past 2 consecutive seasons amehakikisha anaweka at least silverware 1 kibindoni).

Tuki-gample kutaka kufanikiwa kwenye fronts zote kuna uwezekano wa kukosa kote.
 
BR alikuwa ROMA, Italy..

Pjanic???!!!!!

Perfect SG replacement!!!

Huyo dogo fundi sana, ila hana 'ubavu' kama wa SG.
Mkimpata atengeneze combo na kina Coutinho, Lallana, Can, Ibe na DS, you'll be a joy to watch
 
Huyo dogo fundi sana, ila hana 'ubavu' kama wa SG.
Mkimpata atengeneze combo na kina Coutinho, Lallana, Can, Ibe na DS, you'll be a joy to watch


Well Said Mkuu Mourinho

SG hawez kuwa replaced kirahisi!!

But Atleast tupate Dynamic player ambaye atapunguza angalau kidogo ile Void atakayoiacha SG!!!

Itakuwa ni Perfect signing Aisee!!
 
Last edited by a moderator:
Well Said Mkuu Mourinho

SG hawez kuwa replaced kirahisi!!

But Atleast tupate Dynamic player ambaye atapunguza angalau kidogo ile Void atakayoiacha SG!!!

Itakuwa ni Perfect signing Aisee!!

Kama kuna option ya kumrudisha Jonjo Shevley angewafaa sana, yaani kwa akili ya BR yule mpuuzi Allen ni bora kuliko JS???
 
Last edited by a moderator:
hivi hawa long ball utd wanafata nini kwenye thread ya timu yetu tumewachoka

Aisee wewe for the last three days nakuona kule kwenye thread ya man utd unachafua hewa ila huwa nakusoma tu wala sikuulizi Leo unasema tunatafuta mini huku!
 
Kama kuna option ya kumrudisha Jonjo Shevley angewafaa sana, yaani kwa akili ya BR yule mpuuzi Allen ni bora kuliko JS???

Hahahaha!!!

JS tabia zake nje ya uwanja ndo zilimuondoa LFC..

Na alitaka kupata sehem ya kucheza zaid, so BR hakuwa na Jinsi!!!

Allen nadhan BR ana-mbakiza kama Squad player tu, Lakin sidhan kama ana muda mrefu LFC!!
 
Hahahaha!!!

JS tabia zake nje ya uwanja ndo zilimuondoa LFC..

Na alitaka kupata sehem ya kucheza zaid, so BR hakuwa na Jinsi!!!

Allen nadhan BR ana-mbakiza kama Squad player tu, Lakin sidhan kama ana muda mrefu LFC!!

Nakubaliana nawe. JS siyo LFC material kabisa. Just like alivyo Allen - wasted money!

Nina uhakika BR tayari keshaliona hili na kuna uwezekano mkubwa wa kum-offload kwenye summer.
 
Hahahaha!!!

JS tabia zake nje ya uwanja ndo zilimuondoa LFC..

Na alitaka kupata sehem ya kucheza zaid, so BR hakuwa na Jinsi!!!

Allen nadhan BR ana-mbakiza kama Squad player tu, Lakin sidhan kama ana muda mrefu LFC!!

How old is JS? Hivi kina Steve G, John Terry, Rooney wakati wana umri kama huu wa JS si walikua watu wa ulabu sana na ngumi mkononi?
Is JS any worse than Balotelli? Kama anaweza kumpa MB a chance to prove himself, why not a teenager? Cut him some slack bana, mbona huko Swansea katulia.
The press, the social networks na maendeleo ya technology yamefanya private life kuwa almost impossible siku hizi, yaani watu wanademand perfection even from teenagers just bcoz they're pros? Kina Romario, Best off the pitch walikua vichaa mbwa huyu MB cha mtoto
Me naona dogo anahitaji tu guidance kuvuka hiyo foolish age lakini on the pitch JS ni bonge la midfielder
 
Janjaweed

Courtesy of Kenny Rodgers;
Daddy: Son, you don't have to fight to be a man
Son: daddy sometimes you gotta fight when you're a man

Now, let's get back to football
 
Last edited by a moderator:
Mourinho

Ni rahisi sana kum-offload mchezaj ambaye kakulia kwenye System (Academy) kuliko mchezaji ambaye Umemnunua kwa kias ambacho owner ilibid wawe conviced mpaka kukitoa!

Na pia ni rahisi sana kum-offload mchezaji ambaye alisajiliwa na manager mwingine (Kwa LFC, BR alizikuta Signings za Rafa na kenny)..coz ukiulizwa, unaweza ukasema tu, kuwa hazifit katika mfumo mpya ambao kama Manager unataka kuuanzisha!!!

So kwa JS, aliinuka wakat LFC ina midfield crisis...kwa kenny Hakupata playing time ya kutosha, lakin kwa BR alipata muda mwing sana wa kucheza!! lakin media ambazo zikamwita "New SG" zikamfanya ajione ana umuhimu sana kwenye kikosi..loan signing ya Sahin ndo ikazid kumtupa mbali..maelewano yake na BR yakapungua, akaanza kuforce kuondoka, when swansea came in, LFC haikuwa na jinsi, ukitegemea, BR alikuwa kishaamua kumtumia SG kama DM, pamoja na Hendo, huku Lucas na Allen wakicheza kama Back-up, au kwenye "diamond".. Allen alicheza sana!

BR, anapenda kutake control over everything, so mtu kama JS aliibuka kwenye Soccer la UK katika wakat m-baya, wakat wa kocha mwenye "Ego" kuliko makocha wote waliowah kupita LFC, utakumbuka kuwa RS alishawapigwa bench qouter ya mwisho yote msimu wa 2012/2013, baada tu ya kuleta kiburi Melwood..mpaka alipokuja kujirekebisha!!
 
Last edited by a moderator:
Me naona dogo anahitaji tu guidance kuvuka hiyo foolish age lakini on the pitch JS ni bonge la midfielder

Kocha LVG kasema anahitaji mido imara msimu ujao!Why msimuandikie kwenye team yenu kumshauri amchukue JS?Liverpool hii siyo ya akina JS kaka,Ni liverpool ya wachezaji kama akina Pjanic na akina Reus

Zama za mediocre players as JS tuliisha zipita!Akina Falcao na akina Di Maria likely wanapaka sana choo huko walipo kama wangejua wangekuja Liverpool kuja kucheza mpira sio mapasi marefu kama yanavyowatesa sasa
RRONDO everlenk Nzi
 
Last edited by a moderator:
MosDef

Thanks Mkuu, umeiweka vizuri sana... It was all bad timing kati ya JS, BR and umri!!

Vijana wa kiingereza wanaharibiwa sana na media yao, RS is another player ambaye asipoangalia ataondoka na career yake inaweza isipae sana

Kwenye upande wa management ya players, BR has a lot of mistakes, lakini napenda unywanywa wake kwa vitoto, vikianza mapembe tu anavipaki nyuma, watch out RS may be used as a bit-part player for the rest of the season if we keep winning without him
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…