teh teh teh teh...weekend njemanaamini hawa L'pool ni wetu tu, tutawa-Arsenal tu
Terry is Terrible, ule haukuwa mpira wa kupitwa na Torres! Leo tunafunga tela...
Dakika ya 7 inaelekea na mpaka sasa tupo 0 - 0. So far naamini hawa L'pool ni wetu tu, tutawa-Arsenal tu
Kaka nimefarijika na friendly congratsLeo tumefulia.. Hongereni Liverpool, mlikuja na nia ya ushindi. Anzia Malouda, Anelka, Mikel, Terry, Ramirez kigugumizi kilikuwa kikubwa na huyo Kalou, sijui kwa nini anaanzishwa badala ya Sturridge.
Mkuu nimeipenda sana hii post yako...imekaa kifalsafa sana ukizingatia msimu huu tumenyanyasika sana!!Hii ngazi IMARA tutaitumia ipasavyo!ukitaka kwenda juu lazima utumie ngazi imara. Kwa hiyo hapa liver wanatumia ngazi (chelsea) iliyo imara
nothing but love bro'Hii PL haieleweki kabisa, yaani hakuna consistence among top 4, hongera kwa Acid na Kop wote, commiseration to chelsea troupe