Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

sidhani kama anatufaa huyo, kwa mpira wa liverpool, tunahitaji striker ambaye anaweza shuka deep in midfield kama suarez or anaetokea katika wings kama alivyokuwa torres a typical center forward hata kucheza kwa ufanisi, kama kweli BR anataka striker wa maana anayeweza endana na mfumo wetu basi Aguero au jovetic wana tufaa sana. Aguero ni mzuri sana anapokuwa free akitokea wings na Jovetic ni mzuri sana akitokea kwenye midfield. Mtu kama Bony ni mzuri ila siyo kwa mfumo wa uchezaji wa Liverpool
kuna mchezaji yupo timu ya U21 anaitwa Daniel trickett-smith ni mzuri sana tunaweza mtumia kama false number nine kama BR ataamua kustick kwa youngster

Mkuu habari za under 21 tena na michuano kama UEFA,EPLna FA CUP ??????
You must be kidding.
 
I understand msuguano wa kutokuelewana kati ya Agger na BR kwa sasa, umekuwepo tangu mwishoni mwa last season, na nitasema hapa kila siku kuwa Ego na ubabe wa BR ndo uliyucost ubingwa last season..you cant just leave a decent CB you had on the bench kwa ajili ya sakho na skrtel katika game zinazoitaji relaxed and passionate CB's kama Agger katka game muhim za chelsea na crystal palace...

Lakini hii ishu ya kwamba Agger alilia kuomba kuondoka mbele ya wachezaji wengine tena katika dressing room, NAIPINGA kabisa..Joe Allen alishawahi kuulizwa ni mchezaji gani ambaye ni kauzu, mkimya na ambaye hajichanganyi sana na wachezaji wengine na ambaye ni mara chache sana hucheka na wenzie akajibu str8 kuwa ni DANIEL AGGER, SG huwa anapenda kumwita DAGGER..asa leo hii unakuja kuambiwa eti kalia mbele ya wachezaji wengine na mbele ya kocha..that is not the DAgger i know, Dagger ambaye aliikataa Barcelona mara tatu, Barca ya Guardiola, Barca ya vilanova na Ile Barca ya martimo last season, Dagger ambaye aliikataa AC MILAN mara mbili when they came knocking, Dagger ambaye alimtosa Pelegrin na hela za man city last season na ule uliopita...

When Shitty player like mascherano, torres, meireles etc walikimbia he stayed calm yeye na kina SG..

BR japokuwa katurudisha kwenye chart, lakin hajui kiundan what it feels kuwa a LFC player, what it feels kuwa a World class CB huku ukiwa na tatoo ya YNWA kwenye vidole vyako na team ikiwa inamaliza chini ya spurs na everton for the past f*ckn 4 Years..Huo ustrong wa kukataa kwenda kucheza na Messi na kuendelea kuangaika na kina sterling Kuna CB gan mwingine anao pale Sakho, lovren??!! Hakuna, afu leo uje uniambie Agger alilia eti kwenye dressing rooms..

RB, kipind kile Agger anachukua namba ya Callagher, RB alimwita na Jamie na kumwelekeza kuwa tunajaribu kutengeneza kitu kipya hapa, na wewe kama legend tunakuhitaji ubaki hapa, mchango wako bado muhimu, lakin anachofanya BR ni upuuzi, (reina, aquillan, carrol, adams, jay spearing, shelvey, etc) wote wameondoka kwa manung'uniko, hawakuondoka vizuri..

Na the fact kwamba BR anaogopa kumwachia Agger kuondoka katika hali hii, ni ile chuki atakayoipata kutoka kwa mashabik achilia mbali tu kumuuza Agger bali kama LFC ikifanya vibaya kwenye defense again..watu hawatamuelewa, Agger ni ni MCHEZAJI WA PILI ANAYEPENDWA na more than 70million LFC fans across the world ukiachana na SG..so kama anaondoka itabidi anaondoka kwa heshima..na BR should respect that.

Na nimeona jinsi LFC fans walivyoitukana LFC kwenye official page yao ya twitter kuhusu hii ishu ya Agger kulia..nadhan watakuwa wamepata ujumbe...

They should respect AGGER..the 2nd most loyal LFC player behind SG..
Mimi naona RB nae ni sehemu ya tatizo, kwa muda sasa mashabiki wengi wa Liverpool wamekuwa walia na rightback, defensive midfielders, na sasa limeongezeka lingine la striker. kuna wachezaji wapo pale ila kwa kiwango chao cha sasa hawastahiri kuendelea kuwa kwenye kikosi cha kwanza


1. STEVEN GERRARD, najua wapenzi wengi wana mapenzi nae ila tactically SG ni attacking minded mildfielder, na hawezi play ila role ya kuwa anchor kati ya defense na midfield hata kuichezesha timu siyo sana, kwa wale ambao wameangalia mechi zote za pre-season watakubaliana na mimi, kwa mechi zote alizoingia Lucas na kucheza kama DM timu ilionekana organized na alikuwa anaichezesha timu vizuri kuliknganisha na SG. Muda sasa BR kama anataka timu ifanye vizuri either Lucas or Can wacheze kama DM


2. Glen Johnson, kwa muda mrefu Johnson amekuwa akiishi kwenye kivuli chake amekuwa akipoteza mipira kizembe zaidi na siyo mzuri defensively amekuwa ndo weakest link. Ni muda muaafaka sasa kwa BR kumrudisha Flanagan though siyo mzuri sana kwenye attacking atatufaa sana kuliko kuwa na Johnson kwenye hiyo position


3. Kolo Toure, Toure huyu wa leo siyo yule wa kipindi kile akiwa Arsenal kiwango chake kimeshuka sana sidhani kama naweza kuwa bora kuliko Agger, ana-panic sana anapokuwa nyuma huku anakabwa kama last defender akutakiwa kuwa hivyo.


4. Martin skrtel, msimu uliyopita wameruhusu magoli mengi sana na ile tabia yake ya kukumbatia na shirt pulling kwenye box ili kuwa ni hatari sana ana bahati marefa walikuwa hawaoni. Kwa kifupi tu alikuwa shaky sana, mi nadhani mchezaji anaestahiri kuchukuwa nafasi yake ni Tiago Illori kwa wale waliyo muangalia on loan spain watakubariana na mimi yupo calm sana at the back ata kama yupo kwenye pressure.


In a really sense Liverpool tuna mchezaji mmoja tu ambaye ni attacking midfield ambaye ni Countinho na kama ataumia basi kazi itakuwa ngumu sana. Sterling siyo attacking midfielder japo anaweza cheza pale. Luis Alberto alikuwa ni mmoja wa creative midfielder amemtoa kwa mkopo na kumpeleka Spain mi nadhani kama alitaka kutoa kwa mkopo angebakia hapo hapo England.



Tatizo la BR, mfumo wake anaoingia nao uwanjani ukidhibitiwa basi ushindi hapo utakuwa ni ngumu au ndoto kabisa kama ukiangalia game ya pre season na Man united kwasababu LVG tactically alim-outsmart BR kwenye kipindi cha pili na ndio hapo tatizo lilipo na beki inayo panic wakisha fungwa tu.



Hawa youngsters tuliyo nao ni wazuri na watakuwa wazuri sana kama watakuwa nurtured vizuri the likes of Jordon Ibe, suso, Teixiera, brannagan, yesil, trikett-smith, peterson
 
Mkuu habari za under 21 tena na michuano kama UEFA,EPLna FA CUP ??????
You must be kidding.


kwahiyo leo hii unawza kum-rule out sterling kisa ni U21? kama unauwezo haijalishi una umri gani, una kumbuka Jovetic akiwa Fiorentina kwenye champions league alifanyaje baki wetu? na alikuwa na umri gani?
 
Mimi naona RB nae ni sehemu ya tatizo, kwa muda sasa mashabiki wengi wa Liverpool wamekuwa walia na rightback, defensive midfielders, na sasa limeongezeka lingine la striker. kuna wachezaji wapo pale ila kwa kiwango chao cha sasa hawastahiri kuendelea kuwa kwenye kikosi cha kwanza


1. STEVEN GERRARD, najua wapenzi wengi wana mapenzi nae ila tactically SG ni attacking minded mildfielder, na hawezi play ila role ya kuwa anchor kati ya defense na midfield hata kuichezesha timu siyo sana, kwa wale ambao wameangalia mechi zote za pre-season watakubaliana na mimi, kwa mechi zote alizoingia Lucas na kucheza kama DM timu ilionekana organized na alikuwa anaichezesha timu vizuri kuliknganisha na SG. Muda sasa BR kama anataka timu ifanye vizuri either Lucas or Can wacheze kama DM


2. Glen Johnson, kwa muda mrefu Johnson amekuwa akiishi kwenye kivuli chake amekuwa akipoteza mipira kizembe zaidi na siyo mzuri defensively amekuwa ndo weakest link. Ni muda muaafaka sasa kwa BR kumrudisha Flanagan though siyo mzuri sana kwenye attacking atatufaa sana kuliko kuwa na Johnson kwenye hiyo position


3. Kolo Toure, Toure huyu wa leo siyo yule wa kipindi kile akiwa Arsenal kiwango chake kimeshuka sana sidhani kama naweza kuwa bora kuliko Agger, ana-panic sana anapokuwa nyuma huku anakabwa kama last defender akutakiwa kuwa hivyo.


4. Martin skrtel, msimu uliyopita wameruhusu magoli mengi sana na ile tabia yake ya kukumbatia na shirt pulling kwenye box ili kuwa ni hatari sana ana bahati marefa walikuwa hawaoni. Kwa kifupi tu alikuwa shaky sana, mi nadhani mchezaji anaestahiri kuchukuwa nafasi yake ni Tiago Illori kwa wale waliyo muangalia on loan spain watakubariana na mimi yupo calm sana at the back ata kama yupo kwenye pressure.


In a really sense Liverpool tuna mchezaji mmoja tu ambaye ni attacking midfield ambaye ni Countinho na kama ataumia basi kazi itakuwa ngumu sana. Sterling siyo attacking midfielder japo anaweza cheza pale. Luis Alberto alikuwa ni mmoja wa creative midfielder amemtoa kwa mkopo na kumpeleka Spain mi nadhani kama alitaka kutoa kwa mkopo angebakia hapo hapo England.



Tatizo la BR, mfumo wake anaoingia nao uwanjani ukidhibitiwa basi ushindi hapo utakuwa ni ngumu au ndoto kabisa kama ukiangalia game ya pre season na Man united kwasababu LVG tactically alim-outsmart BR kwenye kipindi cha pili na ndio hapo tatizo lilipo na beki inayo panic wakisha fungwa tu.



Hawa youngsters tuliyo nao ni wazuri na watakuwa wazuri sana kama watakuwa nurtured vizuri the likes of Jordon Ibe, suso, Teixiera, brannagan, yesil, trikett-smith, peterson

hapo kwa SG, ni kwamba BR had to shift Him kwenye Deeper role (defensive) coz Lucas alikuwa amedrop kiwango last season..

And SG adapted role mpya fasta sana..u can see his stats for the 2013/2014..na ndo maana alikuwepo kwenye team ya EPL ya msimu..

tackles won- 69%
interceptions-48
crealences-91%
shot accurancy 65%
chances created 69
pass accurancy 86%
dribble succes 71%

kwa stats hizo sidhan kwamba SG alizingua last season, ndo alikuwa nguzo yetu katika midfield..na he had to play deeper zaid kutokana na defense yetu ilivyokuwa mbovu, so alikuwa anarud sana nyuma kuicover defense, na ndo alikuwa anafungua nafasi za mbele, kwa kuanzisha mipira akitokea nyuma..alikuwa anakosa mtu mwingine mwenye nguvu wa kumsaidia katika midfield, ndo maana BR bought Can,

kwenye mfumo wa 4-3-3 au aina nyingine za Mifumo ya BR, ambayo ndo anatumia Guardiola na Klopp, unahitaji midfield ambaye anapass accurancy nzuri, ambaye anajua kupiga pass, na kuutanua uwanja (busquet, kroos, alonso) you dont need fernandiho, gustavo, sandro, ramirez etc, ndo maana stats zinaonyesha SG was one of the best Defensive mid last year katika EPL.

kwa sasa i'd rather play Jonas mkude wa simba katika competitive match kwenye midfield kuliko kumchezesha Lucas..ukweli ni kwamba lucas kadrop saaana kiwango..he needs to step up very fast..

When we bought coates from nacional, he was the best youngest CB in uruguay and Copa america, But alipata nafas chache za kucheza kutokana na majeruhi ya mara kwa mara, it was a good idea kumpeleka on loan tena nacional, coz amerud na ameimprove zaid, ndo maana BR kasema hamtoi tena kwa mkopo, na the way Illori is playing ni kama Coates kwa kila kitu..so we have coates now, illori needs more time to adjust..kuliko abaki na kukaa bench..COATES will suprise a lot of peaple this season..just wait and see.

Kolo toure is just a surplus ni kama lambert.(exprience katika dressing rooms)

When MS, played with Agger, they kept a lot of clean sheets together..but he was very uncomfortable when playing with Black MS na kolo..so nadhan tutaendelea zaid kuona partnership ya MS na DL sana this season..with Coates and Sakho as backUps..

Aaaaaaaand...when we're are talking about LFC defense GJ is just like AIR you cant see it or touch it..HE'S COMPLETERLY SHIT.
 
Ndugu zangu Moreno is likely kama tumempata inasubiriwa tu baada ya August 12 atangazwe!
Je kuna tetesi zozote reliable za striker maana Lambert ni miyeyusho tu
Anya tetesi za striker?
 
hapo kwa SG, ni kwamba BR had to shift Him kwenye Deeper role (defensive) coz Lucas alikuwa amedrop kiwango last season..

And SG adapted role mpya fasta sana..u can see his stats for the 2013/2014..na ndo maana alikuwepo kwenye team ya EPL ya msimu..

tackles won- 69%
interceptions-48
crealences-91%
shot accurancy 65%
chances created 69
pass accurancy 86%
dribble succes 71%

kwa stats hizo sidhan kwamba SG alizingua last season, ndo alikuwa nguzo yetu katika midfield..na he had to play deeper zaid kutokana na defense yetu ilivyokuwa mbovu, so alikuwa anarud sana nyuma kuicover defense, na ndo alikuwa anafungua nafasi za mbele, kwa kuanzisha mipira akitokea nyuma..alikuwa anakosa mtu mwingine mwenye nguvu wa kumsaidia katika midfield, ndo maana BR bought Can,

kwenye mfumo wa 4-3-3 au aina nyingine za Mifumo ya BR, ambayo ndo anatumia Guardiola na Klopp, unahitaji midfield ambaye anapass accurancy nzuri, ambaye anajua kupiga pass, na kuutanua uwanja (busquet, kroos, alonso) you dont need fernandiho, gustavo, sandro, ramirez etc, ndo maana stats zinaonyesha SG was one of the best Defensive mid last year katika EPL.

kwa sasa i'd rather play Jonas mkude wa simba katika competitive match kwenye midfield kuliko kumchezesha Lucas..ukweli ni kwamba lucas kadrop saaana kiwango..he needs to step up very fast..

When we bought coates from nacional, he was the best youngest CB in uruguay and Copa america, But alipata nafas chache za kucheza kutokana na majeruhi ya mara kwa mara, it was a good idea kumpeleka on loan tena nacional, coz amerud na ameimprove zaid, ndo maana BR kasema hamtoi tena kwa mkopo, na the way Illori is playing ni kama Coates kwa kila kitu..so we have coates now, illori needs more time to adjust..kuliko abaki na kukaa bench..COATES will suprise a lot of peaple this season..just wait and see.

Kolo toure is just a surplus ni kama lambert.(exprience katika dressing rooms)

When MS, played with Agger, they kept a lot of clean sheets together..but he was very uncomfortable when playing with Black MS na kolo..so nadhan tutaendelea zaid kuona partnership ya MS na DL sana this season..with Coates and Sakho as backUps..

Aaaaaaaand...when we're are talking about LFC defense GJ is just like AIR you cant see it or touch it..HE'S COMPLETERLY SHIT.


Hata kama alikuwa na performance nzuri angalia hizi data kutoka kwenye official Lfc website halafu uniambie kama SG was worth enough to start, kweli Lucas alikuwa na misimu miwili mibaya baada ya kuumia vibaya ila kwa hizi stats Lucas amem-outplay SG in defensive midfield role kwa msimu wa 2013-2014




8451__9574__lucas263_51fe4251b75fe014921760.jpg



Lucas
Leiva
21
Central Midfield
1.79m
73 kg
9 Jan 1987
Dourados
Brazil

[TD="class: ProfileList"]First Name
[/TD]

[TD="class: ProfileList"]Surname
[/TD]

[TD="class: ProfileList"]Squad Number
[/TD]

[TD="class: ProfileList"]Position[/TD]

[TD="class: ProfileList"]Height[/TD]

[TD="class: ProfileList"]Weight[/TD]

[TD="class: ProfileList"]D.O.B.
[/TD]

[TD="class: ProfileList"]Town of Birth[/TD]

[TD="class: ProfileList"]Country of Birth[/TD]


[TD="class: ProfileHistory"][/TD]

[TD="class: ProfileHistory"][/TD]



[h=2]Player Comparison 2013/2014[/h]
Position
Games played
Minutes Played
Starts
sub-on.png
Substitution On
sub-on-r.png
sub-off.png
Substitution Off
sub-off-r.png

[TH="class: player1, colspan: 2"]Lucas Leiva[/TH]
[TH="class: hidden"]Comparison[/TH]
[TH="class: player2, colspan: 2"]Steven Gerrard[/TH]

[TD="class: player1 image"]
image.php
[/TD]
[TD="class: player1"]MF[/TD]

[TD="class: player2"]MF[/TD]
[TD="class: player2 image"]
image.php
[/TD]

[TD="class: player1"]27[/TD]

[TD="class: player2"]34[/TD]

[TD="class: player1"]1,872[/TD]

[TD="class: player2"]2,900[/TD]

[TD="class: player1"]20[/TD]

[TD="class: player2"]33[/TD]

[TD="class: player1"]7[/TD]

[TD="class: player2"]1[/TD]

[TD="class: player1"]5[/TD]

[TD="class: player2"]6[/TD]
[h=3]General[/h]
Passes
Passing Accuracy
Passing Accuracy opp. Half (%)
Duels Won
Duels lost
Duels won (%)
Aerial duels won
Aerial duels lost
Aerial Duels Won (%)

[TH="class: player1"]Lucas Leiva[/TH]
[TH="class: hidden"]Comparison[/TH]
[TH="class: player2"]Steven Gerrard[/TH]

[TD="class: player1"]1,425[/TD]

[TD="class: player2"]2,219[/TD]

[TD="class: player1"]90.7%[/TD]

[TD="class: player2"]86%[/TD]

[TD="class: player1"]88.5%[/TD]

[TD="class: player2"]80.2%[/TD]

[TD="class: player1"]163[/TD]

[TD="class: player2"]174[/TD]

[TD="class: player1"]126[/TD]

[TD="class: player2"]119[/TD]

[TD="class: player1"]56.4%[/TD]

[TD="class: player2"]59.4%[/TD]

[TD="class: player1"]58[/TD]

[TD="class: player2"]43[/TD]

[TD="class: player1"]34[/TD]

[TD="class: player2"]43[/TD]

[TD="class: player1"]63%[/TD]

[TD="class: player2"]50%[/TD]

[TD="class: player1"][/TD]
 
Hata kama alikuwa na performance nzuri angalia hizi data kutoka kwenye official Lfc website halafu uniambie kama SG was worth enough to start, kweli Lucas alikuwa na misimu miwili mibaya baada ya kuumia vibaya ila kwa hizi stats Lucas amem-outplay SG in defensive midfield role kwa msimu wa 2013-2014




8451__9574__lucas263_51fe4251b75fe014921760.jpg



Lucas
Leiva
21
Central Midfield
1.79m
73 kg
9 Jan 1987
Dourados
Brazil

[TD="class: ProfileList"]First Name
[/TD]

[TD="class: ProfileList"]Surname
[/TD]

[TD="class: ProfileList"]Squad Number
[/TD]

[TD="class: ProfileList"]Position[/TD]

[TD="class: ProfileList"]Height[/TD]

[TD="class: ProfileList"]Weight[/TD]

[TD="class: ProfileList"]D.O.B.
[/TD]

[TD="class: ProfileList"]Town of Birth[/TD]

[TD="class: ProfileList"]Country of Birth[/TD]


[TD="class: ProfileHistory"][/TD]

[TD="class: ProfileHistory"][/TD]



[h=2]Player Comparison 2013/2014[/h]
Position
Games played
Minutes Played
Starts
sub-on.png
Substitution On
sub-on-r.png
sub-off.png
Substitution Off
sub-off-r.png

[TH="class: player1, colspan: 2"]Lucas Leiva[/TH]
[TH="class: hidden"]Comparison[/TH]
[TH="class: player2, colspan: 2"]Steven Gerrard[/TH]

[TD="class: player1 image"]
image.php
[/TD]
[TD="class: player1"]MF[/TD]

[TD="class: player2"]MF[/TD]
[TD="class: player2 image"]
image.php
[/TD]

[TD="class: player1"]27[/TD]

[TD="class: player2"]34[/TD]

[TD="class: player1"]1,872[/TD]

[TD="class: player2"]2,900[/TD]

[TD="class: player1"]20[/TD]

[TD="class: player2"]33[/TD]

[TD="class: player1"]7[/TD]

[TD="class: player2"]1[/TD]

[TD="class: player1"]5[/TD]

[TD="class: player2"]6[/TD]
[h=3]General[/h]
Passes
Passing Accuracy
Passing Accuracy opp. Half (%)
Duels Won
Duels lost
Duels won (%)
Aerial duels won
Aerial duels lost
Aerial Duels Won (%)

[TH="class: player1"]Lucas Leiva[/TH]
[TH="class: hidden"]Comparison[/TH]
[TH="class: player2"]Steven Gerrard[/TH]

[TD="class: player1"]1,425[/TD]

[TD="class: player2"]2,219[/TD]

[TD="class: player1"]90.7%[/TD]

[TD="class: player2"]86%[/TD]

[TD="class: player1"]88.5%[/TD]

[TD="class: player2"]80.2%[/TD]

[TD="class: player1"]163[/TD]

[TD="class: player2"]174[/TD]

[TD="class: player1"]126[/TD]

[TD="class: player2"]119[/TD]

[TD="class: player1"]56.4%[/TD]

[TD="class: player2"]59.4%[/TD]

[TD="class: player1"]58[/TD]

[TD="class: player2"]43[/TD]

[TD="class: player1"]34[/TD]

[TD="class: player2"]43[/TD]

[TD="class: player1"]63%[/TD]

[TD="class: player2"]50%[/TD]

[TD="class: player1"][/TD]
[/QUOTE

...............:.......................::::................

LUCAS LEIVA
•DEFENSE
total tackles (won)-4
Tackles won (%)- 50%
Clearlences- 1
Blocks- 0

•ATTACK
Goals- 0
Total shots- 0
Minutes per goal- 0
Goals from inside the box-0

•DISTRIBUTION
Total passes-39
% of passes long- 0
Passing Accurancy- 85%
Total crosses- 0%
Chances created- 1
Assists-0

STEVEN GERRARD
•DEFENSE
Total tackles- 66
Tackles won- 75%
Clearlences- 60
Blocks- 7

•ATTACK
Goals- 7
Total shots- 59
Minutes per Goal- 358.1
Shooting Accurancy- 54.2%

•DISTRIBUTION.
Passing Accurancy- 86%
Total crosses- 14.7%
Chances created 93
Assists- 9

SG is LIVERPOOL (ukubali, ukatae), The close thing we have kwa SG sahiv ni EMRE CAN..na huwez ukwanzisha CAN moja kwa moja katika DM role katika league kama EPL, ndo maana BR ameanza kumchezesha kiungo cha Pembeni kama box 2 box mid (coz CAN anazunguka uwanja mzima)..na combination ya Can na Hendo itampunguzia kazi SG katka kudefend, na ukizingatia BR anataka Coutinho aingie ndani zaid (kama anavyocheza modric pale RMA), (angalia game yetu na man city, tuliyoshinda bao 3), Ndo maana BR huwa anamfananisha Phill na modric katika interview zake nyingi.

BR alikuwa anacheza attacking football, ambayo ilikuwa inahitaj attacking mids wenye pace na wenye uwezo wa kuforce kuingia na mpira kwenye box, We lacked that last season, na thats why we struggled against Chelsea, crystal palace, Westham, Aston villa and Swansea, (na mpaka kesho Pundits huwa wanamlaum BR kuforce ushindi dhid ya Mourinho pale Anfield huku akijua hama option kwenye wings na Chelsea walikuwa wamepabana katikati, U can see how ATM destroyed chelsea kwa kutumia wings (turan na Lopez)) Liverpool hatukuwa navyo hivyo last season..we had only one option kupita katikati kwa kutumia through passes za Phill na SG..sahiv thats why BR kamnunua Markovic na lallana(lallana anacheza namba zote za mbele na katikati)..Markovic huwa anajaribu kuiga mpira wa Messi, Anapenda kuingia sehem yenye mabek wengi akitokea pembeni..options zitakuwepo kwenye wings, coz RS sahiv anacheza katika free role, anazunguza uwanja mzima, now what we're looking for a Versatile ST ambaye anaweza kwenda sawa na pace za kina phill, RS, LM, AL, ibe na kina suso, ndo maana nasemaga kila siku kuwa BONY hatauweza mfumo wa LFC..

Lucas Leiva was the best Mid katika PL misim miwil iliyopita, (kutoka kufanya tackles more than 75 per season mpaka 4 katika games 27 inaonesha jinsi gani Leiva alivyodrop)

People hating SG coz he slept Against Chelsea, forgeting without his help, tusingekuwepo hata top4 this season (stats zinaonyesha, he was a busy mid kuliko mid yoyote kwenye EPL last season)..

Watu sahiv wanauona ubovu wa Busquet pale Barca kwasababu tu ya beki mbovu ya Barca pale ilivyokuwa last season, Everybody rated GUSTAVO before the WC but defense ya Brazil ilimuangusha na akaonekana hamna kitu kabisa.lakini backline ingekuwa safi usingeona weakness zake.

SG, played with the defense which conceded 50+ last season, But kazi yake kubwa kwenye mid na kina suarez ndo iliifikisha LFC number 2..

people hating coz he slept, Terry slept kwenye penat ya mwisho 2008, dhid ya Man U ambayo iliwacost UEFA title, people walisahau, na he became most complete CB last season.
 
ubingwa tulipotezea kwa west brom, swansea na aston villa, wala siyo SG aliyetukosesha ubingwa waliyo tukosesha ubingwa ni skrtel na kolo toure
 
Manquillo & Lovren kwenye training leo
 

Attachments

  • 1407536177032.jpg
    1407536177032.jpg
    54.4 KB · Views: 91
  • 1407536190595.jpg
    1407536190595.jpg
    70.7 KB · Views: 93
Goodluck PEPE REINA

Unaweza kuingia kwenye Official website yake "pepereina25.com" Kusoma barua yake ya kuwaaga LFC fans and LFC kwa ujumla..

He'll always be a LEGEND.
 

Attachments

  • 1407536451437.jpg
    1407536451437.jpg
    94.1 KB · Views: 82
Emre can
 

Attachments

  • 1407537012275.jpg
    1407537012275.jpg
    71.8 KB · Views: 80
Mimi naona RB nae ni sehemu ya tatizo, kwa muda sasa mashabiki wengi wa Liverpool wamekuwa walia na rightback, defensive midfielders, na sasa limeongezeka lingine la striker. kuna wachezaji wapo pale ila kwa kiwango chao cha sasa hawastahiri kuendelea kuwa kwenye kikosi cha kwanza


1. STEVEN GERRARD, najua wapenzi wengi wana mapenzi nae ila tactically SG ni attacking minded mildfielder, na hawezi play ila role ya kuwa anchor kati ya defense na midfield hata kuichezesha timu siyo sana, kwa wale ambao wameangalia mechi zote za pre-season watakubaliana na mimi, kwa mechi zote alizoingia Lucas na kucheza kama DM timu ilionekana organized na alikuwa anaichezesha timu vizuri kuliknganisha na SG. Muda sasa BR kama anataka timu ifanye vizuri either Lucas or Can wacheze kama DM


2. Glen Johnson, kwa muda mrefu Johnson amekuwa akiishi kwenye kivuli chake amekuwa akipoteza mipira kizembe zaidi na siyo mzuri defensively amekuwa ndo weakest link. Ni muda muaafaka sasa kwa BR kumrudisha Flanagan though siyo mzuri sana kwenye attacking atatufaa sana kuliko kuwa na Johnson kwenye hiyo position


3. Kolo Toure, Toure huyu wa leo siyo yule wa kipindi kile akiwa Arsenal kiwango chake kimeshuka sana sidhani kama naweza kuwa bora kuliko Agger, ana-panic sana anapokuwa nyuma huku anakabwa kama last defender akutakiwa kuwa hivyo.


4. Martin skrtel, msimu uliyopita wameruhusu magoli mengi sana na ile tabia yake ya kukumbatia na shirt pulling kwenye box ili kuwa ni hatari sana ana bahati marefa walikuwa hawaoni. Kwa kifupi tu alikuwa shaky sana, mi nadhani mchezaji anaestahiri kuchukuwa nafasi yake ni Tiago Illori kwa wale waliyo muangalia on loan spain watakubariana na mimi yupo calm sana at the back ata kama yupo kwenye pressure.


In a really sense Liverpool tuna mchezaji mmoja tu ambaye ni attacking midfield ambaye ni Countinho na kama ataumia basi kazi itakuwa ngumu sana. Sterling siyo attacking midfielder japo anaweza cheza pale. Luis Alberto alikuwa ni mmoja wa creative midfielder amemtoa kwa mkopo na kumpeleka Spain mi nadhani kama alitaka kutoa kwa mkopo angebakia hapo hapo England.



Tatizo la BR, mfumo wake anaoingia nao uwanjani ukidhibitiwa basi ushindi hapo utakuwa ni ngumu au ndoto kabisa kama ukiangalia game ya pre season na Man united kwasababu LVG tactically alim-outsmart BR kwenye kipindi cha pili na ndio hapo tatizo lilipo na beki inayo panic wakisha fungwa tu.



Hawa youngsters tuliyo nao ni wazuri na watakuwa wazuri sana kama watakuwa nurtured vizuri the likes of Jordon Ibe, suso, Teixiera, brannagan, yesil, trikett-smith, peterson

hao watatu uliowataja wote wameshapata solution, Emre, Lovren na Flanagan and Sakho is fitting well... Ninachoshangaa ni wewe kukomalia Trikett who cant even beat Lambert for a spot in any team

I think you are biased

Let the manager do his job, he knows more about soccer than me and you

None expected Liverpool to finish in top four and we nearly won the title.... fullbacks waliopo hawatosshi but if Moreno joins, the Flano and Moreno will be starters

Gerro is a starter but wont play 90 minutes day in day out... we have Hendo and Emre

Skertel sio mbaya kama unavyotaka tuamini, if you looked at may goals zilikua either fast break-split in the middle, set pieces au cross hayo ni makosa ya upangaji wa defence kuliko individual players (we saw it in the WC kwa spain national team, mabeki walikua wanajikuta wako sehemu moja na kuacha void kubwa kwa strikers wa opposing team)

The problem we have now ni striker, na sababu kubwa ni Luis Suarez kuondoka na he can be replaced, the team has to adjust... it took us 3 years to replace Torres with Suarez, so expect at least two years to replaces Suarez... only thing we can do ni kuadjust team set up and he is doing it very well with attacking and pacy midfielders kama Lazar, Lallana, combined with Philipe, Sterling, Ibe and Suso

Be positive
 
ubingwa tulipotezea kwa west brom, swansea na aston villa, wala siyo SG aliyetukosesha ubingwa waliyo tukosesha ubingwa ni skrtel na kolo toure

yes tulipoteza ubingwa huko na the game against chelsea ila kumlaumu skertel and kolo pekee bila kipa na stevie unakosea sana

Timu nzima was responsible... midfielders wanatakiwa kurudi ku-cover defence etc

Anyway naona kuna watu umewaamulia sana especially Skertel and kolo

good luck
 
Skirtel yupo safi sana,alijifunga magoli manne,akafunga 7,uzuri wake anafunga,anajifunga! Kolo yeye anajifunga tuu!
 
yes tulipoteza ubingwa huko na the game against chelsea ila kumlaumu skertel and kolo pekee bila kipa na stevie unakosea sana

Timu nzima was responsible... midfielders wanatakiwa kurudi ku-cover defence etc

Anyway naona kuna watu umewaamulia sana especially Skertel and kolo

good luck

Tulipoza ubingwa kadi nyekundu alipewa Henderson hiyo ndo ilialibu kila kitu.
 
Tulipoza ubingwa kadi nyekundu alipewa Henderson hiyo ndo ilialibu kila kitu.

i dont blame him, it was the heat of moment but yes, his absence exxposed Gerro but we lost the title kwa kushindwa kuchukua point kwa chelsea home and away, we didnt beat southampton at home, WBA, Aston Villa draws, and we conceded too many goals

But Gerro slip is one of the most visible blunder, he will live with it forever
 
i dont blame him, it was the heat of moment but yes, his absence exxposed Gerro but we lost the title kwa kushindwa kuchukua point kwa chelsea home and away, we didnt beat southampton at home, WBA, Aston Villa draws, and we conceded too many goals

But Gerro slip is one of the most visible blunder, he will live with it forever

Ni kweli, lakini impact ya Tangu kadi hile, ilikuwa kubwa kuliko kufikilia kosa la SG mechi ya chelsea.SG alikosa mtu wa kumsaidia, Henderson alikuwa anasaidia kushambulia pia na kurudi nyuma.ndiye mchezaji aliyekimbia speed kwa muda mwingi msimu uliopita,alikuwa anatibua moving nyingi Za adui
 
Back
Top Bottom