Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,752
- 7,861
- Thread starter
- #11,121
Pamoja na kufungwa, bado nauona hii ni timu ya ushindani, na inabidi tuhangaike na kina Man U, Swansea, na vitimu vya chini.
Hawa tutawasubiri wakija Anfield; Mtu kwao.
Dahhhh, hahaha....yaani leo hii ManU mshaiweka kundi la "vitimu vya chini?"
Ngoja wenyewe kina Nzi, Belo, na wenziwao wakusome hapa.
#MosKwito !
Last edited by a moderator: