Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,877
Mkuu na wenzako tunawahitaji hapa mtupe challenge!
Lkn kumbuka mwaka huu nakupiga kote kuwili
Hahahaaaaa mkuu nafsi yako inafahamu vzr kabisa kwamba kuifunga Chelsea ipo kz!
Mlikua mnafurukuta wakati wa Rafa Benitez Lkn Sio Kwa hawa makocha wasiokua na plan!
