Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,153
- 10,670
Balo asikae nje mkuu!!Huyu anahitaji bao moja tu la ligi ili arudishe confo yake!Balo is too young only 24 yrs kwa hiyo atatusaidia kwa miaka mingi kama tukimuivisha!!
dont think of balo alone, think about the team... he is not fitting
angalia wenzake wanavyosimama akiwa na mpira... they cant read him..
check move ya magoli ya liverpool vs QPR... sterling, glen, sg and coutinho walikua wanasomana vizuri