Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kama mmoja wa wachezaji wa LFC akustahili kuongea ilo neno la blue kwa Media huo ni uchonganishi tu ama kukuza jambo, asingeongea hayo iyo media isinge mis quote chochote from him, iyo ilibidi aiongelee nyuma ya pazia!!Jaribu kuwaza Balo atajisikia vipi na Hendo atajisikia vip baada ya iyo kauli.....Mkuu Everyone ameshuhudia tukio la Balo kum disresepect wala haikuitaji mmoja wa wachezaji wa LFC kuongea ili tujue Hendo amekua disrespected.
Hekima ni muhimu

SG jana alikuwa ni mchambuzi kwenye kituo cha ITV, so alikuwa anatoa opinion yake pamoja na uchambuzi wake!!!

Na aliongea alichokiona, uwanjani, angeongea kipi?? coz host alikuwa kishaanza hilo suala la "disrespect" SG akakazia tu.

Ni kama Carra anavyosemaga kwenye MNF kuhusu SG kuslip au SG legs have gone etc!!! ni mawazo tu ya mtu yanayoreflect realty!!

Jon Barnes, Fowler etc wangesema the same, Kama Host angeuliza kuhusu mario kumdestrespect Hendo!!
 
Labda niweke clear hili swala la jana la kugombea kupiga penati.....maana limekua ni gumzo sana.... na hii drama au storms yote kwenye media kuanzia jana mpaka leo... chanzo kikuu ni comments za captain G8 alipokua akianalyse game ya jana akiwa na ITV 1 alipom-acuse MB kwa kuonyesha disrespectful for taking the penalty. Yaani Captain alichemsha kwa koment zake za kijinga.

Akumbuke kua baada ya MB kufunga ile penati alifanyakitu fulani pale very important....sijui kama wenzangu mlinotce Aliapologize kwa Hendo, which he did as part in celebrating.....

Dunia nzima kila mtu anajua kua G8 is the first choice penalty taker kwa liverpool.....na kiukweli G8 anajua kua MB naye ni mbaya kwenye maguu 12....trust me....

Kama mnakumbuka G8 kwa mdomo wake mwaka jana mwezi wa 8.....alisema kua i'm aware MB is terrific penalty taker na ana uhakika kua MB atapata nafasi ya kupiga penati kwa club/team. vilevile manager kwa maana BR he told him if he is not on the pitch he will take them.

Mimi binafsi....nashanga kwa nini alilopoka jana...???? alafu mwisho wa siku eti anasema MB aliscore a very important goal.....MMMhhhh!!!!! kama si uzushi nini??? siku zote hua nakua upande wa G8 lakini kwa hili alichemsha ....sipati picha km MB angekosa ile penati???

I`ve seen too many penalty misses by DS in the past and JH should`nt even have been on at the time of the penalty. Bet you with G8 on, MB would never have done this. Our next Captain should be Emre Can, did you notice that he was about the only player who went up to MB, with a thank you......

vilevile JH anapaswa kujua kua Part of being a leader understands the strengths of individuals within your team. And using them to deliver the best possible performance and results. Hendo needs to be wise to the bigger picture. Being captain doesn't mean you control everything all the time. You cannot win a game on your own....

Namalizia kwa kusema....The best penalty taker should take the penalty.

YNWA!!

Wrong AGAIN!

SG hakusema MB disrespected Hendo for taking that Penalty!!

SG alisema, MB disrespected Hendo for taking that ball from hendo's hand!! Coz it was down for Hendo to decide who should take that Pen..

Hii saga wa kulaumiwa ni Danny, ambaye alionesha utoto wa kumlazimisha Hendo akachukue tena mpira kwa MB!!

AGAIN: SG wasn't against the idea of MB taking that penalty.
 
_81120799_jamiecarragher.jpg

Sijui Gerrard kafikiria nini ila kwa ukweli JH siyo mtu wa kutegemea kwenye penalt.. ila MB yuko vizuri.. sipendi sana tabia ya waingereza ya kuwa wabinafsi... kwangu MB is the best penalt taker next to Steven

na pia kama mmeona mechi hizi mbili MB akiingia anabadilisha mchezo sasa ameanza kujua nini cha kufanya.. na siyo mbinafsi kama dogo mjinga RS..

ukiangalia Coutinho ambaye ni best player kwa sasa amesign mkataba tena bila ubishi huyu anayepambwa na magazeti analeta ubishi.. nadhani kama analeta ubishi liverpool wamuuze tu.... tutapata hela nzuri na tutanunua wachezaji wazuri..

Game ya jana was best Game....
 
Angekosa ile penati umu wote lawama lingeangukia kwa Balotel wala msingekua upande wa balotel na kumtetea....cha msingi nyie furahieni ushindi basi lakini mkisema muanze kulaumu uyu kafanya hivi uyu kafanya vile ingekua hivyohivyo kwenu wenyewe kama balotel angekosa ile penati...hongereni kwa ushindi mambo mengine club kama club itayaweka sawa

Kwa mtazamo wako angepiga nan???
 
Kaniboa sana SG na hiyo kauli yake. Angejifunza kwa BR jinsi alivyorespond alivyoulizwa na media.

Kuhojiwa na kuanalyse mpira ni vitu viwili tofauti!!

Yule ni Captain, host kahoji inakuwaje MB anamnyang'anya mpira Hendo??..

ulitaka ajibu vipi kama Captain?? and the Nation is watching him??

SG angesema alichokifanya MB ni sawa, reaction ya opponents fans ingekuwaje??? Anti-LFC medias za Eng zingereact Vipi???

Coz medias tayari zilikuwa zishalabel kile kitu kuwa ni "disrespect" kwa Hendo!!

kenny Daglish supported Suarez after that Racist Incident kwa Evra, alivalisha wachezaj wote ma-tshirt ya kumsupport Suarez, Outcome yake ilikuwa nini??? unakumbuka??? na katika hizo outcomes, moja wapo ilikuwa ya Kenny kupigwa chini as A coach, coz alifanya club ionekane Inasupport racism!!

MB after Scoring that pen, he knew he made a mistake kwa Hendo, thats why he later apologzed kwa Hendo, na hakuishia hapo, mpka Twitter na Insta alifanya the same!!!

huyo SG mnayeMslat hapa, ndo mtu ambaye amefanya MB asettle well, coz kila siku kwenye mazoez ya gym, huwa anachukua muda wa kuongea na MB privately...kina Lucas form zao zingerudi bila motvation wanazozipata kwa SG???..MIGNOLET hawez kumsahau SG mpaka anakufa, coz kipind cha wakat mgumu, SG alikuwa anamsuburia kwenye tunnels au ndani ya dressing rooms kumpa moyo na kumpongeza (unaikumbuka game ya Sunderland?).. Muulize Sakho kuhusu SG..Kwann RS huwa hamletei kiburi SG???

Na lazma SG alimpigia SIMU MB kama Alivyofanya kwa JONJO baada ya kumtukana Ferguson kipind kile wakat anatolewa kwa kadi nyekundu, soon akawaita Talksports and Echo Anfield kuomba msamaha kwa kumtukana Fergie!!!

Kwahyo we ambaye ulifurahishwa na reaction ya Jonjo kumtukana Fergie ulitaka SG aiache ipite???

ndo maana anaitwa "CAPTAIN FANTASTIC"
 
SG jana alikuwa ni mchambuzi kwenye kituo cha ITV, so alikuwa anatoa opinion yake pamoja na uchambuzi wake!!!

Na aliongea alichokiona, uwanjani, angeongea kipi?? coz host alikuwa kishaanza hilo suala la "disrespect" SG akakazia tu.

Ni kama Carra anavyosemaga kwenye MNF kuhusu SG kuslip au SG legs have gone etc!!! ni mawazo tu ya mtu yanayoreflect realty!!

Jon Barnes, Fowler etc wangesema the same, Kama Host angeuliza kuhusu mario kumdestrespect Hendo!!

Mkuu still pamoja na kua alikua mchambuzi ITV kwa ile jana, ye anajua fikra ksho anarudi uwanjani, ye si mchambuzi wa kudumu pale. Katika maoni ulazimishwi kukazia simply bcoz mtu kaanzisha tunaona mara kibao watu wana skip kilichoanzishwa na mtu.
Remember that Carra, Jones Barnes na Fowler hata wangeongea isingeharibu kitu hawa wote hawarudi tena kesho uwanjani kukaa na team na kucheza wako kazini kule.

Its over!!we wanted a win!!tumeshinda
 
Kuhojiwa na kuanalyse mpira ni vitu viwili tofauti!!

Yule ni Captain, host kahoji inakuwaje MB anamnyang'anya mpira Hendo??..

ulitaka ajibu vipi kama Captain?? and the Nation is watching him??

SG angesema alichokifanya MB ni sawa, reaction ya opponents fans ingekuwaje??? Anti-LFC medias za Eng zingereact Vipi???

Coz medias tayari zilikuwa zishalabel kile kitu kuwa ni "disrespect" kwa Hendo!!

kenny Daglish supported Suarez after that Racist Incident kwa Evra, alivalisha wachezaj wote ma-tshirt ya kumsupport Suarez, Outcome yake ilikuwa nini??? unakumbuka??? na katika hizo outcomes, moja wapo ilikuwa ya Kenny kupigwa chini as A coach, coz alifanya club ionekane Inasupport racism!!

MB after Scoring that pen, he knew he made a mistake kwa Hendo, thats why he later apologzed kwa Hendo, na hakuishia hapo, mpka Twitter na Insta alifanya the same!!!

huyo SG mnayeMslat hapa, ndo mtu ambaye amefanya MB asettle well, coz kila siku kwenye mazoez ya gym, huwa anachukua muda wa kuongea na MB privately...kina Lucas form zao zingerudi bila motvation wanazozipata kwa SG???..MIGNOLET hawez kumsahau SG mpaka anakufa, coz kipind cha wakat mgumu, SG alikuwa anamsuburia kwenye tunnels au ndani ya dressing rooms kumpa moyo na kumpongeza (unaikumbuka game ya Sunderland?).. Muulize Sakho kuhusu SG..Kwann RS huwa hamletei kiburi SG???

Na lazma SG alimpigia SIMU MB kama Alivyofanya kwa JONJO baada ya kumtukana Ferguson kipind kile wakat anatolewa kwa kadi nyekundu, soon akawaita Talksports and Echo Anfield kuomba msamaha kwa kumtukana Fergie!!!

Kwahyo we ambaye ulifurahishwa na reaction ya Jonjo kumtukana Fergie ulitaka SG aiache ipite???

ndo maana anaitwa "CAPTAIN FANTASTIC"

Bado sio right, BR amekuwa neutral kwenye media hiyo hiyo and nobody pinned him down. So, even if it was right, but it wasn't necessary.
 
Fans are moaning kwa SG kumsema Vibaya MB, lakin hawafikirii reaction ya opponents (fans and medias) ingekuwaje kama angesema MB alifanya sawa kumnyang'anya mpira Captain Hendo!!!

Maana SG kukubali tu kuwa MB "kamdisrespet" hendo imekuwa HABARI, je angekataa???

And Carra ni pundits n' not LFC footballer anymore, opinions zake zinasimama kama pundits tu, Hazina uzito wowote kwa medias!

Ndo maana sahv huwa anaweza kuongea chochote kuhusu Man utd na Everton!!!
 
Bado sio right, BR amekuwa neutral kwenye media hiyo hiyo and nobody pinned him down. So, even if it was right, but it wasn't necessary.

Henderson angekosa ile penalty, lawama zingeenda kwa nan??
 
Mkuu still pamoja na kua alikua mchambuzi ITV kwa ile jana, ye anajua fikra ksho anarudi uwanjani, ye si mchambuzi wa kudumu pale. Katika maoni ulazimishwi kukazia simply bcoz mtu kaanzisha tunaona mara kibao watu wana skip kilichoanzishwa na mtu.
Remember that Carra, Jones Barnes na Fowler hata wangeongea isingeharibu kitu hawa wote hawarudi tena kesho uwanjani kukaa na team na kucheza wako kazini kule.

Its over!!we wanted a win!!tumeshinda
mr.wise sorry for this, but inaonekana mpaka sasa bado hujamjua Captain wako Vizuri!!

Mfanyie Research zaid kuhusu Mambo yake kwenye dressing rooms na Melwood!!!
 
Last edited by a moderator:
Wrong AGAIN!

SG hakusema MB disrespected Hendo for taking that Penalty!!

SG alisema, MB disrespected Hendo for taking that ball from hendo's hand!! Coz it was down for Hendo to decide who should take that Pen..

Hii saga wa kulaumiwa ni Danny, ambaye alionesha utoto wa kumlazimisha Hendo akachukue tena mpira kwa MB!!

AGAIN: SG wasn't against the idea of MB taking that penalty.

Kaka iko hivi.... captain kama captain yaani G8 alitakiwa asikomet chochote ambacho kingeashilia kukosoa au critisizing mchezaji dhidi ya mchezaji ambao wako tim moja ama kwa kuchukua mpira mikononi mwa mwenzie au taking penalty kwa lazima HAZARANI kwa maana ya kukosoa publically....kama kiongozi G8 angekosoa kosa lolote akiwa dressing room au hata privately basi....lakini G8 kwa kufanya vile amemkosea heshima MB vilevile.Kama kiongozi unatakiwa kujua kudeal na issues.....

mtu mwenye makosa makubwa pale kwenye pitch jana alikua JH.....amabaye anahisi being a captain ni kufanya kila kitu.....km kweli ndugu zangu mnafuatilia games zetu zote mtakubaliana na mimi kua mara nyingi G8 hasipocheza ... JH hua anataka kupiga free kick zote....Contihno mara nyingi hua anaomba kupiga free kick lakini hua JH anamtolea nje.....binafsi hua na mmnind sana we hacha.....

YNWA
 
Henderson angekosa ile penalty, lawama zingeenda kwa nan??
Hii ni outcome ambayo kwa sasa haina umuhimu maana haijatokea na haitatokea. Kwangu mie kauli ya SG haina makosa, lakini kwa status yake kama mchezaji bado na capteni haikuwa na umuhimu kuisema mbele ya public. Angeisema kny dressing room its fine, au angeisema Carragher its ok.
 
mr.wise sorry for this, but inaonekana mpaka sasa bado hujamjua Captain wako Vizuri!!

Mfanyie Research zaid kuhusu Mambo yake kwenye dressing rooms na Melwood!!!

Mkuu namfahamu Gerrard vzuri, ila katika ili amekosea!!Ebu tuache ile kasumba ya kibongo ukiwa bora kwa kila kitu basi eti uwezi kukosea, ama ukikosea usiambiwe.
Yea ni Legend, ni nahodha, ni kila kitu but wht he did was wrong
 
KOPGIRL1971
user-online.png
Forum Tolstoy


Join DateApr 2005Posts40,346​



Today,10:31

Because the club captain opened his gob when he shouldn't have. What he said could cause far more damage than the on-pitch spat, which would have been forgotten about - at least, in the public eye - instead of it being splashed all over the telly and the papers.

First lesson in management, Stevie, don't slam your players on national TV. I hope Rodgers gives him a bollocking.

besides, didn't Gerrard say some months back that, when he's not on the pitch, Balo is the pen-taker?!​





Issue sasa kila mahali
 
Hii ni outcome ambayo kwa sasa haina umuhimu maana haijatokea na haitatokea. Kwangu mie kauli ya SG haina makosa, lakini kwa status yake kama mchezaji bado na capteni haikuwa na umuhimu kuisema mbele ya public. Angeisema kny dressing room its fine, au angeisema Carragher its ok.

Hendo angekosa Penalty, lawama zote zingeenda kwa BR!!!

hiyo ndo fact!
 
Hapa Gerrard angemkomalia Dany tena nje ya media, Captain ndio muamuzi wa kugawa mpira, na Hendo alishagawa kwa Mario bila Mario kuuchukua kinguvu mikononi mwake, sasa Dany alipoingilia yeye ndio alim disrespect Hendo, yani aliona kama uamuzi wa naodha Hendo kumuacha mpira Mario si sahihi
 
Kaka iko hivi.... captain kama captain yaani G8 alitakiwa asikomet chochote ambacho kingeashilia kukosoa au critisizing mchezaji dhidi ya mchezaji ambao wako tim moja ama kwa kuchukua mpira mikononi mwa mwenzie au taking penalty kwa lazima HAZARANI kwa maana ya kukosoa publically....kama kiongozi G8 angekosoa kosa lolote akiwa dressing room au hata privately basi....lakini G8 kwa kufanya vile amemkosea heshima MB vilevile.Kama kiongozi unatakiwa kujua kudeal na issues.....

mtu mwenye makosa makubwa pale kwenye pitch jana alikua JH.....amabaye anahisi being a captain ni kufanya kila kitu.....km kweli ndugu zangu mnafuatilia games zetu zote mtakubaliana na mimi kua mara nyingi G8 hasipocheza ... JH hua anataka kupiga free kick zote....Contihno mara nyingi hua anaomba kupiga free kick lakini hua JH anamtolea nje.....binafsi hua na mmnind sana we hacha.....

YNWA

Jana usiku wakat naangalia Games, Nikacomment hapa kwann Hendo ana-mbania MB kupiga penalty!

Lakin after seeing SG's Analysis, SG akasema kuwa BR alimwambia (SG) kuwa kwenye hii game ya Beskitas mpiga penalty atakuwa Henderson! na wakakubaliana hivyo!

Hendo alionyesha ujinga ndiyo, coz syo mpigaji pen kabisa! but yalikuwa ni maelekezo kutoka kwa BR!
 
Back
Top Bottom