Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mnyakatari umemaliza kila kitu,na haya ndo madhara ya kufundishwa na kocha muingereza! BR anapenda sana wachezaji waingereza,no wonder Man city na Chelsea wanafanya vizuri kila mwaka,hawana hii miingereza mingi,pale Man city muingereza mwenye namba ya uhakika ni Joe Hart tu,pale Chelsea ni J.Terry na Cahill. Hebu angalia Lvpool,SG,RS,DS,JH,JI,JA, halafu karibia wote ni average players
 
Last edited by a moderator:
Preparation for SOTON

7996__1558__training30_54e75bd677fa1154469879_513X307.jpg
 
Back
Top Bottom