Yupo Kenny pale wasimteue kusajili tu
King ken atasajiri kina carroll na paul konchesky kibao!Ktk usajili muweke r benitez kila ck huyu anaingia na yule anatoka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yupo Kenny pale wasimteue kusajili tu
Janjaweed me ndo najaribu kuwaambia watu hapa, BR ana mapungufu yake, Lakin kaubadilisha huu msimu sehem ambayo hatukuitarajia!!I still believe BR is good for this Liverpool transition
Rafa is the past:rip:
Klopp is flop:bolt:
Simeone will come good, but we are in the middle of too many moving parts to change things around:A S-frusty2::juggle:
Guardiola --- Naah, hatujakua Scums au Shitty bado:A S embarassed:
De Boer?? C'mon let the boers manage boers:eyebrows::eyebrows:
I am not happy with some of BR tactics, but he is turning things around
duh! Niliweka bet kwenye post niliyoku-quote kule kwa goons...
Nilisema liverpool ikimaliza juu ya united msimu huu, nipigwe ban ya mwaka mzima...
Ile siku tulichemsha wenyewe... RB approached the game negativelyMechi ambayo huwa nikiwaza inanipa hasira ni UCL final 2007 against Milan tuliyopoteza 2-1
Janjaweed me ndo najaribu kuwaambia watu hapa, BR ana mapungufu yake, Lakin kaubadilisha huu msimu sehem ambayo hatukuitarajia!!
kwanini kila siku awe scapegoat?? kwanini asipewe credits sometimes??
I agree!
For what he did on three last months,BR deserves some credits
BR is a good coach,We (Kops) have to support him 100%!Guys tumetolewa kwa penalty bila wachezaji 5 kikosi cha kwanza(Lucas,Sakho,SG,Cou na Hendo)
BR kocha wetu na mafanikio yatakuja tu
Ile siku tulichemsha wenyewe... RB approached the game negatively
I agree!
For what he did on three last months,BR deserves some credits
BR is a good coach,We (Kops) have to support him 100%!Guys tumetolewa kwa penalty bila wachezaji 5 kikosi cha kwanza(Lucas,Sakho,SG,Cou na Hendo)
BR kocha wetu na mafanikio yatakuja tu
BR ni m-bovu kwenye usajili tu basi.
Binafsi asiposhinda kitu bado sitamuona bora, akomae aweke kabatini kombe lolote, hii ishu ya kuiingiza team kwenye bad situation na kuitoa,ama kufukuzia kombe na kulikosa chupuchupu bado sitaweza simama na kutamba mbele za watu kusema ye ni bora. Mimi kama mimi binafsi Mr.Wise napima ubora kwa ku win vikombe. I hope ataweka kitu kabatini kabla ya kuondoka LFC (ni mtazamo wangu wa ubora)
Poleni sana hii mambo ilitakiwa iishe ndani ya dakika 90 ila uzembe ndo umewagharimu mmefika kwenye matuta,usiku mwema,nirudi Lindon mie.
Asante Bibie, bilashaka lindo limekwenda vyema...
Naomba ruhusa ya kuondoa "uzembe ndo umewagharimu mmefika kwenye matuta". Ushabiki pembeni, our team was second best for the whole 120mns. Liverpool had only three players on the pitch...MIG, SKRTEL & CAN...the rest were rubbish!
Hao hao rubbish ndo wakafanya hao wengine na the whole team ionekane haijafanya kitu.Tafadhali na wewe usiliite kombe mbuzi......
Inaonekana we are on the same page. Waliozembea kutokumaliza mpira with in 90mns walikuwa ni Besiktas. Liverpool walikuwa hawana uwezo wowote in that game
...leo mko na vibonde nyumbani kwenu...Mungu awape nini
Jamani nimeangalia replay...mbona Sturriddge kacheza vizuri sana aisee... Janjaweed!???
Janjaweed me ndo najaribu kuwaambia watu hapa, BR ana mapungufu yake, Lakin kaubadilisha huu msimu sehem ambayo hatukuitarajia!!
kwanini kila siku awe scapegoat?? kwanini asipewe credits sometimes??
Ok............. Thanks
Mkuu ni vizuri zaidi ungetuweka sawa kwa kutumia stats ili tufunguke zaidi.BR ni m-bovu kwenye usajili tu basi.
Mkuu!!Ulitazama mechi ipi iyo??kapoteza nafasi tatu na wala hakujituma plus ubinafs. Okay ebu soma hapa chini
Besiktas 1-0 Liverpool: Player Ratings
Besiktas 1-0 Liverpool
(Besiktas win 5-4 on penalties)
Europa League, Last 32, Second Leg
Ataturk Stadium, Istanbul, Thursday 26th February 2015
SIMON MIGNOLET (out of 10)- 7
KOLO TOURE- 6.5
MARTIN SKRTEL- 7
DEJAN LOVREN- 5
JOE ALLEN- 6.5
EMRE CAN- 6.5
ALBERTO MORENO- 7
JORDON IBE- 5.5
RAHEEM STERLING- 4
MARIO BALOTELLI- 6
DANIEL STURRIDGE- 4
Substitutes
JAVIER MANQUILLO (on for Ibe '77)- 6
ADAM LALLANA (on for Balotelli '82)- 6.5RICKIE LAMBERT (on for Sturridge ‘105)- 5.5
King ken atasajiri kina carroll na paul konchesky kibao!Ktk usajili muweke r benitez kila ck huyu anaingia na yule anatoka