Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

I still believe BR is good for this Liverpool transition
Rafa is the past:rip:
Klopp is flop:bolt:
Simeone will come good, but we are in the middle of too many moving parts to change things around:A S-frusty2::juggle:
Guardiola --- Naah, hatujakua Scums au Shitty bado:A S embarassed:
De Boer?? C'mon let the boers manage boers:eyebrows::eyebrows:

I am not happy with some of BR tactics, but he is turning things around
Janjaweed me ndo najaribu kuwaambia watu hapa, BR ana mapungufu yake, Lakin kaubadilisha huu msimu sehem ambayo hatukuitarajia!!

kwanini kila siku awe scapegoat?? kwanini asipewe credits sometimes??
 
Last edited by a moderator:
duh! Niliweka bet kwenye post niliyoku-quote kule kwa goons...

Nilisema liverpool ikimaliza juu ya united msimu huu, nipigwe ban ya mwaka mzima...

hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahhahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahhahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahhahahahahahahahahahahhhahahahahahahahahahahahh
 
Janjaweed me ndo najaribu kuwaambia watu hapa, BR ana mapungufu yake, Lakin kaubadilisha huu msimu sehem ambayo hatukuitarajia!!

kwanini kila siku awe scapegoat?? kwanini asipewe credits sometimes??

I agree!
For what he did on three last months,BR deserves some credits

BR is a good coach,We (Kops) have to support him 100%!Guys tumetolewa kwa penalty bila wachezaji 5 kikosi cha kwanza(Lucas,Sakho,SG,Cou na Hendo)

BR kocha wetu na mafanikio yatakuja tu
 
Last edited by a moderator:
I agree!
For what he did on three last months,BR deserves some credits

BR is a good coach,We (Kops) have to support him 100%!Guys tumetolewa kwa penalty bila wachezaji 5 kikosi cha kwanza(Lucas,Sakho,SG,Cou na Hendo)

BR kocha wetu na mafanikio yatakuja tu

We do support him
 
Jamani nimeangalia replay...mbona Sturriddge kacheza vizuri sana aisee... Janjaweed!???
 
Last edited by a moderator:
I agree!
For what he did on three last months,BR deserves some credits

BR is a good coach,We (Kops) have to support him 100%!Guys tumetolewa kwa penalty bila wachezaji 5 kikosi cha kwanza(Lucas,Sakho,SG,Cou na Hendo)

BR kocha wetu na mafanikio yatakuja tu

Well said Malafyale
 
Last edited by a moderator:
Binafsi asiposhinda kitu bado sitamuona bora, akomae aweke kabatini kombe lolote, hii ishu ya kuiingiza team kwenye bad situation na kuitoa,ama kufukuzia kombe na kulikosa chupuchupu bado sitaweza simama na kutamba mbele za watu kusema ye ni bora. Mimi kama mimi binafsi Mr.Wise napima ubora kwa ku win vikombe. I hope ataweka kitu kabatini kabla ya kuondoka LFC (ni mtazamo wangu wa ubora)

hakuna ubora mwingine zaid ya huo...na kwakikosi iki tufurahie tu kucheza mpira wa kuvutia ila makombe cdhan.....
 
Poleni sana hii mambo ilitakiwa iishe ndani ya dakika 90 ila uzembe ndo umewagharimu mmefika kwenye matuta,usiku mwema,nirudi Lindon mie.

Asante Bibie, bilashaka lindo limekwenda vyema...
Naomba ruhusa ya kuondoa "uzembe ndo umewagharimu mmefika kwenye matuta". Ushabiki pembeni, our team was second best for the whole 120mns. Liverpool had only three players on the pitch...MIG, SKRTEL & CAN...the rest were rubbish!


Hao hao rubbish ndo wakafanya hao wengine na the whole team ionekane haijafanya kitu.Tafadhali na wewe usiliite kombe mbuzi......

Inaonekana we are on the same page. Waliozembea kutokumaliza mpira with in 90mns walikuwa ni Besiktas. Liverpool walikuwa hawana uwezo wowote in that game

...leo mko na vibonde nyumbani kwenu...Mungu awape nini
 
Inaonekana we are on the same page. Waliozembea kutokumaliza mpira with in 90mns walikuwa ni Besiktas. Liverpool walikuwa hawana uwezo wowote in that game

...leo mko na vibonde nyumbani kwenu...Mungu awape nini

Hii EPL ilivyovaa kimini ambacho chamtega mtu yeyote hakuna timu kibonde, lakini mcheza kwao hutuzwa naamini tutashinda ushindi mnono tutafuta machozi ya last week.
 
Jamani nimeangalia replay...mbona Sturriddge kacheza vizuri sana aisee... Janjaweed!???

Mkuu!!Ulitazama mechi ipi iyo??kapoteza nafasi tatu na wala hakujituma plus ubinafs. Okay ebu soma hapa chini
[h=1]Besiktas 1-0 Liverpool: Player Ratings[/h]Besiktas 1-0 Liverpool
(Besiktas win 5-4 on penalties)
Europa League, Last 32, Second Leg
Ataturk Stadium, Istanbul, Thursday 26th February 2015
SIMON MIGNOLET (out of 10)- 7
KOLO TOURE- 6.5
MARTIN SKRTEL- 7
DEJAN LOVREN- 5
JOE ALLEN- 6.5
EMRE CAN- 6.5
ALBERTO MORENO- 7
JORDON IBE- 5.5
RAHEEM STERLING- 4
MARIO BALOTELLI- 6
DANIEL STURRIDGE- 4

Substitutes
JAVIER MANQUILLO (on for Ibe '77)- 6
ADAM LALLANA (on for Balotelli '82)- 6.5RICKIE LAMBERT (on for Sturridge ‘105)- 5.5
 
Janjaweed me ndo najaribu kuwaambia watu hapa, BR ana mapungufu yake, Lakin kaubadilisha huu msimu sehem ambayo hatukuitarajia!!

kwanini kila siku awe scapegoat?? kwanini asipewe credits sometimes??

.....you can say that again!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu!!Ulitazama mechi ipi iyo??kapoteza nafasi tatu na wala hakujituma plus ubinafs. Okay ebu soma hapa chini
Besiktas 1-0 Liverpool: Player Ratings

Besiktas 1-0 Liverpool
(Besiktas win 5-4 on penalties)
Europa League, Last 32, Second Leg
Ataturk Stadium, Istanbul, Thursday 26th February 2015
SIMON MIGNOLET (out of 10)- 7
KOLO TOURE- 6.5
MARTIN SKRTEL- 7
DEJAN LOVREN- 5
JOE ALLEN- 6.5
EMRE CAN- 6.5
ALBERTO MORENO- 7
JORDON IBE- 5.5
RAHEEM STERLING- 4
MARIO BALOTELLI- 6
DANIEL STURRIDGE- 4

Substitutes
JAVIER MANQUILLO (on for Ibe '77)- 6
ADAM LALLANA (on for Balotelli '82)- 6.5RICKIE LAMBERT (on for Sturridge ‘105)- 5.5

Thanks mkuu, ila wala haukua na haja ya kumjibu jamaa kwa stats, alikua anadhihaki tu!!!

Sturridge, Sterling and Lovren were cr@p
 
Back
Top Bottom