Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

MaEverton hayana uwezo wowote wa kuisaidia LFC, syo ya kuyategemea yale, Team lao kwanza bovu, na Wed yanacheza na Stoke City..Yakafie Mbele!!

Kuhusu Arsenal na Manure wala usiwe na hofu, Weeks zinazokuja utaona utofauti tu..

Tulihitaj kuclose the gap kama hivi, mambo mengine yatajipa tu weeks zinazokuja!!!

Everton mafala!
 
Nami wala sijaichukulia ubaya...nimeongea kwa kuwa kuongea ni kawaida kwa mtu anayeweza kuongea, au siyo?

Mimi nimeshaweka bet na mloserfool Malafalye...na naweka na maloserfool wote humu sasa kwa kuweka hela, nyiye hata msiweke chochote..

Liverpool ikamaliza juu ya United msimu huu, licha ya kupigwa ban ya mwaka mzima kwenye jukwaa la United, nitawapa washabiki wa Liverpool US$ 100 wa jukwaa hili

samahan kwa tanzania izo ni shingap mkuu ili nijue ntakua na shngap
 
hongereni looserfools
 

Attachments

  • 1425235643508.jpg
    1425235643508.jpg
    31 KB · Views: 118
Sa hv mwendo n kumfunga tu kila alyeko juu yetu, kutoka nafasi ya 8 hko mpaka sa hv tumepanda moja moja mpaka kufika 5, ila mapambano yanaendelea, tukienda ugenini ni clean sheet tu
 
Kwa mara ya kwanza naomba nitoe shout out za kutosha kwa Lovren akiwepa game kama 3 mfulilizo he can make a better move

Hii tactic ya BR ya kuacha wapinzani wamiliki mchezo inasaidia kiasi chake. Thanks BR siku hizi natembea kifua mbele kama nimepigwa ngumi ya mgongo

Magoli ya Hendo & Cou are the magnificent

Still Anti-sterring
 
Last edited by a moderator:
Kwa mara ya kwanza naomba nitoe shout out za kutosha kwa Lovren akiwepa game kama 3 mfulilizo he can make a better move

Hii tactic ya BR ya kuacha wapinzani wamiliki mchezo inasaidia kiasi chake. Thanks BR siku hizi natembea kifua mbele kama nimepigwa ngumi ya mgongo

Magoli ya Hendo & Cou are the magnificent

Still Anti-sterring

Stunning all-round display from the boys today!

Considering we started the match without an out-and-out striker, credit to the Irish man himself (BR) the way he's managed to so effectively shuffle his pack these past few weeks.
 
Last edited by a moderator:
Stunning all-round display from the boys today!

Considering we started the match without an out-and-out striker, credit to the Irish man himself (BR) the way he's managed to so effectively shuffle his pack these past few weeks.

Kweli mkuu

This man need big credit he turn up the game real nice this days
 
Mie mpaka hapa tulipofikia kwenye msimu huu kama kuna Manager ambaye anastahili kupewa tuzo ya kuwa Manager of the year basi ni Brendan Rodgers. Jinsi Liverpool walivyoaanza vibaya msimu huu na kuwepo katika nafasi waliyofikia leo hii jamaa anastahili pongezi nyingi na sitashangaa kama wakiwemo katika tatu bora.

....you can say that again!
 
Back
Top Bottom