Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

United made it....8 to go...




Naona leo Loserfools ndiyo wamepona kupata kipigo cha aibu...shukrani kwa LvG...



Ulikuwa sahihi kabisa. Man United haijapata sare kabisa, ila imepata ushindi na kuondoka na points 3..




I bet you are 'eating' your own words now....



Keep on dreaming dreamer...don't wake up please...



Surely, the 90 mins decided the game....



Naona kweli mnakuja kimya kimya....



Future impossible tense....



United is your worst nightmare, which was waiting to haunt you again....



Naona matarajio yako yalikuwa ni sare....sasa United imeondoka na zaidi ya sare, points 3...



Mh! Ebu rudia tena kusema haya....



Whatever you wrote, it is now haunting you lad...



Umejaribu kuwa objective, lakini umeshindwa kuficha unazi wako...hizo poor decisions zilikuwa in both ends ama?
Congrats Nzi

That is soccer, not played on paper
 
Last edited by a moderator:
Kimavi zaidi ya mavi
 

Attachments

  • 1427062690829.jpg
    1427062690829.jpg
    16.4 KB · Views: 81
  • 1427062705207.jpg
    1427062705207.jpg
    38.2 KB · Views: 81
  • 1427062726237.jpg
    1427062726237.jpg
    26.3 KB · Views: 81
  • 1427062746457.jpg
    1427062746457.jpg
    31.8 KB · Views: 73
  • 1427062762908.jpg
    1427062762908.jpg
    22 KB · Views: 74
  • 1427062787060.jpg
    1427062787060.jpg
    49.5 KB · Views: 76
Ndiyo kitu cha kujisifia hicho? wakati Rooney aliamua kuwahurumia kupunguza aibu ya bao 3-1.
Hata hivyo tunawashukuru kwa kutukirimia pointi 6 zote kwa msimu huu.
Tunawapongeza kwa kujitunza toka mwaka jana mwezi december mpaka leo tumekutana tena. Sasa ruksa unaweza kufungwa na wengine...

hajahurumia kitu pale siku zote yeye ana hamu ya kupata bao pale anfield lakn ndo hvoo kubal tu kakosa but sio kuhurumia
 
Mr. Wise Gwamahala Malafyale nguvu na Tee Bag pole sn wakuuu.....
Mr. Wise una kipi cha kuniambia kutokana na viungo wako wa kati walivopotezwa kwa muda wote na Mbabu carrick na Herrera na Fellain?....nilisema hili mapema kabisa kabla ya mchezo lkn nikaonekana napiga kelele lkn yametimia....hakuna cha Hender, Allen Coutinho wa Raheem......na bado mchezo wa Arsenal na mtafungwa tena na top four nyie muisahau kabisa....nimekua nawambia kila wakati lkn hamuelewi.....sasaivi ligi imeshaisa kila mtu anakufa na nafasi yake.....kumtoa mtu ktk nafasi yake ni mbinde.......
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom