Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna mkosi wala nini...ni mazingira ya soccer industry ndiyo yaliyobadilika during the last 20 years. Money craze.Duh sijui kuna mkono wa mtu hapa bwawani,maana hii ni nuksi,sijui balaa gani,yani mwaka wa 20 bila kombe la premier england inakimbilia sasa,yani hadi kizazi cha bongo fleva kikiambiwa hii ndio timu yenye mafanikio makubwa england wanaweza kukataa na kukubishia maana hadhi inashuka sasa inakuwa hadhi ya kina wigan,nadhani kuna mtu bwawani wamemkosea kaacha laana inawezekana,maana kama Real Madrid walivyomfukuza Del Bosque,robo fainali walicheza mara 1 tu 2004,mpaka leo hawajavuka zaidi ya raundi ya 2,labda Mourinho anaweza kuwaondolea huo mkosi,hatujui?
Du! Wenye nyumba wamekimbia, ndio ukubwa huo.
Mwaka huu you will walk alone.
Invisible.... kwa hesima ya the kops naomba hii sredi uipeleke kule kwetu ili kuleta uhai, tumepoa sana
...katika jitihidi za kumfufua tena huyu mgonjwa Intensive Care;
![]()
...hapa Acid sijui ulikuwa unakusudia nini bro. Nijuavyo mimi Invisible ni Chelsea, au ndio mnataka COALITION?
Chel-Pool Special thread?
swahiba...ha ha haaaaa haa, eti ni kweli kina QUEMU, ACID, FMES na Wengineo mmeingia mitini?
aaah, polepole ndio mwendo,...Liverpool kidogo kidooogo inapanda,...
Tunawaona waleee nafasi ya kumi sasa kwenye msimamo wa ligi.
Winter likishamalizika hili sia ajabu tukawaona kwenye nne bora.
BTW, nimeupenda mwonekano mpya (utangulizi) wa thread...Big Up!
swahiba
wanasema kama huna cha kusema basi kaa kimya... ndivyo nilivyokua mwenzako, hakuna cha kusema wakati we are being battered like chelsea against asamoah gyan
nimekua bubu
nothing to say
we are inconsistent and our road trips have been quite bad
we are excellent at anfiled, kama vile fulham ilivyokua kali kwao, we have just turned into the cottagers
but i am still hopeful that we will be in top four
Cousin pole sana naona mnazidi kujichimbia kaburi mustakabali wa Roy sijui ukoje.3-1
Bye bye Roy
3-1
Bye bye Roy