Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,205
S'land wanapitia sana kwa J Enrique..........wamepata kona mbili na hii ya pili mpira umembabatiza SUAREZ....akakimbia nao na kukwatuliwa kwenye 18 ya S'land... PENALTTTTTTTTTTTTTTTTTTTTTTTTTTTT..... Suarez akaipaisha mbaya... that was a GREAT MISSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSS
Sema mkuu naona umerudi rasmi.
Safi sana, tuko pamoja.