ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,767
- 6,575
pumba tu, zawadi yako ni :A S thumbs_down:
mpaka mbebwe ndio mshinde na bado na subiria mpigwe tu..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
pumba tu, zawadi yako ni :A S thumbs_down:
suarez kaapologize. maelezo zaidi ingia hapa Goal.com
Jamaa kaapologize kisanii sana, funika kombe mwanaharamu apite..isome vizuri hiyo statement
nadhani ili awazibe mdomo tu..maana kina fergie walishaanza kuongea na pale ukiangalia vizuri evra alikuwa anamsubiri suarez ampe mkono afu jamaa kamruka mbaya..
Nilidhani hii issue ilishaisha,Luis Suarez alikosea kutompa mkono Evra wakati kabla ya mechi alimwambia Daglish atamsihka mkono.FA nao wameshindwa ku-ihandle hii issue vizuri nafikiri ni bora wangejaribu kuwakutanisha Evra na Suarez kabla ya mechi wakamaliza tofauti zaoPunainen red, hiyo comment yako kidogo naikubali kuhusu media za UK zina Anti liverpool hasa SKY! Suarez anakosa kubwa hata mie nilisoma ile statement Evra kakiri yeye ndio alianza kwahiyo aliutafuta ugomvi na kakiri katukana sababu kakiri katukana yy pia angepigwa hata small fine bila ban kama FA wanafanya kazi yao, na sehemu kubwa zaidi Evra kasema kwenye ile Statement hazani kama Suarez mbaguzi, hata kama yy mbaguzi ila Evra alishasema hazani kama ni mbaguzi na kama wanafata ya Evra walitakiwa wafanye Evra alivyosema sio uamuzi wao mbona Terry wameirusha upande wa pili na mpaka ligi iishe June isiwe time ya Aibu kwa FA na Terry FA wanamchezo wa kupiga Ban wageni ila wao watu wao kama Rooney wanaenda kumtetea ban FA hawana msimamo ni kweli Blatter walikuwa na machungu naye sababu aliirusha World Cup Russia. Kama United Fan kwenda na nguo za KKK wangefanya Fan wa LFC Media ingepiga kelele mpaka mwisho wa ligi ila mie msimamo wanGu Kenny atolewe yy ndio Chanzo ya mengi naye. Sawa nakusema UK lazima wampe Mkono Mugabe.
Lazima tuwakanyage Stoke City. Halafu tumebahatika kukipga nyumbani. You will never walk aloneJumapili ijayo tarehe 26 feb tuko Wembley kukipiga na Cardiff kwenye fainali ya Carling Cup... Na ktk last eight za FA tumepangiwa kukutana na Stoke.....Kila la heri Majogoo....
Chijui maringo yalikuwa ya nini .... ..... .... tetesi wameomba msamaha wasamehewe Surez na King Kenny ooops queen wengine wanachema.
Mwenzenu keshaomba msamaha. Nyinyi endeleeni kulamba miguu yake na ****** wake.
Pamoja sana mkuu... YNWA.Its politico game dude.... he took it to the chin!!! Like any other sportsman, but his heart is pure
Hivi leo nikiambiwa nimshike mkono MS unadhani ntafanya??? never. and i will stick to my gun forever.... Suarez did the right thing, believing in his guts (i have changed my mind and now i support him not shaking hands with a muppet
Helloooo----Wazeiya mupo???! Leo majogoo tuko ndani ya Wembley.... Kila la here The Reds woooote! YNWA.