Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

"What we learned over the years if you want to be around City, you better win all your games," said Klopp. "This is the league, this is the time City are dominating. They play incredible stuff and would probably consider themselves to not be playing their best season.
Jurgen Klopp
 
No,
Form haizai consistency
Class ndiyo huzaa consistency

Unakumbuka form ya SAKA last season pale arsenal? Walifika mpaka kusema ndiye best Winger in the world.
Lakini leo ile Form yake ipo wapi? Kwasababu hakuwa na Class.

Unawakumbuka Ansu Fati, Isco na Asensio?
Ansu Fati alionekana kama ndiye mrithi wa Messi akapewa mpaka Jezi namba 10 lakini yupo wapi?
Isco na Asensio wakaonekana kama ndiyo new Ronaldo pale Madrid lakini waliishia wapi?

Hii yote ni kuwa walikuwa kwenye form tu lakini hawakuwa na class.

Sir Alex Ferguson alishasema kitambo kuwa "Form is temporary but class is permanent".

Form ziliwafanya [emoji116]
  • Dele Alli aonekane Modric
  • Tammy Abraham aitwe Drogba
  • Gavi aitwe Xavi
  • Mason Mount asajiliwe Manchester
  • Odoi asiuzwe Bayern kwa £40M

Leo hii wachezaji waliokuwa katika form wote wamepotea wamebaki wale waliopo kwenye Class tu.

FORM HAITENGENEZI CONSISTENCY, CLASS NDIYO HUTENGENEZA CONSISTENCY.

Mkuu hata Class inategemea form. Ni ngumu sema upo class without form, form ni uwezo wako uwanjani unafanya nini? Hiyo Class inaletwa na talent. Vipaji haviwezi kufanana ndio maana ikaitwa class can be A B C D, itategemeana, hii ndio inaleta hiyo consistency.

Form inaanza ije class ije consistency. Huwezi just from nowhere huna form with class useme utapata consistency. Ule mwanzo ndio inakupa form sasa baada ya form ndio utafute class ambayo itakuletea consistency.

Form - nini ukifanyacho uwanjani?
Class - unafanya kwa kiwango gani?
Consistency - unamuondelezo navyo?
 
Mtamuelewa tu hata kwa lazima.

Trent ndiye mchezaji bora duniani,ukitoa Mo Salah.


Hivi nani anamuangalia Mane bado?
Ni huruma,kaisha mpira..
Arudi tu Anfield kama vipi.

Ngoja madam nikuambie kwa wewe unafikiri tunamchukia mchezaji au hatumuelewi, hapana

Mfuate mpenzi wa Liverpool yeyote ask him/her about TRENT, atakujibu tunayoyazungumza humu kila siku.

Maoni yako hayapingwi.
 
"What we learned over the years if you want to be around City, you better win all your games," said Klopp. "This is the league, this is the time City are dominating. They play incredible stuff and would probably consider themselves to not be playing their best season.
Jurgen Klopp

Na ndio mahali, City anapatia makombe. Licha ya injuries zake huwa anahakikisha haachwi mbali, na kipindi hiki ngumu kukuta City ana majeruhi plus suspension wakati sisi ndio muda wa kukusanyawachezaji wodini
 
Mkuu hata Class inategemea form. Ni ngumu sema upo class without form, form ni uwezo wako uwanjani unafanya nini? Hiyo Class inaletwa na talent. Vipaji haviwezi kufanana ndio maana ikaitwa class can be A B C D, itategemeana, hii ndio inaleta hiyo consistency.

Form inaanza ije class ije consistency. Huwezi just from nowhere huna form with class useme utapata consistency. Ule mwanzo ndio inakupa form sasa baada ya form ndio utafute class ambayo itakuletea consistency.

Form - nini ukifanyacho uwanjani?
Class - unafanya kwa kiwango gani?
Consistency - unamuondelezo navyo?

Ndiyomana nikasema Bradley yupo kwenye form, while TAA ana class.

Hivyo Bradley anapaswa awe na Class ili awe katika Consistency ndiyo atamueka Bench TAA.

Lakini form aliyonayo sasa ni kama ya Saka msimu uliopita au Foden na Mount msimu wa mwaka juzi walikuwa on fire lakini msimu huu wote wamekuwa Minamino kwasababu form ni ni temporary tu muda wowote inapotea.
 
Ndiyomana nikasema Bradley yupo kwenye form, while TAA ana class.

Hivyo Bradley anapaswa awe na Class ili awe katika Consistency ndiyo atamueka Bench TAA.

Lakini form aliyonayo sasa ni kama ya Saka msimu uliopita au Foden na Mount msimu wa mwaka juzi walikuwa on fire lakini msimu huu wote wamekuwa Minamino kwasababu form ni ni temporary tu muda wowote inapotea.
Shkamoo King
Mabandiko yako unajua kuyapanga yakapangika.
 
“To think I've played 300 times for the club is an amazing feeling. It doesn't feel like 300 at all but it's flown by.” [emoji3590] 'It's flown by!' - Trent Alexander-Arnold reflects on 300 Liverpool appearances - Liverpool FC
JamiiForums1141179496.jpg
 
Ndiyomana nikasema Bradley yupo kwenye form, while TAA ana class.

Hivyo Bradley anapaswa awe na Class ili awe katika Consistency ndiyo atamueka Bench TAA.

Lakini form aliyonayo sasa ni kama ya Saka msimu uliopita au Foden na Mount msimu wa mwaka juzi walikuwa on fire lakini msimu huu wote wamekuwa Minamino kwasababu form ni ni temporary tu muda wowote inapotea.

Kwa ili mtu awe class anahitaji nini?
 
Back
Top Bottom