Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Screenshot_20240205-185549.jpg
 
Mi mwenzenu sijui kwa vile sijui mpira, yaani simuelewi hata huyo dogo.

No kuujua au kutokujua kuna vitu basics unaona tu hapa kazi ipo.

Graven ni talent sana tulimtaka akiwa Ajax kabla hata Bayern hawajamtaka, ila Bayern wakatuzidi kete dogo akachagua huko na ikaishia hivyo.

He is good inahitaji kujituma zaidi, ajitume sana. Akili inataka mwili unakataa
 
Unafanya analysis kishamba sana....ukianza kuzungumzia Nyumbani na ugenini Kila mtu kwny ligi ana mechi ziko tricky sana....unataka kusema hapa Liverpool hatafungwa tena hadi ligi inaisha na wenzake watakuwa wanadundwa tu....West Ham kushinda mechi ya kwanza haimaanishi na ya pili watashinda....Man City anaweza akadondosha points naye....halafu tangu Klopp aje mmebeba EPL mara ngapi kwni....yaani unataka kufanya kama vile ni mabingwa wa mara kwa mara wakati na nyny ni wafukuza upepo tu kama Arsenal....

Arsenal ukiondoa last season lini alifukuzia ubingwa toka era ya Pep na Klopp itue EPL???

Maana unachokipinga ndicho unachokisema.
 
Arsenal ukiondoa last season lini alifukuzia ubingwa toka era ya Pep na Klopp itue EPL???

Maana unachokipinga ndicho unachokisema.
Ukisoma hyo comment yangu vzuri ninachokipinga ni akili ya jamaa kwmba Liverpool mechi karibu zte zilizobaki kwake ni rahisi...hasa zile big games atakazocheza pale Anfield....kwngu mm hlo ni kosa kubwa sana kufikiria hvyo....
 
Ha haaa Klopp alijua kampanga bladley nini?
Kwa hiyo huyu mzee hajui mapungufu ya wachezaji wake kweli Tim inamzidi uzito Sasa acha apumzike tu
Bradley amefiwa na babake mzazi ndio maana jana hakucheza.

Klopp jana kazingua sana. Kaweka ballers tupu Mac baller, Jones baller, Gravenberch baller... Bora tu angecheza na Gakpo MF kama hakua na imani kumuanzisha Elliott na Jones..

Kuumia Domy ni janga lingine.

YNWA
 
Aseno bhana😂
Kweli shibe Mwana malevya.
Ona wanavyodanganyana,, eti Liver hata kuwapiga FA walibahatisha.

Hawa ndio wachambuzi wa kina HENRY14
 

Attachments

  • Screenshot_20240205-214841.jpg
    Screenshot_20240205-214841.jpg
    95 KB · Views: 5
Ila kiukweli mtindo wa Allison kutoka nje ya goli na kukaa karibia katikati ya uwanja ,utadhani naye ni beki aisee hii tabia inanikera sa
Ukitazama sana tabia ya ma swipa kipa kutoka Brazil hii staili wanayo sana y kutoka golini kila wakinusa hatari yaja... Sometimes ni sawa kwa hesabu sasa ila sometimes sio sawa kama jana kwa sababu ile situation VVD alikua 'ameshaituliza' kabla ya Allison kuja spidi kali sana aafu akaishia kua spectator...sio mara ya kwanza ameti cost point na haitakua mara ya mwisho kutu cost point.

YNWA
 
No kuujua au kutokujua kuna vitu basics unaona tu hapa kazi ipo.

Graven ni talent sana tulimtaka akiwa Ajax kabla hata Bayern hawajamtaka, ila Bayern wakatuzidi kete dogo akachagua huko na ikaishia hivyo.

He is good inahitaji kujituma zaidi, ajitume sana. Akili inataka mwili unakataa
Duh
Sielewi hata anachocheza
Mzito huyo kama tembo.
 
Yote tunayo
Carabao
EPL
UEFA
Fa
Na vikombe vingine vya chai



Wewe orodhesha hapo ya kwako
Lile mlilotubutua wiki 3 zilizopita tulishinda msimu wa kwanza wa Arteta....zaidi ya hapo hakuna cha maana...ila nyny wakubwa wa ligi mmebeba sana makombe inaonekana🤠🤠🤠
 
Ukitazama sana tabia ya ma swipa kipa kutoka Brazil hii staili wanayo sana y kutoka golini kila wakinusa hatari yaja... Sometimes ni sawa kwa hesabu sasa ila sometimes sio sawa kama jana kwa sababu ile situation VVD alikua 'ameshaituliza' kabla ya Allison kuja spidi kali sana aafu akaishia kua spectator...sio mara ya kwanza ameti cost point na haitakua mara ya mwisho kutu cost point.

YNWA
Ujinga ni pale anaporudia tabia hiyo magoli yote
Lile la pili ningekuwa VVD ninfemuwasha vibqo
Jamaa sijui alivuta bangi za wapi..
Anakera sana

Kelleher is better than Allison.
 
Ukute hajiwezi bila Salah akaona asepe mapema kabla yake
Jana hata kama Salah angekuwepo kichapo kilikua pale pale... Liverpool hua tunacheza kama unit ndio ushindi unapatikana na jana ilikua siku mbaya sana kazini vijana hawakuamka na mpinzani alijipanga vyema sana... Arteta amefanya homework yake vizuri sana jana akazimba kila njia kimsingi ametuchezea mpira wetu....

Salah ni mzuri lakini hata yeye jana angepata kibarua kizito sana ile defence...

YNWA
 
Back
Top Bottom