Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Haha sounds really cool. Ataweza sasq kuwasiliana vyema na wachezaji wenzake uwanjani na mazoezini ili kazi iedelee vyema kufumania nyavu.

YNWA
Kwahiyo alikuwa anaongea vipi na Mwalimu na wenzie?
Dah masikini kametia huruma

.ndio kama mimi leo niende uingereza
Mbona nipate tabu sana, ntakuwa naongea na Def tu.
 
Kelleher the great[emoji91]
Adake hadi mwisho
Anguko lenu litaanzia hapa kwa huyu mwamba. Kipa mzuri mwenye vijikosa vidogo vidogo vinavyogharimu timu. Akikosea mechi moja tu washabiki wakimpigia kelele siku mbili-tatu, kwisha habari yake. Anapoteza confidence. Kazi yenu inabiki kugawa point 3 kwa kila anayehitaji.
 
Haya ni mawazo yako.

Ukitoa kuipenda Liverpool kitu chengine ninachokipenda ni EPL.

So, kama Liverpool itakosa mafanikio basi at least EPL ifanikiwe.

Siwezi kuona Pep anaigeuza EPL farmers League kama league 1.

So bora sana kwangu achukue Arsenal kuliko City ili kulinda heshima ya EPL.

Mambo ya kuwa sijui Arsenal wana maneno, waongeaji, watatucheka n.k. hayo yote sio mambo ya kimpira wala hayana nafasi kwangu.

Only I care ni Liverpool and EPL, nothing else.
Bora achukue Man City sio kwa sababu ya kelele za mashabiki wa Arsenal

Bali kwa sababu ya uwekezaji mzuri wa team yao

Ili timu zetu zijue nini maana ya uwekezaji mzuri hasa hasa kwenye usajili
 
Bora achukue Man City sio kwa sababu ya kelele za mashabiki wa Arsenal

Bali kwa sababu ya uwekezaji mzuri wa team yao

Ili timu zetu zijue nini maana ya uwekezaji mzuri hasa hasa kwenye usajili

No, Mafanikio ya Man City sio issue ya Uwekezaji.

Ni issue ya right Coach
Right Players

Hata Chelsea Msimu huu wamefanya uwekezaji Mkubwa kuliko City je wamepata nini?

Man United inafanya uwekezaji Mkubwa sana je wamepata nini?

Usipokuwa na right coach uwekezaji hauwezi kukusaidia chochote.

Pep ndiye anayeipa Mafanikio Man City akisaidiwa na uwekezaji na sio uwekezaji pekee.

Narudia tena wengi wanaotaka Man City abebe Ubingwa ni Jealous tu kwa Arsenal na si jengine.

Mimi ninachoangalia ni kuinusuru EPL na si jengine hata Arsenal abebe tu alimradi EPL iwe salama.
 
No, Mafanikio ya Man City sio issue ya Uwekezaji.

Ni issue ya right Coach
Right Players

Hata Chelsea Msimu huu wamefanya uwekezaji Mkubwa kuliko City je wamepata nini?

Man United inafanya uwekezaji Mkubwa sana je wamepata nini?

Usipokuwa na right coach uwekezaji hauwezi kukusaidia chochote.

Pep ndiye anayeipa Mafanikio Man City akisaidiwa na uwekezaji na sio uwekezaji pekee.

Narudia tena wengi wanaotaka Man City abebe Ubingwa ni Jealous tu kwa Arsenal na si jengine.

Mimi ninachoangalia ni kuinusuru EPL na si jengine hata Arsenal abebe tu alimradi EPL iwe salama.
Kama sisi ni jealous kwa Arsenal.

Basi na wewe ni jealous kwa Man City
 
Kama sisi ni jealous kwa Arsenal.

Basi na wewe ni jealous kwa Man City

Nimeshatoa reason yangu hapo juu

Jealous ni pale unaposema asishinde Arsenal eti atatucheka au wana maneno hizo sio sababu za kimpira.

Unaweza sema unasapiti Arsenal asibebe kombe kombe na ukatoa sababu za kimpira lio si kwasababu tu watatusema.

Mimi nimemsapoto Arsenal asichukue kombe kwasababu za kimpira kuongeza ushindani kwenye League ili isigeuka Farmers League.

So, mimi sijaongelea kitu out of Jealous.
 
Nimeshatoa reason yangu hapo juu

Jealous ni pale unaposema asishinde Arsenal eti atatucheka au wana maneno hizo sio sababu za kimpira.

Unaweza sema unasapiti Arsenal asibebe kombe kombe na ukatoa sababu za kimpira lio si kwasababu tu watatusema.

Mimi nimemsapoto Arsenal asichukue kombe kwasababu za kimpira kuongeza ushindani kwenye League ili isigeuka Farmers League.

So, mimi sijaongelea kitu out of Jealous.
Nimekuelewa
 
Back
Top Bottom