Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mnaisifia sana timu
Ila sioni mtu akimsifia kabisa Kelleher kwa kazi kubwa aliyoifanya.
Ile mechi ilivyokuwa na presha, Angekuwa Allison anavyotoka nje ya goli tungepigwa kitambo.

Ila mpo kimyaaa.
Semeni tu Kelleher ni mwamba,
Penye kutoa appreciations toeni.

Hahaha hakuna anayepinga ubora wa Kelleher. Na karibu 90% hawajawahi kuwa na anay doubt kumhusu. Last season fununu za alipotaka kuondoka tuliwaza tutapata wapi 2nd GK mzuri kama yeye ? Au ndio yatakuwa ya Adrian awe 2nd? Wakakaa nae wakayamaliza.

Kelleher is a good GK, tunapotofautiana ni kumuweka same pot ya ubora na Beckor.

Beckor ana world class saves na ame prove hayo years. Best GK in the world if not 2nd one, Kelleher bado hajathibisha hayo.

He is a good GK though, ila sio chungu kimoja na Alison.

YNWA
 
Nimepata fununu hata Manure kumbe wanammezea mate Edwards.

Yani Real Madrid wangekuwa hawana Mfumo wa ule wa President kuwa ndiyo Mtendaji mkuu basi Papa Perez angekwisha mchukua mazima huyu Edwards kwasababu inaonesha kwasasa ndiye brain ya recruitment huyu jamaa.

Naam. Utd since last season wanamtaka jamaa ila aliamua kukaa pembeni, na kufungua data analytical company yake. Hata leo hii wanamtaka.

Madrid pia walimtaka sema mfumo wao ndio kikwazo, nafikiri Perez aliona kiutendaji kuna mahali watashindwana, plus Madrid bado wapo kwenye ubora sana.

Kwenye biashara ya mpira jamaa anajua sana, laiti Klopp angemsikiliza kidogo tu ange enjoy ukocha wake.
 
Hii ya Edwards kutaka full control nadhani jamaa bado anakumbuka sakata la NABIL FEKIR la mwaka 2018 alilofelishwa dakika za mwisho inaonesha jamaa aliumia sana hivyo hataki tena ujinga kama ule utokee.

Hivyo anataka akija Liverpool kusiwepo tena intervention kama ile aliyofanyiwa kwa Nabil Fekir ili kulinda nafasi ya Jordan Henderson.

Ile ishu naona alisamehe yakajirudia tena kuanzia 2019 mpaka alipoondoka. Alipendekeza Enzo na Guimaraes watue pale Hendo na Milner wapishe, hii ilikuwa project ya kwanza kwenye kureshuffle MF’s. Sasa Klopp aliwataka wanae aendelee nao, FSG wakabaki mtu kati hawaelewi waende na Klopp au Edward. FSG wakaona eeeh.!!! Bora Klopp ndiye kocha bana wewe mtu wa data tu usitugombanishe na baba mwenye nyumba. Huku na huku Hendo akaongezewa mitano, baadae Milner akapata wake, Gomez akapata mrefu.

Edward akaona embu nikae pembeni tu hapa ni sawa na sina kazi tu. FSG ndipo wakampa Klopp baraka zote za kiutendaji ndani ya uwanja, aamue amchukue nani amuache nani.

Sasa Edaward hiki kitu plus cha Fekir hataki kijirudie. Ukweli kazi anaitaka ila apewe mamlaka kamili. Nafikiri kwa ubora wake anastahili na anaweza. He has my 100% support. Nasubiri leo au kesho kama watamtangaza..

Aisee nitakuwa na furaha sana, hapo akija kati ya

Ruben Amorim
Roberto De Zerbi
Xabi Alonso

Tutaaumbua tu.

Moyes anasumbua kuna kichwa kipo pale kimekaa kinapika balaa Tim Steidten, akisaidiana na Mark Noble as Sporting director.
 
Mnaisifia sana timu
Ila sioni mtu akimsifia kabisa Kelleher kwa kazi kubwa aliyoifanya.
Ile mechi ilivyokuwa na presha, Angekuwa Allison anavyotoka nje ya goli tungepigwa kitambo.

Ila mpo kimyaaa.
Semeni tu Kelleher ni mwamba,
Penye kutoa appreciations toeni.
Huyo Kelleher mimi naona kwenye highlights ni upuuzi wa ma strikers kama wale marasi kukosa magoli kizembe ndiyo kunamuokoa. Jitu mara lipige nje su ligongeshe mwamba, au lishindwe kukontroo na kuseti mpira vizuri mguuni ili apige, kelleher huyo keshamuwahi.

Huyo kelleher akikutana na kina Saka, Watkins...aah nataja wataalam wa nini...hata Gordon, Rashidi Makame tu na Martial wanaweza kumshawishi astaafu ugolikipa.
 
LADDER2.png
 
Back
Top Bottom