Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Tunaosubiria goli la Nunez

YNWA
20240126_163012.jpg
 
Mkuu game ya presha hii bado atatulia naamini ..
Ila city wanapiga mpira kimkakati Sana ..
Naamini goli lipo labda watuwah Cha pili
YNWA
Kwa kikosi hiki cha leo kutoka sare mpaka Pep anamtoa KDB ili azuie ujue amekamatika vilivyo...hua mara chache sana Pep kukamatika kama leo.

Kudos kwa vijana wamecheza vyema sana leo. Sare sio powa kwetu lakin ni bora sare na Kipara kuliko sare na Everton nk... Ushindi wao leo ingekua kama busta kwao angalau vijana wetu Quansah na Bradley wamehitimu sasa ni boys to men kutoka salama vs Kipara sio kazi rahisi..
Sijakumbaliana na sub za Klopp kumtoa Nunez ambae ndio hatare zote kwetu amesababisha, pia Bradley anajua kuingia vyema kwenye channels hakufaa kutolewa leo...

YNWA

YNWA
 
Kwa kikosi hiki cha leo kutoka sare mpaka Pep anamtoa KDB ili azuie ujue amekamatika vilivyo...hua mara chache sana Pep kukamatika kama leo.

Kudos kwa vijana wamecheza vyema sana leo. Sare sio powa kwetu lakin ni bora sare na Kipara kuliko sare na Everton nk... Ushindi wao leo ingekua kama busta kwao angalau vijana wetu Quansah na Bradley wamehitimu sasa ni boys to men kutoka salama vs Kipara sio kazi rahisi..
Sijakumbaliana na sub za Klopp kumtoa Nunez ambae ndio hatare zote kwetu amesababisha, pia Bradley anajua kuingia vyema kwenye channels hakufaa kutolewa leo...

YNWA

YNWA
Ila m nimeshangaa inakuaje city inatuogopa hv ..
Kumbe madogo wamepiga kazi Yaani mpaka half time shot on target tumetungua Moja Tena shuti dk ya 45 ya szabo ...
Kipindi Cha pili on target 5 kwa Moja ..
Si mchezo ..
Ubingwa wetu
YNWA
 
Sijui hata nilitaka kusemaje ila tu leo bahati haikuwa kwa upande wetu, tumeshindwa kutumia nafasi nyingi sana za wazi ambazo zingeweza kuwa magoli.

But anyway let's hope for more win in the next games.

YNWA.
That the mentality man. Always hoping for a better tomorrow.

Tuna gemu 10 kumaliza msimu wa EPL hivyo nafasi bado kwa Kipara, Arteta au Klopp kucheka mwisho wa msimu

YNWA
 
Ila m nimeshangaa inakuaje city inatuogopa hv ..
Kumbe madogo wamepiga kazi Yaani mpaka half time shot on target tumetungua Moja Tena shuti dk ya 45 ya szabo ...
Kipindi Cha pili on target 5 kwa Moja ..
Si mchezo ..
Ubingwa wetu
YNWA
Nimeridhika na matokeo ya leo kabisa no complain vijana wamefanya vyema sana dhidi ya best team in the world..

YNWA
 
Back
Top Bottom