Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
Jamaa ataweza yupo vizuri sana pale sporting na ureno ni ligi Bora sana sio laini ki hivyo kama Scotland
Sijasema ni Makombe ya Arteta bali nimesema ni Mafanikio ya Arteta.
Huwezi kuhesabu Makombe ya City wakati Arteta yupo bila ya kumuhesabu na yeye.
Sikulazimishi uamini hivyo lakini ndiyo ilivyo.
Kwa Klopp tulimuheaabu Buvac alipokuwa msaidizi wake hivyo na kwa Pep Arteta yupo.
Na hoja yangu ya msingi mimi sijajadili Makombe bali nilijadili ukubwa wa Ligi usinihamishe kwenye Mada tafadhali.
Nilichohoji mimi ni hype anayopewa Amorim kupitia Takwimu zake za Ligi ya Matopeni ni kwamba hazina uhalisia linapokuja suala la EPL.
Wewe ukaleta habari za Arteta, nikakujibu Arteta ametoka EPL, ndiyo hapa ukaja na habari za Makombe jambo ambalo halikuwa hoja yangu.
Wala hoja yangu haikuwa kumkataa Amorim kwasababu sijasema kuwa hafai, bali nimehoji jinsi anavyokuwa over hyped kupitia Ligi ya Mchangani.
Hata Gerrard, Brendan Rodgers walikuwa na Takwimu za kutisha kule Scotland lakini EPL ni kituko.
Na ndiyomana nimemtolea mfano Andre Villas Boas.
Huwezi kufananisha Mtu aliyetoka Ligi ya Mchangani na Artena aliyetoka kuwa Kocha msaidizi ndani ya EPL tena kutoka top team.