Msela Wa Kitaa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2021
- 1,396
- 2,704
Muache Salah aendelee kutulelea hawa vijana pale mbele mkuuMwacheni babu akale £500k per week
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muache Salah aendelee kutulelea hawa vijana pale mbele mkuuMwacheni babu akale £500k per week
I'm only 45yrs,Hebu taja range tuone
Ukute nipo kwenye kundi la akina Zumbe na Timing 😂😂
Mona.
So, Slot majuzi kaifunga Utd when it mattered? we are just 3 games in.
Utd, ni our biggest rival, siyo tu upinzani wa uwanjani, bali hata kwa upande wa Culture & maisha ya kila siku. kuwafunga Utd katika mechi yeyote ile & at any given time, atmosphere & environment, ni kitu kikubwa sana.
Yes, Jurgen failed to register wins against Utd msimu ulioisha, tena katika games muhimu, & dhidi ya one of the weakest Utd sides, and it was unforgivable, but hiyo haiondoi au haifuti previous HEAVY wins za Klopp dhidi ya Utd.
Head to head na Utd, ni wao wanaongoza kwa wins nyingi, but under Klopp tuliweka records mbili za kufunga goals nyingi katika one fixture, ya kwanza ilikuwa ni 5-0 at OT and ya pili tulivunja wenyewe tena ikiwa ni 7-0 at Anfield.
Yeah, Klopp's hardest fixture kwenye EPL ilikuwa ni against Utd, iwe Anfield or OT, na mara nyingi sana kina Ngwaba walishaongelea kuhusu Klopp's cowardice approach dhidi ya Utd, but hata hivyo baada ya ile run ya LVG against us (Four wins in a row) na runs za Utd before 2013, especially during Fergie era, ambapo mara chache sana tulikuwa tunatoka tukiwa on top, ni kuwa since 2016 mpaka sasa, Utd wame-register si chini ya 3-4 wins (including Cup games) kuna a lot of draws, but tume-register more wins, & big record breaking results, so please lets not take that away from Klopp.
We are 3 games in, and Slot has started well, because ya kikosi & foundations alizoacha Klopp, Klopp mwenyewe kwenye his last presser alisema asingeondoka LFC kama kikosi & its foundation kingekuwa kwenye bad shape, meaning angeweza kuondoka baada ya msimu wa 2022/23, but he decided to wait, and akaanzisha phase 2 ya LFC, ambayo ndiyo hii tunaona matunda yake.
Watu wengi walikuwa wanasema Slot atakuwa na wakati mgumu, na ni kweli kuna muda mambo yatakuwa magumu, but hawezi kupata shida sana, kwasababu ana kikosi imara sana, NARUDIA tena, ana WC players kwenye his team, ana International capped first teamers kwenye his team, he couldnt have walked in kwenye better environment.
Klopp, brought this club back to LIFE, kikosi na hawa WC players tulionao nao ni MATUNDA ya kazi ya Klopp kwa miaka TISA aliyokuwepo at LFC.
Yeah, like any other human-being, he had his weaknesses, na sisi as fans pia we had our weaknesses, because yeye kuwa WC coach ilikuwa ni lazima tu-demand MORE, but ameondoka, ametuacha tukiwa tupo IMARA sana, angalia jinsi Fergie alivyoiacha Utd, angalia jinsi Wenger alivyoiacha Arsenal etc, in the end Arsenal got lucky with Arteta and he had to start from scratch, na ana bahati because chini yake Arsenal's owners were ready to spend & back him, jiulize kama Klopp angeondoka 22/23, FSG wangem-back Slot na big signings? kwa hali tuliyokuwa nayo 22/23, na Klopp angeondoka, mchezaji gani angeamini tena kwenye project? tungeweza ku-attract kina Alexis, Szobo, Ryan, Gakpo etc? kumbuka competition iliyokuwepo kwenye kusaka signatures za kina Alexis, Szobo? Gakpo si tayari alikuwa ready for Utd? tulikuwa na plan ya ku-sunction deal ya Gakpo in the summer, but baada ya UTD kuingia kwa kasi ile january, we had to act, sasa kama Klopp asingekuwepo nani angekuja? project imemaliza its circle na manager anaondoka, hamna mchezaji mwenye demand kubwa kwenye soko angetaka kuja, unless big money iwe involved, ndiyo haya mambo ambayo yameharibu Utd mpaka sasa.
Slot ni very talented coach, but it takes a big character ku-build up a once-BIG club with huge history from the scratch, tena chini ya FSG, Klopp had to do it with Henderson & Milner.
Past 2 years, Klopp ali-drop sana katika his coaching abilities, wote tuliliona hilo, but he finished 3rd last season, and tulikuwa tunaongoza league until March, with Endo at 6, going toe to toe na clubs zenye kina Rodri & Rice, na we fell off kwasababu ya injuries & fatigues.
BUT, japokuwa its hard to say this, it was the RIGHT TIME for Klopp to leave, and deep inside he knew, kwenye football kuna kipindi unakosa kabisa motivation ya kuendelea kuwepo uwanjani/kufundisha, na kuna factors nyingi tu, Klopp said ameandaa LFC 2.0 but hadhani kuwa inamuhitaji sana, it was time kwa kocha mwingine kuanzia alipoishia, he couldve recommended Lijnders na FSG wasingegoma hata kidogo, but he wanted the Club to evolve, he wanted the club kuwa na new/flesh ideas maana tools zote zipo, hence aligoma kabisa kina Hogan & Gordon kumhusisha katika search/suggestions za new coaches.
Slot is here, and ameanza league vizuri sana, najua kuna time anaweza akakutana na games ngumu sana, hii ni EPL, but ili ku-enjoy his first year, hatutakiwi kuwa na big expectations. itafika kipindi ambacho atahitaji kukosolewa pia, it happens, ni football, kila mtu anaona game kwa njia yake, but hii haifuti dhana ya kuwa, Slot was the right pick for the Club, personally i couldnt have asked for a better coach.
But, while tuna-ride wave ya Slot now, tusiingie kwenye mtego wa ku-discredit yale aliyofanya Klopp at the club for the past 9 years, kama FSG wangefanya wrong appointment at that time, tusingekuwa hapa tulipo now. na nasema hivi kwasababu kama Slot angeanza vibaya, kungekuwa na hit pieces/posts za kumu-attack jamaa, bila kumpa muda binafsi, na jina la Klopp lingekuwa linaimbwa kila siku, ndiyo maana nashukuru ameanza vizuri, kwasababu inaondoa pressure kubwa sana kwake.
Hughes & Edwards walikuwa na horror show kwenye hii TW.
But, inaweza kuwa mbaya zaidi kama wakishindwa, kutafuta solution ya ku-extend contracts za big 4.
Salah will be 33 in june, i think 1 or 2 years extension wont do any harm.
VVD, give him 2 years maxmum, but kwa jinsi anavyocheza VVD, his style of play, sidhan kama ata-slow down anytime soon.
Trent, well, ni suala la kumake sure he stays put.
Well, Alli bado ana muda kwenye mkataba, but you cant let a WC keeper kuondoka, especially akiwa in his early 30s.
So, they need to sort these contracts.
Funny thing is, i actually like Edwards.
But you cant outshine the master.
Asante kwa kuturudisha enzi zile za king of back passes aka Gendo aka gendaeka aka Henderson
AiseeI'm only 45yrs,
Tatizo mvi tu zimenitawala, ila nimemzidi Steven Gerald 1yr 😄 🤣
Mwacheni babu akale £500k per week
Mkuu unasahau mapema sanaKuifunga united mechi yoyote hata ya kirafiki ni burudani tosha, ila alichokua ananikera klopp ni kushindwa kuifunga united when it matter the most. Naona Slot anakautulivu flani hivi kuliko Jurgen
Ngwaba hawezi kunizidi umri, nakata rufaa 😄Aisee
Humu ndani mkubwa sana ni Mimi ,Ngwaba na Bobby tu
Ngwaba hawezi kunizidi umri, nakata rufaa 😄
Huyo Saint Anne mwenyewe nimemtandika mvua kama 7 hivi, akibisha natuma NIDA yake humu.Naye yuko humo humo kwenye 40+😂😂
Mkuu umewatoa watu mchezoni na lile andiko kuhusu Edward aisee dah. Heheh
Nilisikitika sana “heheh” japo kuna ukweli ndani yake.
Hata hivyo Michael Edward ndiye alipeleka mezani jina la Jurgen Norbert Klopp over big names wakati ule (prove me if i’m wrong) kurithi mikoba ya Brendan Rodgers.
Same, he is one appoint Slot ambao wengi wameufurahis mwezi August kwa uwezo wa mbinu zake.
Yes amerithi kikosi kizuri ila ni mbaya kutokukubali aliyerithi ubora wa kikosi naye ni bora.
Edward might have his mistakes ila kwenye upande wa biashara na kuziona talents he is so smart, japo he needed World Class coach like Klopp to bond with his smartness, productively.
I’m huge fan of him tho
Some failures and rejection are for blessings.
Thank you brother,Mona.
At the time wakati Klopp anakuwa appointed (October 8, 2015), Edwards was working as a Technical Director, ambapo his main duties ilikuwa ni kusimamia business/image & economic-development status ya Club.
Edwards, alikuja LFC mwaka 2011, akitokea Spurs, alikuwa hired kama Chief Anaylst, 2013 nadhani (siko sure sana) akahamishiwa kwenye offices za Methodology, akiwa ni head wa hiyo area, na hii ni baada ya formation ya Transfer Committee (TC) in 2013. baada ya hapo ndiyo akapanda daraja na kuwa Technical Director at the club.
Kipindi hiki, DOF wa club alikuwa Ian Ayre, na nadhani unajua kazi/roles za Ian Ayre, na huyu ndiyo alimsainisha mkataba wa ajira Klopp at LFC.
Na, pia tukiwa tunaongelea LFC & FSG, mara nyingi sana tunamuongelea John W. Henry, na ni sawa kwasababu ni major Shareholder & owner wa FSG at large, but kuna mtu anaitwa MIKE GORDON, huyo ndiyo roho ya FSG, huyu ndiyo roho ya LFC.
At, FSG, huyu ndiyo yupo tasked na ku-manage kila kitu kinachohusiana na LFC, wakati Klopp yupo, na sahiv wakati hayupo, hawa kina Edwards wote wana-report to him, na ukisikia FSG wamewarudisha kina Edwards at LFC, ujue ni Gordon, ukisikia kuwa FSG kuwa hawataki kutoa kiasi flani kwa mchezaji, ujue ni Gordon.
Kwa mfano, watakachokifanya kina Edwards now kuhusu, Salah/VVD/Trent contracts, ni kukaa mezani na players, na ku-exchange terms, wakifikia makubaliano, wanatoa report kwa Gordon, Gordon akifanya assessment na kuona offers zilizotolewa siyo sustainable kwa Club, ANAPIGA chini, kwahyo ni kazi ya kina Edwqrds kuhakikisha mikataba mipya au mazungumzo ya mkataba huu yanaendana na kile anachokihitaji Gordon, waki-fail, ni kuwa wame-fail at their jobs.
Now, turudi kwa appointment ya Klopp, kwanza mwaka 2015, Klopp alikuwa ni one of the few biggest names kwenye football industry, Klopp alikuwa na msimu mbaya sana wa 2014/15, na baada ya ule msimu akaamua kupumzika (sabbatical leave), ikumbukwe kuwa, mpaka kufikia hapo, Man Utd & Madrid walishajaribu na kuwa turned down, (Fergie mwenyewe had multiple dinners with Klopp kujaribu kumconvince aende Utd, na ni tangu 2013), Sasa kipindi tunamfukuza Rodgers ile 2015, Klopp was a free agent, so jina lake lilikuwa linaimbwa na kila shabiki wa LFC, but deal ilikuwa inaonekana ngumu kwasababu Klopp alikuwa anataka kupumzika kwa mwaka mmoja, hence tukaanza ku-sound out his camp taratibu, lakini mara zote hatukupata majibu, na ndiyo maana tukaruka ruka mpaka kwa kina Carlo ambapo tulipigwa chini, lakini deep down, FSG wenyewe walikuwa wanajua hakuna better coach kwa LFC kama Klopp, ironically, sisi tulicopy model ya Dortmund kipindi kile, so kila FSG walikuwa wakiwaza, wanaona Klopp ndiyo anafaa, ndiyo Gordon akapewa task rasmi sasa ya kuhakikisha Klopp anatua LFC, na alifanikiwa, na ndiyo maana ni mtu anayekuwa CREDITED kwa kumleta Klopp, LFC.
Ian Graham, kipindi kile wakati ndiyo kaajiriwa kama DIRECTOR OF RESEARCH, alipewa task ya kufatilia insights za Klopp, aina yake ya mpira na wachezaji gani wata-fit kwenye mfumo wa klopp na kwa kiasi gani utakuwa sustainable in the long run, na pia Ian Graham ndiye alipewa kazi ya kuhakikisha anaisimamia department ya Data & football science katika kufanya kazi sambamba na Klopp (unataka kucheka? kabla ya hapo Ian Graham alikuwa mpiga poroho The Times, kama sisi tu, sahiv ana firm kubwa ya Data, na sasa anazunguka kumsema vibaya Klopp kwenye medias, life is so funny, isnt it?).
Suala la Klopp lilikuwa ni la FSG, Mike Gordon, pamoja na Ian Ayre aliyekuwa DOF kipindi kile, but haku-play big part kama mtaalam, MIKE GORDON (funny thing is, huwezi kumsikia popote, BUT siku akipiga chini LFC, tumeenda na maji, siyo hawa watoto wadogo kina Edwards).
Nilikuwa sitaki kusema hii, but ni Mike Gordon huwa ana-close down complicated deals (VVD, Keita, Szobo, etc), hence nipo calm sana kuhusu Trent, kama Trent asipo-sign new contract na kwenda Madrid, jua kuwa Gordon hakukubaliana na matakwa ya Trent & Edwards & Hughes wameshindwa kumpa Gordon a Clear path ya kumtuliza Trent at LFC, lakini kama Trent aki-sign new contract, jua tu Mike Gordon amekaa nae mwenyewe kwenye meza ya mazungumzo. maana lets be real mpaka sasa hii ishu ya Trent imeanza kuwa ngumu.
Klopp, alivyosema anaondoka, Gordon flew to Liverpool, aliongea na Klopp for 2 days straight, but alishindwa kum-convince abaki, alivyorudisha majibu kwa kina John & Werner, wakamwambia wapo tayari ku-offer a huge PAY RISE, but Gordon akawaambia haina haja, kama nimefail kwa kuongea nae, hakuna chochote kitam-bakiza.
But, looking back, ni kuwa Klopp aliona anakolekea atatuangusha, maana baada ya 22/23, aliamua kuwekeza nguvu zake zote kwenye msimu uliofata, ili atuache tukiwa tupo Champion league na tuna kikosi kizuri, sidhani angeweza kuendelea, nakumbuka mimi na kina Ngwaba, Don etc tulikuww tunamkalia kooni Klopp kwa kutokuwa selfish & ruthless enough, guess what? kutokuwa kwake Selfish, kumetusaidia sana, team haipo shimoni, team ipo kwenye good shape.
Na, utagundua alichokifanya, Gordon, ni kurudisha ile Spine iliyofanya kazi kwa mafanikio na Klopp, ili kubakiza na kulinda ile blueprint ambayo Klopp ameitengeneza kwa miaka TISA, na kwa kufanya hivyo lazima waje watu ambao wanaijua na wameiishi kwa mafanikio, you see, zamani tulikuwa tunaishi na ile blueprint ya Shankly, na ndiyo ilimpa mafanikio makubwa sana Paisley, na ikaja kumpa mafanikio pia Daglish (akiwa coach), lakini baada ya kuwa shaked sana, tukaiacha, hence tulipata tabu mno, LFC ilikuwa ni ya vipindi (joto na baridi) kwa miaka mingi sana, mpaka tumekuja kuipata blueprint hii aliyoiweka Klopp, na ninachompendea zaidi SLOT amekuja na ku-embrace hii BLUEPRINT, na ndiyo maana ameanza kwa mafanikio makubwa sana.
Now, fast forward, Klopp kaondoka, LFC, a world class coach, unahitaji young coach wa kum-replace, as at this time, siyo rodgers aliyeondoka, ni Klopp, so unahitaji Coach makini wa kum-replace, mwenye kila njia/personality ya Klopp ili kuweza kuiishi hii blueprint, hapo ndiyo Gordon anampigia simu Edwards, na kumuuliza, WILLIAM SPEARMAN anasemaje? Edwards anamwambia Gordon, Spearman kanipa majina matatu, (Alonso, Amorim & Slot), Gordon lazima aliuliza Slot? as Alonso haitaji utambulisho & Amorim was already making noises in europe, Edwards nae atakuwa alimwambia Gordon, Yeah ni Slot hata mimi niliuliza kama wewe, but Spearman kasema yeyote kati ya hawa wanafaa at LFC, then, Gordon atakuwa alimwambia Edwards it must be easy? au nije? Edwards atakuwa alimwambiwa "No, I GOT THIS MATE" & achana na Alonso ambaye we went direct mezani & got rejected, but Amorim & Slot walifanya interviews, wote wali-pass, something went wrong with Amorim, but it took just ONE call kwa Slot kukubali a move to LFC, unajua ile ya unakubali kazi kwanza bila hata ya kujua mshahara, haha. and unajua Slot hata hakujali kuwa maybe alikuwa ni third choice, au Alonso ndiyo ilikuwa our go-to target, au mashabiki washenzi wazungu kuanza kum-doubt kabla hajaanza hata kufundisha at LFC, alikubali move, akijua ni big challenge, na ndiyo maana hata Klopp alivyoongea nae baada ya kuwa appointed, Klopp fell in love with him mapema sana. Slot ni klopp to the core, ndiyo maana sina wasiwasi nae, atashinda kila kombe at LFC, he loves our club man, he loves this club so much.
And, who is William Spearman? ni LFC's LEAD DATA SCIENTIST, & he is main reason, ARNE SLOT is at the Club right now.
Wekeni nida tuoneNgwaba hawezi kunizidi umri, nakata rufaa 😄
Wewe upo kwenye ngapi?Naye yuko humo humo kwenye 40+😂😂
Lete nida yako.Huyo Saint Anne mwenyewe nimemtandika mvua kama 7 hivi, akibisha natuma NIDA yake humu.