Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Umewaza kama mie

Slot our next Paisley ukiitazama history ya Shankly na Klopp inaendana hivi,ngoja tuone kwa Slot how it will be, hopefully will be A A A A

YNWA
Tumpe muda aisee.
Ukitaka kuona Slot ni Paisley wa leo tazama transfer ya dirisha hili ... Paisley alidumu Liverpool miaka 9 katika kipindi chote hicho alinunua wachezaji 25 tu huku akiuza wachezaji 41 🤔🤔🤔... Baadhi ya wachezaji aliosajili ni Jim Belgin, King Kenny Daglish, Ian Rush, Sousness, Hansen, Bruce Grobbelaar, Ronnie nk nk
Katika miaka 9 alichukua makombe 20...."EPL" mara 6, Carabao mara 3, Uefa Cup mara 1, Uefa Supa Cup mara 1, Uefa mara 3, Charity mara 6.

Takwimu za makocha wenye mafanikio zaidi zinaonyesha ni Pep G ndio anamzidi kwa kuchukua ma kombe mengi kwa msimu.

Hivyo bwana Slot ana kibarua kizito sana kufika hizi level ana mengi pia ya kujifunza kutoka kwa huyu mwamba especially man management ya mchezaji mmoja mmoja ili adeliver.


YNWA
 
La Liga expert's view on Giorgi Mamardashvili: 'A really good 'keeper with a lot of personality'


Liverpool will add an extremely talented goalkeeper with 'a lot of personality' to their 2025-26 squad in Giorgi Mamardashvili, according to a Spanish football expert.

The Reds agreed a deal with Valencia last month to bring the Georgia international, who is a nominee for the 2024 Yachine Trophy, to Anfield next season.
For the lowdown on the 23-year-old stopper, Liverpoolfc.com sought the expertise of Dermot Corrigan, La Liga correspondent for The Athletic – read on for his analysis…
What was your reaction to hearing Liverpool agreed a deal with Valencia for Mamardashvili?
I wasn't hugely surprised. He's a really good goalkeeper and there has been a lot of talk that at some stage he would leave Valencia probably to go to the Champions League – it was a little about which level of club he would go to. But after the Euros when he was excellent for Georgia, it was expected that he would end in the Premier League. Liverpool is a great move for him and a good move for Liverpool as well.
Was it obvious early on that a Champions League club like Liverpool would eventually come in for him?
He had a bit of an unusual route to Valencia. I think they did well to snap him up and it was part of Valencia policy under their current president Peter Lim of identifying really good international young players who would be useful for the team and then at some stage they would be able to sell on at a profit. He was seen as a project. He was very young when he broke into the Valencia team and obviously had super potential. He was raw and needed to gain experience and to improve maybe technically on his goalkeeping, but he was always seen as a guy who would be good for Valencia in the short term and in the medium to long term would probably end up moving to a Champions League club.
He's obviously gone from strength to strength and now has more than 100 appearances for Valencia at the age of 23...
Valencia have had their ups and downs over the last few seasons. It's a very demanding place, they're used to playing in the Champions League and we remember them winning La Liga under Rafa Benitez, also winning the Copa del Rey a couple of years ago. In the last couple of years they've been battling against relegation and they've sold some of their best players, so that's not that easy for young players – especially a goalkeeper – to come in to. The defence in front of him would have had a lot of changes over the seasons as well. Last season he was excellent and it was definitely his best season. His xG prevented stat last season in La Liga was the best in the division – it showed that he had reached a new level.

With him being a really good shot-stopper, he's also known for saving penalties...
He's a big, physically imposing guy with a lot of personality, he likes to be involved in the game. Penalties are where goalkeepers get a chance to shine. He saved three of six penalties faced in La Liga last season, which is a pretty good record. Valencia's goalkeeping coach is Jose Manuel Ochotorena – he was at Liverpool with Rafa and also with the Spain national team all through their golden age, winning the 2010 World Cup and two Euros, working with Iker Casillas and Pepe Reina. So he's had that technical grounding. He's come in with the raw talent that he always had – physically he's huge and he has the reflexes and everything – but he's been able to work for a couple of years at Valencia with one of the top goalkeeping coaches in the world, you could argue, which was obviously been good for him.
In terms of moving to the Premier League, do you think he's well equipped for it?
Sometimes goalkeepers who come from other leagues might be more used to staying on their line, not coming for crosses, not coming off their line to engage with strikers – I wouldn't be worried about that. He is kind of a traditional goalkeeper. At Valencia, he hasn't played under coaches in the more modern school of building it out from the back, splitting the centre-backs and the goalkeeper being a playmaker from the back. I don't think he's done that for Valencia or Georgia – I'm not saying that he's not capable of it but it's something that he hasn't really had that much experience of so far in his career.
 
Tumpe muda aisee.
Ukitaka kuona Slot ni Paisley wa leo tazama transfer ya dirisha hili ... Paisley alidumu Liverpool miaka 9 katika kipindi chote hicho alinunua wachezaji 25 tu huku akiuza wachezaji 41 [emoji848][emoji848][emoji848]... Baadhi ya wachezaji aliosajili ni Jim Belgin, King Kenny Daglish, Ian Rush, Sousness, Hansen, Bruce Grobbelaar, Ronnie nk nk
Katika miaka 9 alichukua makombe 20...."EPL" mara 6, Carabao mara 3, Uefa Cup mara 1, Uefa Supa Cup mara 1, Uefa mara 3, Charity mara 6.

Takwimu za makocha wenye mafanikio zaidi zinaonyesha ni Pep G ndio anamzidi kwa kuchukua ma kombe mengi kwa msimu.

Hivyo bwana Slot ana kibarua kizito sana kufika hizi level ana mengi pia ya kujifunza kutoka kwa huyu mwamba especially man management ya mchezaji mmoja mmoja ili adeliver.


YNWA

I had feelings Slot will rock, labda itokee otherwise ila hawa ni wale makocha waliokulia kwenye mpira toka utotoni mpaka ukubwani.

Nilisoma sehemu ya maisha yake kuhusu ukocha wake. Slot akiwa PEC Zwolle academy kuna jamaa mmoja jina nimelisahau, enzi hizo akiwa mtoto alimshangaa Slot kufunfundisha professional football wakati ni vijana wadogo…!!! Aligundua Slot ni mtu asiyedharau wala kubeza kwamba hawa ni youth pekee yake. It was an interesting story for sure, na inaonesha chimbuko lake katika mpira.

Funny story during his career as a player Slot alikuwa mvivu sana, japo alikuwa key player of the team. Kocha wake akamwambia Slot hautacheza mpaka utakapo badilika kitabia, Yes ni mzuri na muhimu ila timu tu bila kukimbia na kutafuta mpira na nafasi hautakuwa mchezaji mzuri.
Basi bwana kocha akawa na msimamo huo huo, akawa anampa dk 30 hivi au pungufu ya hapo.

Slot akabadili tabia but ilimchukua mwaka mzima, kubadili na kurudi tena first 11. Nafikiri hii ndio ilikuwa chanzo cha yeye kuwa serious mpaka kwenye ukocha wake. Na good thing jamaa kila alipogusa ni mafanakio tu.

Will it be the same to LFC??

YNWA
 
La Liga expert's view on Giorgi Mamardashvili: 'A really good 'keeper with a lot of personality'


Liverpool will add an extremely talented goalkeeper with 'a lot of personality' to their 2025-26 squad in Giorgi Mamardashvili, according to a Spanish football expert.

The Reds agreed a deal with Valencia last month to bring the Georgia international, who is a nominee for the 2024 Yachine Trophy, to Anfield next season.
For the lowdown on the 23-year-old stopper, Liverpoolfc.com sought the expertise of Dermot Corrigan, La Liga correspondent for The Athletic – read on for his analysis…
What was your reaction to hearing Liverpool agreed a deal with Valencia for Mamardashvili?
I wasn't hugely surprised. He's a really good goalkeeper and there has been a lot of talk that at some stage he would leave Valencia probably to go to the Champions League – it was a little about which level of club he would go to. But after the Euros when he was excellent for Georgia, it was expected that he would end in the Premier League. Liverpool is a great move for him and a good move for Liverpool as well.
Was it obvious early on that a Champions League club like Liverpool would eventually come in for him?
He had a bit of an unusual route to Valencia. I think they did well to snap him up and it was part of Valencia policy under their current president Peter Lim of identifying really good international young players who would be useful for the team and then at some stage they would be able to sell on at a profit. He was seen as a project. He was very young when he broke into the Valencia team and obviously had super potential. He was raw and needed to gain experience and to improve maybe technically on his goalkeeping, but he was always seen as a guy who would be good for Valencia in the short term and in the medium to long term would probably end up moving to a Champions League club.
He's obviously gone from strength to strength and now has more than 100 appearances for Valencia at the age of 23...
Valencia have had their ups and downs over the last few seasons. It's a very demanding place, they're used to playing in the Champions League and we remember them winning La Liga under Rafa Benitez, also winning the Copa del Rey a couple of years ago. In the last couple of years they've been battling against relegation and they've sold some of their best players, so that's not that easy for young players – especially a goalkeeper – to come in to. The defence in front of him would have had a lot of changes over the seasons as well. Last season he was excellent and it was definitely his best season. His xG prevented stat last season in La Liga was the best in the division – it showed that he had reached a new level.

With him being a really good shot-stopper, he's also known for saving penalties...
He's a big, physically imposing guy with a lot of personality, he likes to be involved in the game. Penalties are where goalkeepers get a chance to shine. He saved three of six penalties faced in La Liga last season, which is a pretty good record. Valencia's goalkeeping coach is Jose Manuel Ochotorena – he was at Liverpool with Rafa and also with the Spain national team all through their golden age, winning the 2010 World Cup and two Euros, working with Iker Casillas and Pepe Reina. So he's had that technical grounding. He's come in with the raw talent that he always had – physically he's huge and he has the reflexes and everything – but he's been able to work for a couple of years at Valencia with one of the top goalkeeping coaches in the world, you could argue, which was obviously been good for him.
In terms of moving to the Premier League, do you think he's well equipped for it?
Sometimes goalkeepers who come from other leagues might be more used to staying on their line, not coming for crosses, not coming off their line to engage with strikers – I wouldn't be worried about that. He is kind of a traditional goalkeeper. At Valencia, he hasn't played under coaches in the more modern school of building it out from the back, splitting the centre-backs and the goalkeeper being a playmaker from the back. I don't think he's done that for Valencia or Georgia – I'm not saying that he's not capable of it but it's something that he hasn't really had that much experience of so far in his career.

Nimetazama mechi zake chache sana, kweli hana strength kwenye foot work ile saves na 1v1 ni mzuri sana sana, mengine ni coachable kabisa, kama Alison so far amekuwa mzuri akiwa na mali mguuni, unlike other seasons. Ile 2-3 shape kwenye build up inampa options nzuri, tofauti kwenye 2-1 shape.

All the best to him.
 
Screenshot_20240908_200010.jpg


Mkeka wa vikosi ghali ndio huu hapa. OllaChuga Oc mbona hivi ndugu kikosi cha mapesa kama yote unacho lakini matokeo hafifu kabisa.

YNWA
 
I had feelings Slot will rock, labda itokee otherwise ila hawa ni wale makocha waliokulia kwenye mpira toka utotoni mpaka ukubwani.

Nilisoma sehemu ya maisha yake kuhusu ukocha wake. Slot akiwa PEC Zwolle academy kuna jamaa mmoja jina nimelisahau, enzi hizo akiwa mtoto alimshangaa Slot kufunfundisha professional football wakati ni vijana wadogo…!!! Aligundua Slot ni mtu asiyedharau wala kubeza kwamba hawa ni youth pekee yake. It was an interesting story for sure, na inaonesha chimbuko lake katika mpira.

Funny story during his career as a player Slot alikuwa mvivu sana, japo alikuwa key player of the team. Kocha wake akamwambia Slot hautacheza mpaka utakapo badilika kitabia, Yes ni mzuri na muhimu ila timu tu bila kukimbia na kutafuta mpira na nafasi hautakuwa mchezaji mzuri.
Basi bwana kocha akawa na msimamo huo huo, akawa anampa dk 30 hivi au pungufu ya hapo.

Slot akabadili tabia but ilimchukua mwaka mzima, kubadili na kurudi tena first 11. Nafikiri hii ndio ilikuwa chanzo cha yeye kuwa serious mpaka kwenye ukocha wake. Na good thing jamaa kila alipogusa ni mafanakio tu.

Will it be the same to LFC??

YNWA
Success yake LFC itategemea na uimara wa kikosi kwanza kufanya game management ya wachezaji wale top level ambao ni injini ya timu.. Supa players hua wanahitaji dakika tu na kuleta mabadiliko case study ni KDB alikaa nje gemu kibao last season akarejea gemu yao vs Newcastle akafanya maajabu na pale taa ikawaka kwa kipara ikawa mchakamchaka na kuchukua ubingwa...
Impact ya Salah, VVD, Allison, Trent, Robbo ni kubwa sana kiasi hata wanaocheza nao hua na comfort fulani kwamba wapo kwenye mikono salama. Hivyo hao hakika Slot na department yake ya fitness lazima wawe on spot.
Hughes nae aache bla bla kwa kua tangu anatua pale mapungufu yetu yapo well documented na unless Klopp kaodoka na ma scout woteee sidhan kama kulikua na target mmoja tu...
Slot nae aache bla bla za kuwapa ma Yankees kichwa kwamba eti ameridhi kikosi imara hivyo yupo vzuri...

Mambo ni mengi Slot is settling really well.

Prepare ua pop corn the good times are coming...

YNWA
 
Nimetazama mechi zake chache sana, kweli hana strength kwenye foot work ile saves na 1v1 ni mzuri sana sana, mengine ni coachable kabisa, kama Alison so far amekuwa mzuri akiwa na mali mguuni, unlike other seasons. Ile 2-3 shape kwenye build up inampa options nzuri, tofauti kwenye 2-1 shape.

All the best to him.
I won't put my penny kwa Allison footwork vs Arsenal, vs Manchester City hata iweje😂😂😂😂....

YNWA
 
Back
Top Bottom