Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Miss Liverpool Saint Anne hujakosea kabisa kusema Graven ni mtu na robo tatu sio tu na nusu kama Caicedo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Gravern kitu cha ziada ambacho anacho ni kupiga chenga za kijanja janja yaani ni complete kiungo kabisaa.
Anaweza cheza hata namba 8 au 10 huyu. Huyu ni Baller
Kama anavyosema The MoNA mbele ya Klopp huyu asingeshaini kabisa maana Klopp alikuwa anapenda watu wagumu wagumu pale kati lakini huyu Gravern kwenye mfumo wa Slot anashaini sana

Naam.

Klopp anataka watu wa kazi kazi, uwe na mapafu kweli kweli, kukimbia dk 90 iwe sehemu yako ya mchezo.

Gravern na Macca kwenye pivot hawajafungwa kwa misumari, kwamba wewe mwisho ni hapa, wapo huru sana, kiasi unaona goli analofunga Macca, lilipaswa kuwa la Wing au ST au no. 10 it was a move ile, lkn move inamkuta ndani ya sita. Lile goli it was a Gravern move ikaenda hadi kwa Salah the. Boom.

Ynwa
 
It’s a New Era with its flavour.

Unaweza ukahisi kwenye touchline bado anasimama Klopp, kwa mpira unavyochezwa kisha ukahisi Klopp kuna ushauri ameupokea mahali ameufanyia kazi about slower the tempo, stay compact, keep focusing, use your chances wisely.

Why.
Slot anacheza kwa tahadhari kubwa sana ya rotation plus subs.
Analinda Fatigue na nevitable injuries. Misuli ikichoka inakuwa chanzo cha minor injuries.

Game jana kuna muda Bologna walikuwa too aggressive hawakuiogopa LFC wala Anfield, walifunguka vizuri, kwenye muundo wao wa 2-3-5 kuna muda ilikuwa 3-1-6 kwenye pressing yao, walituuliza maswali mgumu kwenye build up, why? Walikuwa na man to man marking game, plus tunategemea Gravern na Macca watumike kwenye build up, plus CB’s (vvd & konate), wakajaa kwenye final third ya LFC huku njia za Full backs zikiminywa na kulazimisha tucheze kupitia katikati walipokuwa wengi, na muundo wa narrow (inakuwa kama square hivi). They were to direct.View attachment 3114106

View attachment 3114110
Moments tuliziwapora mipira na wakawa too sharp kuja kwenye muundo wa pressing,
Freuler, Ndoye, Urbanski walipiga shughuli kweli kweli. Huyo Ndoya alikuwa upande wa Trent ambao waliushambulia kwa asilimia kubwa ya mchezo, Konate kama kawaida yake anafanya back up ya maana sana.


But again kuiweza pressing ya hivi unahitaji

Quality players wenye quality passes, ambaye with one pass anaweza ku break entire lines kufika kwenye final third yao. You have VVD, Macca, Gravern (another good dutch player), Trent. Mipira ikawa inapenya tu kuwafikia, Diaz, Salah, Szobo, and Boom we got two clean goals.

Kati ya wachezaji nina wasi wasi tunaweza kupata nyakati ngumu kumtafuta mrithi wake basi ni VVD. Aisee huyu jamaa ana quality passes, defending art yake ni next level, ni vile tu yupo kwenye timu haina mbwembwe wala makelele kwenye media.

Alisson so far ananifurahisha na footwork yake improved alot, hana mawenge ya mguuni like i used to know him before, ni addition player kwenye build up.


Mashabiki kawaida yetu pressure ila ukizidi kusoma mpira na kuwa shabiki wa mpira sio result oriented fan, kuna jinsi pressure itakupungua. Slot ni kocha ambaye anapenda kulinda walau alichokipata huku akisisitiza sana, next goal litapatikana kwa calmness, stay compact, don’t panic, play accordingly your opponents,na goli litatokea tu. Kwa uchezaji huu utaona timu kama imezidiwa maeneo fulan of which is not but at the end una nini??

Baada ya goli la pili tukarudi kwenye 4-4-2 flat(diamond) huku Szobo akicheza kwenye 2 ya mbele, Salah akicheza deep wide kidogo. Why? Salah age, plus he is not machine presser than Szobo. Goshh Szobo he is a machine presser, alikuwa everywhere good game plus assist.

Bologna ni timu ipo very well organized, experience was their limit, otherwise they could do otherwise kwenye game ya jana. Kudos to Bologna they gave us tough game, even though they didnt win but they truly deserved a goal atleast.

Hit woodwork (1)
Alisson’s Saves.

Motta did a lot last season with them, ameondoka yeye, key players wao wameondoka kama wanne hivi, amekuja Italiano ameendeleza alipopaacha Motta.
Sema team za Italy recently tumekuwa vizuri vs them.

Gravern namna anavyotumia mwili wake wonderfull indeed, his passes, his runs, very quality. This guy apate quality DM asogee mbele plus acheze na Macca deadly combo.

Slot: There are alot to improve.
Macca: There are alot to improve.
Becker: There are alot to improve.

Fans: We are getting good results and we are not at the level they wanted us to be?? We are cooking opponents get ready fellas.

8/9 matches, first Liverpool coach to register this record.[emoji736]

Mo Salah first ever LFC player to score 5 goals in five matches at Anfield consecutively.[emoji736]

Six points out of six possible [emoji736]

Cleansheet[emoji736]

Position five out of 36 teams[emoji736]

Go reds
Go Slot
Up Liverpool
‘Ynwa’
Hujambo dogo?
Huyu VVD msimu jana kama si juzi walimtukana humu, wakasema aondoke.
 
Hujambo dogo?
Huyu VVD msimu jana kama si juzi walimtukana humu, wakasema aondoke.

Heheh watoto wa alfu mbili bana,

Haya sijambo Shikamoo dada.

Baada ya ACL 2020 aliyotokana na rough ya pickford, ilimchukua muda kurejea, plus whole team ilikuwa ina shake karibu kila mechi. Standard aliyojiwekea ndio ilikuwa inamuhukumu same to Salah, na Diaz.

Standard unayojiwekea at the first place, watu watakuhukumu nayo au they will praise you with it, Diaz mwenye jersey 23 mgongoni was a monster, kama wa msimu huu.

Ndicho kilimkuta Vvd, vvd wa msimu huu tunamrefer na Vvd yule kabla ya 2020 ACL injury, world class defending IQ, quality long and short passes. Beki anayecheza LCB huku anatumia right foot bila shida yoyote wala mashaka yoyote, wapo wachache wa muundo huu na wakakupa ubora wa muda mrefu. Mwingine ni kama Milner Righ footer ila anacheza mpaka LCB na ana deliver vizuri.

Huwezi walaumu waliosema ameisha hamna kitu,
‘Ynwa’
 
Still naamini Klopp angelitwist kidogo from his badic style of play angeendelea kusumbua sana.

Angetumia just double pivot, na kuslowe tempo pale timu inapopata magoli na kuituliza timu.

Hii ingepunguza injuries na fatigue.

Jana nimemsikia Mac Mannaman akisema Liverpool ina kikosi kizuri, hata bench lao lina young top talent players. Bradley, Quansah, Jones. Yeah haya ni mazao ya Klopp na jopo lake, alipaswa kubadilika kidogo kwendana na matakwa ya sasa.

Unaona timu zinakuja kucheza na LFC kwa mentality ile ile ya Klopp yupo, but mambo yamebadilika kidogo kidogo, unaona hata kwenye bad day in a office,

Ynwa
 
Heheh watoto wa alfu mbili bana,

Haya sijambo Shikamoo dada.

Baada ya ACL 2020 aliyotokana na rough ya pickford, ilimchukua muda kurejea, plus whole team ilikuwa ina shake karibu kila mechi. Standard aliyojiwekea ndio ilikuwa inamuhukumu same to Salah, na Diaz.

Standard unayojiwekea at the first place, watu watakuhukumu nayo au they will praise you with it, Diaz mwenye jersey 23 mgongoni was a monster, kama wa msimu huu.

Ndicho kilimkuta Vvd, vvd wa msimu huu tunamrefer na Vvd yule kabla ya 2020 ACL injury, world class defending IQ, quality long and short passes. Beki anayecheza LCB huku anatumia right foot bila shida yoyote wala mashaka yoyote, wapo wachache wa muundo huu na wakakupa ubora wa muda mrefu. Mwingine ni kama Milner Righ footer ila anacheza mpaka LCB na ana deliver vizuri.

Huwezi walaumu waliosema ameisha hamna kitu,
‘Ynwa’
Mi nikimuona tu VVD najua tupo mikono salama regardless atachezaje


Marahaba 😂
 
IMG_20241003_151727_602.jpg
 
😂😂😂😂We ni chizi...
Huo mwandiko dokta unautolea wapi sasa?
Mmmh I write good I have a good handwriting
I do everything beautiful
I love playing beautiful football with my teammates
I love cooking good for my family members for my brother and sister

On my work I do good scientific works beautiful one

It's beautiful to be alive saint Anne
 
Nunez

Keep going boy, jamaa anazidi kutulia miguuni. Darwin miguu yake ipo mbele ya akili yake, anapaswa kutafuta balance. Miguu ikiwa mbele ya akili huwezi kuwa na output nzuri. Utulivu umeanza kuonekana kwake.

Goli la kwanza jana, chance created from Darwin. Within the 18 yard as ST, utawaza mambo mawili kushoot after receive the ball or kutafuta nafasi zaidi ya kufunga kwa chenga or 1,2. Alichofanya Darwin jana hakufanya papara ya ku shot zaidi ya kutafuta aliye kwenye better position (Salah) akampa pande lililozaa goli. Kudos to Darwin.

More of that to come, (Chances created, assists and goals).

Ynwa’
 
Mi mambo ya double pivot,pressing
Sijui four three nini sijui
Nachojua nikimuona Salah na VVD basi nimemaliza

Ni vitu unavyoviangalia ila majina tu ndio tofauti.

Pressing - ni uwezo wa mchezaji kukimbia kufuata mpira kwa wapinzani pale ambapo timu yake haina mpira. Kwa kifupi ni kukaba kwa juhudi za kukimbia muda wote mkiwa hauna mpira. Good example Szobo and Jota plus Gakpo. Ukisikia good presser ni wale wasio wavivu uwanjani ni mbio mbip kuufuata mpira ulipo.

Ishi na hili kwanza.
 
Back
Top Bottom