Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nunez agent of chaos.Captain Marvelous
kuna paid article naandaa somewhere kuhusu Nunez.
So, how do you see Nunez now? compared na wakati wa Klopp na sasa? ame-improve? if so, what has changed? Slot amemuongezea kipi?
And, future yake unaiona at LFC?
asante mkuuBrother, they have got it right, finally.
Dont get me wrong, bado naamini kuwa Erik ni very good coach, but kwasada his reputation has been damaged.
The ocassion & pressure ya kufundisha Utd ambayo ilikuwa inahitajika kurudi katika its best level & shape, got to him na aka-fail ku-cope na standards/demands za kuwa Utd manager, its not kuwa he was not good enough kuwa Utd coach, NO, HE WAS MORE THAN GOOD ENOUGH, he had better stats & trajectoy kuliko Slot wakati anaenda Utd kutokea Ajax, BUT alivyofika Utd, aliruhusu pressure & ocassion to get the best out of him, unakumbuka kuna baadhi ya games alipata results mbovu mfululizo, & akaamua ku-abandon kabla his style of play ambayo ilimpa mafanikio makubwa sana all over ulaya, na baada ikawa tabu kwake ku-print new style of play kwa his players, katika kutafuta new commandible style of play, akajikuta anazama kwenye dimbwi la tactical-frailties, na ukifika kwenye hii hatua, unakuwa huelewi unachokitafuta kwenye market, especially kwa scouts, na pia unaanza kukataliwa kwa vitendo na senior players, na kwa Erik ambaye he's not a good talker, motivator & man to man manager, inakuwa mgumu kui-control dressing room, at the end he lost the players, bar Martinez, Garnacho, Mainoo, Dalot and his recent additions window iliyopita, sidhani kama senior players kina Fernandes, Rashford, Casemiro, Etc were playing for him, na hii ina-affect the whole dressing room.
Hii ilimtokea Brendan Rodgers, baada ya msimu wa 2013/14, tulivyoanza msimu wa 2014/15 na series ya bad results, the pressure got to him, and decided to abandon style of play iliyompa mafanikio makubwa at LFC and Swansea, na baada ya hapo ikawa ni downhill kwa Rodgers.
Ukweli ni kuwa, kilimchomtokea Erik, kingeweza kumtokea Slot kama angekuja msimu wa 22/23, sometimes no matter how good you're, ukija kwenye team ambayo imeachwa katika bad shape, ni rahisi sana kupotea, maana fans & world wanakuwa wanakubebesha mzigo wa matarajio, so series ndogo ya bad results inaweza kukutoa kabisa mchezoni, especially kama siyo good speaker & motivator.
Kitakachomsaidia, Amorim, ni good man-management gaffer, good talker, good motivator, ana traits zote za Klopp or Slot, hence we interviewed him pia, & Utd kuna group la young players ambao wanaweza kumpa good results kama akifanikuwa kuwapa belief kuwa wanaweza kufikia level yeyote wanayotaka, (angalia Slot alichofanya kwa Grav, Gakpo, Diaz & Nunez) Amorim anaweza kufanya the same kwa kina Mainoo, Hojlund, Garnacho, Yoro, Ugarte, etc, na anahitaji time, na ni si chini ya 3 years, Utd are a mess brother, Amorim will need a lot of time.
But, i think he will do good at OT, tuache muda uzungumze, aki-flop Amorim at Utd, nadhani ndiyo utakuwa mwisho wa Utd at the top level.
&, its time owners wa Utd, wakubali kutoa ile tag ya "big club" na kukubali kuwa Utd should be a "project" now, ni kama walivyofanya FSG wakati Klopp anakuja, Arsenal kwa Arteta, and now Chelsea kwa Maresca, na zaidi Barcelona kwa Hansi Flick, na pia Bayern kwa Kompany. Teams/Clubs kuna kipindi lazima i-evolve, na kipindi hiki huwa unatakiwa ukubali maumivu na dharau, but ukuaji wake unakuwa ni wa muda mrefu sana, LFC tunakula matunda now ya Evolvement procedure iliyofanyika 9 years ago, dharau & painful moments tulizopitia kutengeneza a sustainable team/club structure, matunda yake ndiyo haya.
Nunez agent of chaos.
Hana regular starting berth under Slot thus scoring just 2 and an a 1 assist and with Gakpo na Diaz playing as they are well Nunez has fallen below the pecking order as of now.
At Liverpool's his role its a bit different compared na Benfica where he had wing backs and Ramos and Rafa Silva playing in his strength under 442 or 343 formation and his numbers are there to tell especially his second season he was voted best player in the league and scored 26 league goals in 28 games akiwa mfungaji bora wa ligi .
Misimu yake miwili Benfica ligi kuu alifunga goli 32 na assist 14 katika gemu 57 huku gemu akianza gemu 43 na kupewa sub gemu 14 na gemu moja akianzia benchi hivyo utaona akiwa Ureno alicheza dakika nyingi na magoli pia yalikua mengi msimu wke wa pili. Msimu wa kwanza 2020 aliumia na kupata corona hivyo alifunga goli 6 tu. Baada ya kupona hakufunga goli kwa miezi minne na dogo hakuchoka wala kukataa tamaa kwani msimu uilofuata ndio alijitangaza vyema kama strika chipukizi kwa kufunga magoli muhimu Ureno Benfica alichukua ubingwa na champions league akiwafunga Liverpool, Barcelona, Ajax nk nk.
Nunez anang’aa zaidi akicheza lone 9 jambo ambalo Liverpool ni ngumu ukiwa na epic Salah akiwa focal points wa timu hivyo Klopp alijaribu kila namna ku accommodate wote na kwa matokeo tofauti.
Nunez ana ma shoti ya kila engo akitumia mguuu wa kulia na pia ni mzuri mipira ya kichwa.. Ana mishe haswa pale mbele, anahitaji utulivu wa maauzi sahihi wakati sahihi.
Pale ureno hakua na majukummu ya kurudi nyuma kusaidia timu alibaki kule kule mbele kwa kua ni waumini wa kaunta atack wakitumia overlapping full backs.
Ligi Kuu Uingereza amecheza gemu 75 ameanza gemu 44 ametokea benchi gemu 28 huku akifunga goli 21 na assist 12. Amekua akicheza aidha winga wa kushoto au mshambuliaji wa kati. Hua anapedelea kucheza winga wa kushoto tunaposhambulia ili kufungua njia kwa wengine wafunge akiwavuta pembeni mabeki kusud akina Salah etc wapate space za kushambulia.
Mapungufu yake yapo tukianza na la nidhamu tangu atue Liverpool amecheza foul 62 akipewa kadi za njano 12 na nyekundu 1.
Mapungufu mengine amecheza offside mara 53 na hii hapa ndio Slot akomae nae kwani anafanya kila move sahihi kasoro kwenye timing ili akwepe offside trick ya timu pinzani. His offside awareness ndio biggest weakness alionayo hapa Liverpool and the earlier Slot sort that out we have a beast in namba 9.
Pia hajawa clinical akigonga mwamba mara 14 EPL tu. Ina maana Slot na hapa wana kibarua.
Kingine ni klosi zake sio nzuri sana japo sio jukumu lake kuu lakin angalau na hapa Slot apambane nae.
Ukilinganisha na wengine ana goal involvement rate per 90 ipo kama ifuatavyo
Jota 0.36
Nunez 0.25
Gapko 0.23
Diaz 0.80
Salah 0.72
Ukitazama hapo utaona hayupo vimbaya sana compared na dakika anazopata.
Anafunga goli msimu huu kila baada ya dakika 361.
Yupo nafasi ya 56 kwa kufunga kati ya wachezaji 276 EPL.
Assist yupo nafasi ya 41 kati ya wachezaji 276 EPL.
Ana pass completion ya 70.97% needs improvement. Key pass rate ni 0.75.
So anamsaidia aje Slot kwa sasa? With Nunez uwanjani Slot ataona opponent back line inakua pinned kwenye half yao kwa sababu dogo yeye hua anakimbia dakika 90+ hachoki ni pale tu aongeze awareness kukwepa mtego wa offside maana mbio anazo, ana instinct wapi pasi ya Trent etc itatua ishu tu ni wakati gani akimbie. Ni mzuri kutega rebounds shot lakin ishu tu ni accuracy na offside trick.
Tangu atue Slot tunamuona Nunez design kama Firmino in terms of kucheza zaidi kwa ajili ya timu. Tazama stat zake amecheza gemu 10 tu ana tackling 6. Aafu chini ya Klopp kwa misimu miwili alicheza tackling 33 katika gemu 65 hapo utaona Slot anachokitaka ni awe 1st line of defence ili kupoza mashambulizi kwenda kwetu na hii sasa itamfanya awe all round player akiwa threat ndani ya box na nje ya box.
Rekodi Nunez EPL ipo hivi
Offiside 53
Foul amecheza 62
Ametackle 43
Ame block 36
Interception mara 7
Clearance mara 26.
Ina maana Nunez ni work in progress na Slot naanza kumwelewa baada ya kazi nzuriiiiii kwa Gravenberch, Tsimikas, Konate, Diaz na Trent wote tumewaona wamekua next level chini ya Kipara wetu niko na imani Nunez nae atafikia levo hizo.
YNWA