Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Siwezi ishi bila Cody😘
 

Attachments

  • IMG-20241201-WA0044.jpg
    IMG-20241201-WA0044.jpg
    544.7 KB · Views: 2
Mahasimu waendeleenkupoteza ili nasi tuendelee kupata ushindi hatimaye mwisho wa msimu tutwae taji👑
 
Golikipa wa Dunia
Magoli kibao anaruhusu
Kusema ukweli ni kama confidence ya AB golini imepungua. Kelleher haya magoli aliyofungwa Allison recently ange save most of them.

Japo tuna lapse of concentration pale nyuma tukiwa under pressure. Defence yetu inakuwa very unexpectedly porous at times.

I hope Konate atarudi mapema labda ile solidity tuliyokuwa nayo itarejea na cleansheets zitarejea.
 
Kusema ukweli ni kama confidence ya AB golini imepungua. Kelleher haya magoli aliyofungwa Allison recently ange save most of them.

Japo tuna lapse of concentration pale nyuma tukiwa under pressure. Defence yetu inakuwa very unexpectedly porous at times.

I hope Konate atarudi mapema labda ile solidity tuliyokuwa nayo itarejea na cleansheets zitarejea.
Magoli anayofungwa Allison sio ya kumlaumu moja kwa moja huwa ni makosa ya safu ya ulinzi kujichanganya ni mashambulizi ya haraka bila kutegemea rudi uangalie one against one ni magoli mangapi amefungwa bado anafanya kazi kubwa sana,bado itoshe kusema tumpe heshima yake pia magoli aliofungwa kelleher hawezi fungwa allison kwa kuwa kelleher hufanya makosa ila becker mabeki hufanya makosa!
 
Wakuu heri ya sikuku ya xmass.
Hongereni kwa ushindi mzuri wa jana usiku dhidi ya leicester city wa 3-1.
Eveton wamekuwa wakitubeba kiaina japo ni mahasimu wetu. Kwenye game zao 7 wamepoteza game 1dhidi ya United.
Wameshinda game 1 dhidi ya Wolve.
Game zilizobakia katoa sare dhidi ya westham united, Brentford, Arsenal, Chelsea na City jana.
Game yetu na wao iliahirishwa. Kwangu naona kama kwa upande wetu ilitulipa. Acha ibaki kama kiporo wakati tunaendelea kutoa adhabu kali kwa wengine.
City kwa sasa sio washindani wetu tena. Chelsea nao kumbe ni homa za mara kwa mara, hawana pumzi. Tuna kila kitu cha kutufanya kumaliza hii mission..
Next game ni vs Westham huko london
 
Back
Top Bottom