Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
😂😂😂😂Pray for Newcastle United
1. Carabao loading...........
2. FA
3. EPL
4. UCL
5. Ngao
6. Super Cup
7. CWC
Yaani tusiache kitu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂Pray for Newcastle United
1. Carabao loading...........
2. FA
3. EPL
4. UCL
5. Ngao
6. Super Cup
7. CWC
Yaani tusiache kitu
Same old same old Liverpool man.kushukuru Mungu mechi ilikwisha salama bila majeruhi.....ila mjomba Robertson atafutiwe mbadala mapema ipo siku atatuliza kwenye mechi muhimu sana!
kushukuru Mungu mechi ilikwisha salama bila majeruhi.....ila mjomba Robertson atafutiwe mbadala mapema ipo siku atatuliza kwenye mechi muhimu sana!
Tsimikas ni mzuri kama hivi anacheza mechi chache akipangwa mfululizo ana tabia ya kuchanganyikiwa natumaini slot ameliona hilo tatizo atapeleka mapendekezo !Mbadala wake mbona yupo Tsimikas miguu ya plastiki.
Usitegee FSG kuwa na wa kutafuta LFB wakati Tsimikas yupo.
Mbadala wa Trent ni Bradley Miguu ya Udongo! Usitegemee FSG kusajili RFB wakati Bradley yupo.
Mbadala wa Salah ni Chiessa miguu ya Biskuti! Usitegemee FSG kusajili RW wakati Chiessa yupo.
Mbadala wa VVD ni Quansah! Usitegemee FSG kusajili CB wakati Quansah yupo.
Kiufupi msimu huu tutamaliza vizuri ila msimu ujao kuna uwezekano tukafikwa na janga kubwa sana iwapo Timu itaondoka wachezaji bila ya kusajili wengine wa kuziba nafasi zao.
Mwenye live streaming linkGomez tayari huko anachechemea dah😰😰
Mkuu maswala ya link ndo siyawezi we cheki hiyo www.fawanews.com andika kama ilivyo.Mwenye live streaming link