Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kwahiyo kwa maoni yako ungetamani matokeo ya jana tupoteze kabisa ili mechi ijayo tushinde? 😄,

Kiukweli mimi nasema ushindi kwanza ndo kipaumbele, ikishindikana basi hata sare ni bora zaidi kuliko kupoteza kabisa, haijalishi mechi ngapi.
Most fans hawaujui mpira vizuri bado, wao huwa hawajui aspects nyingine za mchezo bali ni matokeo ya ushindi tu. Hawajui ni namna gani kupoteza mechi kunaweza kuathiri momentum ya team, hawajui kupoteza mechi kunavyoweza kuathiri morale ya squad.

Hawajui kushinda mechi kunavyoweza ku build morale na momentum ya team. Team inaweza kuwa underdog lakini kwamfano ikishinda game mbili mfululizo huwa wanapata morale na ku build momentum unashangaa wanashinda games mfululizo.

Mfano Nottingham na Bournemouth hawa jamaa recently wamekuwa form sana kwasababu ya kuweza kubuld momentum, winning streaks zinaletwa na morale baada ya ushindi. Everton wenyewe form yao ya hivi karibuni ni hivyo hivyo.

Vice versa sasa, angalia Arseal walipoanza ku drop points walikuwa tia maji tia maji mpaka sasa hawaeleweki. Angalia team kama Man city baada ya kupoteza game mbili tu aliendelea kupigwa na mpaka sasa hajajipata. So guys you should know the difference between and winning or earning a point.

Mjue pia impact ya kupoteza mechi na inavyoweza kuiwia team ngumu ku bounce back. So namshangaa sana mtu anaesema bora kufungwa kuliko draw, sometimes hizo maths hali apply kwenye real footballing world.

Tujifunze kuangalia mpira na kuelewa kila spect ya football in general, nje na ndani ya uwanja.

Halafu hii match ni derby na tena sio derby tu ni MERSEYSIDE DERBY ambayo katika games 10 zilizopita za hii derby Draw ni 4, Everton kashinda 2, Liverpool tumeshinda 4 na katika hizo 4 tatu tumeshinda Anfield moja tu ndio tumeshinda away.

Saint Anne kipara kipya choza choza
 
Tulikuwa tunamaliza nje ya Top 4 ila sasa msimu wa 3 mfululizo tunapambania ubingwa na tukiukosa tunakuwa wa pili.

Kwa sababu hatajakuwa mabingwa, basi watu hawataki kuona kama kuna hatua tumepiga.

Newcastle, Aston Villa na Nottingham Forest wakipiga hatua za hivi, wanaonekana wamesonga mbele na wanapongezwa.
 
Most fans hawaujui mpira vizuri bado, wao huwa hawajui aspects nyingine za mchezo bali ni matokeo ya ushindi tu. Hawajui ni namna gani kupoteza mechi kunaweza kuathiri momentum ya team, hawajui kupoteza mechi kunavyoweza kuathiri morale ya squad.

Hawajui kushinda mechi kunavyoweza ku build morale na momentum ya team. Team inaweza kuwa underdog lakini kwamfano ikishinda game mbili mfululizo huwa wanapata morale na ku build momentum unashangaa wanashinda games mfululizo.

Mfano Nottingham na Bournemouth hawa jamaa recently wamekuwa form sana kwasababu ya kuweza kubuld momentum, winning streaks zinaletwa na morale baada ya ushindi. Everton wenyewe form yao ya hivi karibuni ni hivyo hivyo.

Vice versa sasa, angalia Arseal walipoanza ku drop points walikuwa tia maji tia maji mpaka sasa hawaeleweki. Angalia team kama Man city baada ya kupoteza game mbili tu aliendelea kupigwa na mpaka sasa hajajipata. So guys you should know the difference between and winning or earning a point.

Mjue pia impact ya kupoteza mechi na inavyoweza kuiwia team ngumu ku bounce back. So namshangaa sana mtu anaesema bora kufungwa kuliko draw, sometimes hizo maths hali apply kwenye real footballing world.

Tujifunze kuangalia mpira na kuelewa kila spect ya football in general, nje na ndani ya uwanja.

Halafu hii match ni derby na tena sio derby tu ni MERSEYSIDE DERBY ambayo katika games 10 zilizopita za hii derby Draw ni 4, Everton kashinda 2, Liverpool tumeshinda 4 na katika hizo 4 tatu tumeshinda Anfield moja tu ndio tumeshinda away.

Saint Anne kipara kipya choza choza
Leicester city 2015/16 walichukua ubingwa sio kwakuwa walikuwa ni team bora kuliko Man City, Liverpool, Arsenal n.k ni kwasbabu ya kuanza kwa winning streaks na kumantain ile momentum. Winning mentality ikishakuwa instilled vichwani mwa wachezaji huwa hata team pinzani wanakuwa wanapata kiwewe mnajikuta mnashinda games easily.

So losing is not an option at all.
 
Tulikuwa tunamaliza nje ya Top 4 ila sasa msimu wa 3 mfululizo tunapambania ubingwa na tukiukosa tunakuwa wa pili.

Kwa sababu hatajakuwa mabingwa, basi watu hawataki kuona kama kuna hatua tumepiga.

Newcastle, Aston Villa na Nottingham Forest wakipiga hatua za hivi, wanaonekana wamesonga mbele na wanapongezwa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mentality, Mentality, Mentality
Siku zote hua tunasema Arsenyo kuanzia, uongozi, kocha, wachezaji mpaka mashabiki mna mentality za mid table team.
Arsenyo hua tunaichukulia ni miongoni mwa big team kwenye Epl, ila mashabiki wake bado wana mentality za mid table team ndio maana hua wanaona fahari kujifananisha na Newcastle, Aston Villa, Nottingham Forest n.k
Huwezi kuona shabiki yoyote wa Liverpool, Man Utd au Chelsea ambae atajifaharisha kwa sababu tu timu yake imeshika nafasi ya pili kwa miaka miwili au mitatu mfululizo pasi na kubeba kombe lolote.
Man Utd tulimtimua Ole Gunnar Solskjaer wakati timu imemaliza ligi nafasi ya pili.
 
Tulikuwa tunamaliza nje ya Top 4 ila sasa msimu wa 3 mfululizo tunapambania ubingwa na tukiukosa tunakuwa wa pili.

Kwa sababu hatajakuwa mabingwa, basi watu hawataki kuona kama kuna hatua tumepiga.

Newcastle, Aston Villa na Nottingham Forest wakipiga hatua za hivi, wanaonekana wamesonga mbele na wanapongezwa.
Sababu arsenal kumaliza wa pili bado sio mafanikio bali amerudi nyuma.
 
Most fans hawaujui mpira vizuri bado, wao huwa hawajui aspects nyingine za mchezo bali ni matokeo ya ushindi tu. Hawajui ni namna gani kupoteza mechi kunaweza kuathiri momentum ya team, hawajui kupoteza mechi kunavyoweza kuathiri morale ya squad.

Hawajui kushinda mechi kunavyoweza ku build morale na momentum ya team. Team inaweza kuwa underdog lakini kwamfano ikishinda game mbili mfululizo huwa wanapata morale na ku build momentum unashangaa wanashinda games mfululizo.

Mfano Nottingham na Bournemouth hawa jamaa recently wamekuwa form sana kwasababu ya kuweza kubuld momentum, winning streaks zinaletwa na morale baada ya ushindi. Everton wenyewe form yao ya hivi karibuni ni hivyo hivyo.

Vice versa sasa, angalia Arseal walipoanza ku drop points walikuwa tia maji tia maji mpaka sasa hawaeleweki. Angalia team kama Man city baada ya kupoteza game mbili tu aliendelea kupigwa na mpaka sasa hajajipata. So guys you should know the difference between and winning or earning a point.

Mjue pia impact ya kupoteza mechi na inavyoweza kuiwia team ngumu ku bounce back. So namshangaa sana mtu anaesema bora kufungwa kuliko draw, sometimes hizo maths hali apply kwenye real footballing world.

Tujifunze kuangalia mpira na kuelewa kila spect ya football in general, nje na ndani ya uwanja.

Halafu hii match ni derby na tena sio derby tu ni MERSEYSIDE DERBY ambayo katika games 10 zilizopita za hii derby Draw ni 4, Everton kashinda 2, Liverpool tumeshinda 4 na katika hizo 4 tatu tumeshinda Anfield moja tu ndio tumeshinda away.

Saint Anne kipara kipya choza choza
Mkuu hongera sana umeandika vizuri uchambuzi wako kila mmoja ana mtizamo na ni vyema kila mmoja aheshimiwe maoni yake..sidhani kama yupo mtu anayependa timu yake iliyo moyoni ikapoteza ila tunasema vitu kutokana na experience tuliyopitia..kuhusu kusema timu ni afadhali ipoteze kuliko kudroo upo ushahidi city ameshatupita mara mbili na draw zetu nyingi akatwaa ubingwa japo yeye kafungwa mechi nyingi...mfano...
-------------'------ MAN CITY BINGWA 2018-19...
P w D L. Pts
1.Man city 38 32. 2. 4. 98
2.Liver. 38 30. 7. 1. 97

MAN CITY BINGWA 21-22
P W D L PTS
1.Man city 38. 29. 6. 3. 93
2.Liver. 38. 28. 8. 2. 92

Hii ni mifano tu sitaki uamini wala kusema wengine waamini hiki......
zumbemkuu
YWNA.......
 
Back
Top Bottom