TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 28,186
- 15,549
Hizo ndio unaona rekodi za maana,naona we ni mfuasi wa Mr Bean
Hivi Man City wliwafunga kwa fitina au nguvu
Huwezi kabisa kuilinganisha Liverpool na Arsenal kabisa Arsenal bado sana
Ndugu yangu unatafuta matusi humu jamvini... wakuu wanasema ngoma ya kitoto haikeshi!!! the one who laughs last laughs most
Tuwasikilize