Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,345
- 10,885
Teh Teh Teh
Haka Ka thread Siku hizi kamechangamka Siku hizi!
Khe Khe Khe Khe Khe kumbe Wana Liverpool mmefufuka!
Acha kabisa..si humu tu, hata mtaani, eti siku hizi wanatamba nao...
Hawa jamaa wasiposhinda kombe msimu huu, wengi watakufa kwa hasira..