Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Teh Teh Teh

Haka Ka thread Siku hizi kamechangamka Siku hizi!


Khe Khe Khe Khe Khe kumbe Wana Liverpool mmefufuka!

Acha kabisa..si humu tu, hata mtaani, eti siku hizi wanatamba nao...

Hawa jamaa wasiposhinda kombe msimu huu, wengi watakufa kwa hasira..
 
Nashangaa hawa mashabiki maandazi wa loserfools wanasema nina chuki binafsi, wakati nimewasifia.

Kocha wao msimu huu amekuwa mzuri sana, tofauti na msimu jana...hili ni fundisho kwa wale Moyes' haters...give the man a season to learn, and then start throwing jabs and uppercuts to him the second season...

Huyo Gerrard, nimewaheshimu tu...ndio maana SAF alisema hajawahi kumwona Gerrard kama mchezaji mzuri...na ana uchu na EPL huyo...akilikosa msimu huu, ndio imekula kwake!
we lazim ni manure unapepepepe sana
 
Acha kabisa..si humu tu, hata mtaani, eti siku hizi wanatamba nao...

Hawa jamaa wasiposhinda kombe msimu huu, wengi watakufa kwa hasira..

Mkuu kwa utamu wa soka tunalotandaza cku hizi hata ungekuwa wewe ungeongea tu...!
BR is the man!
YNWA!
 
Nashangaa hawa mashabiki maandazi wa loserfools wanasema nina chuki binafsi, wakati nimewasifia.

Kocha wao msimu huu amekuwa mzuri sana, tofauti na msimu jana...hili ni fundisho kwa wale Moyes' haters...give the man a season to learn, and then start throwing jabs and uppercuts to him the second season...

Huyo Gerrard, nimewaheshimu tu...ndio maana SAF alisema hajawahi kumwona Gerrard kama mchezaji mzuri...na ana uchu na EPL huyo...akilikosa msimu huu, ndio imekula kwake!

Andazi babu yako, huna lazima ya kuchangia kwenye thread yetu ushaona Special so hatuhitaji kusifiwa tumekuwa hivi muda tu bila ya ww
 
hahahahah

Gerrard is not a world class player????

Nimecheka sana aiseee!!!!!

Yes. He isn't. He is a fantastic player, but not world class. He is just English class!

Look at him when he performs with his national team...he is usually at the margin...a world class player should be able to perform at the best level in club and national competitions..
 
Acha kabisa..si humu tu, hata mtaani, eti siku hizi wanatamba nao...

Hawa jamaa wasiposhinda kombe msimu huu, wengi watakufa kwa hasira..



Mkuu ubingwa hawachukui!

Maana Siku chelsea wakitua hapo yani hao watoto wote na BR watawekwa mfukoni!

Hats matokeo ndio sisi Chelsea tulikua tunayaomba!
 
Acha kabisa..si humu tu, hata mtaani, eti siku hizi wanatamba nao...

Hawa jamaa wasiposhinda kombe msimu huu, wengi watakufa kwa hasira..

Mkuu kwa utamu wa soka tunalotandaza cku hizi hata ungekuwa wewe ungeongea tu...!
BR is the man!
YNWA!
 
Nashangaa hawa mashabiki maandazi wa loserfools wanasema nina chuki binafsi, wakati nimewasifia.

Kocha wao msimu huu amekuwa mzuri sana, tofauti na msimu jana...hili ni fundisho kwa wale Moyes' haters...give the man a season to learn, and then start throwing jabs and uppercuts to him the second season...

Huyo Gerrard, nimewaheshimu tu...ndio maana SAF alisema hajawahi kumwona Gerrard kama mchezaji mzuri...na ana uchu na EPL huyo...akilikosa msimu huu, ndio imekula kwake!

Hangaika na dunia wewe
 
Andazi babu yako, huna lazima ya kuchangia kwenye thread yetu ushaona Special so hatuhitaji kusifiwa tumekuwa hivi muda tu bila ya ww

Muda tu? Umeona hii thread ilivyo doro? Ndio mko page ya 300+ mlikuwa wapi kama siyo kujificha?!? Timu inafanya vizuri ndio inajitekenya na kucheka mwenyewe!

Kwanza, haupo levo yangu...ukishafikisha makombe 20 ya EPL...ndio utastahili kinijibu #MburukengeOrijinowewe ..
 
Back
Top Bottom