Leo ni PFA Award hii ndio my Premier League XI: 1.David de Gea bila Huyu United wangeokota mengi nyavuni 2. Azplicueta nimetizama game za Chelsea Huyu jamaa kamsaidie sana na game ya Leo na LFC nimempa heshima zake. 3. Anapigwa Luke Shaw Huyu Dogo anaweza kuchezea Chelsea au Man United mwakani! 4. kompany Huyu jamaa ni Real Captain kwa City anauwezo wa kucheza hata Middle unapomuhitaji 5.koscienly mwanzo wengi mashabiki wa Arsenal walimchoka ila jamaa amesimama Arsenal vizuri na Yule Mjerumani pale 6. Yaya Toure kila timu EPL inatamani Kuwa na mtu jembe Kama Huyu ukiwa naye Huyu wengine malizieni yenu tu 7. Eden Hazard Huyu jamaa anajuwa ku dribble na ku bend mpira weak yake ufungaji ila si kazi yake sana hawakupata natural number 9 Chelsea wa kuonekana Huyu mtu Kama ni mkali sana. 8. Ni Aaron Ramsey Kama mashabiki wake wanavyomuita Rambo hapa ningemuweka Steven Gerrad ila sababu Aaron Ramsey kaumia haitokuwa haki Huyu asingeumia Arsenal wangekuwa mbali na Pengine Huyu ndio angekuwa PFA player of the year! 9.Daniel Sturidge jamaa kajitahidi kuonyesha kipaji chake 10.Luis Suarez Goals na Assist zinajielezea PFA player of the Year 11. Ni David Silva haya ni maoni yangu tu. XI. David de Gea,Azpuliceta,kompany,koscienly,shaw,hazard,Yaya toure,Ramsey,silva,daniel sturidge,luis suarez.