Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kumbuka huyo Sturridge ama Suarez kuna muda wataumia then nani ata-take over?
Lazima kuwe na attacking options nyingi na sio kuwa na SAS tu inakuwa ni rahisi kwa timu pinzani kujua game plan yenu. Angalia bench la MCity. Lazima tujifunze kwa Pellegrini na sio kung'ang'ania SAS tu

well said mkuu,hapa ndo hoja yangu ya kuhitaji backup striker wa maana inapokuja.sio kina Lambert hawa.
 
Ukifuatilia hizo rumours utaumia kichwa,so far nimeshasikia Liverpool inataka kuwasajili Adam Lalana,Jay Rodriguez,Rickie Lambert,Albelto Moreno,Dejan Lovren,Alexis Sanchez,Shaqiri,Emre Can,Pedro na wengineo
Kipindi hiki ni udaku tu ili watu kuuza magazeti. Kuna moja nimeona Xavi, Pastore, Can, DiMaria eti kutua Anfield.
Mara Kornoplyanka kaenda Old Trafford
Uko right mkuu, ukitaka kuumiza kichwa fuatilia hizo rumors
 
Kumbuka huyo Sturridge ama Suarez kuna muda wataumia then nani ata-take over?
Lazima kuwe na attacking options nyingi na sio kuwa na SAS tu inakuwa ni rahisi kwa timu pinzani kujua game plan yenu. Angalia bench la MCity. Lazima tujifunze kwa Pellegrini na sio kung'ang'ania SAS tu

Fabio Borini unamwacha wapi??

Je, Loic Remy atakubali kuja kuwa backUp pale LFC, atakubali kuja kukaa bench pale LFC, au kucheza game 5 au 6 season nzima, au mpaka asubiri Sturridge aumie ndo acheze..kwa umri na kiwango cha Remy hawez kukubali kuja kukaa Bench!!

Daniel Agger msimu ulioisha ameanza game 16, ukiachana na Zile ambazo ametokea bench, lakini juzi hapa tumeona wote hapa, Agger akilalamika kuwa third choice na mpaka kufikia hatua ya kuiomba club isikilize offer kutoka clubs nyingne.

Remy, bony au Sanchez hawawez kukubali kuja kuwa BackUp strikers hata iweje, Ikiwa tu Iago Aspas analalamika kupata nafas ndogo ya kucheza itakuwa kwa Remy..??
 
well said mkuu,hapa ndo hoja yangu ya kuhitaji backup striker wa maana inapokuja.sio kina Lambert hawa.
Waletwe back up strikers wa maana na sio magarasa sijui akina Borini na Lambert etc.
Katikati wawepo watu wa kumsaidia Coutinho kama vile Can, Lallana, Ross Barkley etc.
Kule nyuma nako beki wasafishe i.e. Johnson, Sakho, Toure, Sissoko, Enrique wauzwe au wawe released.
Huyu Mignolet pia anatakiwa atafutiwe kipa mzuri wa kumtia pressure simwamini
 
Fabio Borini unamwacha wapi??

Je, Loic Remy atakubali kuja kuwa backUp pale LFC, atakubali kuja kukaa bench pale LFC, au kucheza game 5 au 6 season nzima, au mpaka asubiri Sturridge aumie ndo acheze..kwa umri na kiwango cha Remy hawez kukubali kuja kukaa Bench!!

Daniel Agger msimu ulioisha ameanza game 16, ukiachana na Zile ambazo ametokea bench, lakini juzi hapa tumeona wote hapa, Agger akilalamika kuwa third choice na mpaka kufikia hatua ya kuiomba club isikilize offer kutoka clubs nyingne.

Remy, bony au Sanchez hawawez kukubali kuja kuwa BackUp strikers hata iweje, Ikiwa tu Iago Aspas analalamika kupata nafas ndogo ya kucheza itakuwa kwa Remy..??
Borini ni garasa auzwe.
Ukisema nani akae bench, umeliona bench la Pellegrini?
 
Borini ni garasa auzwe.
Ukisema nani akae bench, umeliona bench la Pellegrini?

Jaribu kutofautisha kati ya Policy ya Liverpool na Man city!!

Negredo analipwa £75,000 per week, Jovetic analipwa £80,000 per week, Jovetic alinunuliwa £25mill na Negredo ni £20mill, so unadhani BR anaweza akanunua wachezaj wa ghali na mishahara mikubwa kama BackUP..??

Kama unamsajili Sanchez ambaye, release clause yake ni around £20mill unategemea aje kucheza moja kwa moja kwenye First team syo kama BackUp, ukimchukua Sanchez kuja Liverpool ni lazima Sturridge akae Bench., so hapo cha kuzingatia ni je, BR atakubali kufanya biashara ya namna hiyo??

Na suala la Lambert ni kama kuisoften deal ya lallana na Lovren ambao wote tunawahitaji toka So'ton, Nadhani Articles mbalimbali zimeshaandika kuhusu hyo ishu!!
 
Waletwe back up strikers wa maana na sio magarasa sijui akina Borini na Lambert etc.
Katikati wawepo watu wa kumsaidia Coutinho kama vile Can, Lallana, Ross Barkley etc.
Kule nyuma nako beki wasafishe i.e. Johnson, Sakho, Toure, Sissoko, Enrique wauzwe au wawe released.
Huyu Mignolet pia anatakiwa atafutiwe kipa mzuri wa kumtia pressure simwamini

sio vema kuifumua timu nzima,akija moreno flanagan anahamia kule kwa johson,kati anacheza gerald na can,center backs skirtel na lovren,au sakho,kule mbele kotinyo,lallana na sterling,na forwad sas.hendo mbona kama anapotea? Kitu ambacho sidhani BR atakikubali
 
Jaribu kutofautisha kati ya Policy ya Liverpool na Man city!!

Negredo analipwa £75,000 per week, Jovetic analipwa £80,000 per week, Jovetic alinunuliwa £25mill na Negredo ni £20mill, so unadhani BR anaweza akanunua wachezaj wa ghali na mishahara mikubwa kama BackUP..??

Kama unamsajili Sanchez ambaye, release clause yake ni around £20mill unategemea aje kucheza moja kwa moja kwenye First team syo kama BackUp, ukimchukua Sanchez kuja Liverpool ni lazima Sturridge akae Bench., so hapo cha kuzingatia ni je, BR atakubali kufanya biashara ya namna hiyo??

Na suala la Lambert ni kama kuisoften deal ya lallana na Lovren ambao wote tunawahitaji toka So'ton, Nadhani Articles mbalimbali zimeshaandika kuhusu hyo ishu!!
Mlete Sanchez. Diamond formation itabadilika. Sanchez atacheza katikati, Suarez wide kulia na sturridge wide kushoto.
Sioni tazizo na wote wataanza.
Kama unaweza kumnunua Charlie Adam for 20 million GBP, Downing for the same amount then tatizo liko wapi ukimlteta Sanchez hata for 30m?
 
sio vema kuifumua timu nzima,akija moreno flanagan anahamia kule kwa johson,kati anacheza gerald na can,center backs skirtel na lovren,au sakho,kule mbele kotinyo,lallana na sterling,na forwad sas.hendo mbona kama anapotea? Kitu ambacho sidhani BR atakikubali
mkuu una agenda ya kuifanya Liverpool kuwa a mid-table team again?
Kumbuka msimu ujao utakuwa mgumu sana tena sana. All top 6 teams zinafanya mageuzi makubwa kwa sasa. Kupata nafasi ya 4 itakuwa ni kibarua kigumu sana.
Sasa kule nyuma ukiwaacha akija Johnson ndio waanze mmmmmnnnhhh haya bwana!
Dawa ni kufagia kila mtu kule nyuma with the exception of Skrtl, Agger na Red Cafu
 
Mlete Sanchez. Diamond formation itabadilika. Sanchez atacheza katikati, Suarez wide kulia na sturridge wide kushoto.
Sioni tazizo na wote wataanza.
Kama unaweza kumnunua Charlie Adam for 20 million GBP, Downing for the same amount then tatizo liko wapi ukimlteta Sanchez hata for 30m?

Adams na Downing, zote zilikuwa ni deals za Daglish, nadhan uliona alivyokuja BR, Adams aliondoka mapema sana, akifuatiwa na downing, utainadilisha vipi diamond formation wakati una Lallana & shaqiri (kama wakija), na pia una Raheem sterling, What BR needed tangu mwanzo ni winger, ndo maana we tried to sign Willian, Salah, Konoplyanka na MK, and now we're strong linked na Shaqiri and Pedro ambao wote ni natural wings, Nadhani kama BR alivyosema kwny game yetu na Chelsea Kwamba we needed something ili kuibadilisha ile game, na ukaja kuona jinsi ATM walivyotumi winger (turan and Co) kuwafunga Chelsea..
 
Adams na Downing, zote zilikuwa ni deals za Daglish, nadhan uliona alivyokuja BR, Adams aliondoka mapema sana, akifuatiwa na downing, utainadilisha vipi diamond formation wakati una Lallana & shaqiri (kama wakija), na pia una Raheem sterling, What BR needed tangu mwanzo ni winger, ndo maana we tried to sign Willian, Salah, Konoplyanka na MK, and now we're strong linked na Shaqiri and Pedro ambao wote ni natural wings, Nadhani kama BR alivyosema kwny game yetu na Chelsea Kwamba we needed something ili kuibadilisha ile game, na ukaja kuona jinsi ATM walivyotumi winger (turan and Co) kuwafunga Chelsea..
Nakubaliana na mawazo yako lakini bench letu linatakiwa litishe. Yaani atakaeanza moto na atakaeingia kama sub moto.
Bila ya kuwa na benchi la kutisha tutaishia kunawa tu lakini hatuli.
 
Nakubaliana na mawazo yako lakini bench letu linatakiwa litishe. Yaani atakaeanza moto na atakaeingia kama sub moto.
Bila ya kuwa na benchi la kutisha tutaishia kunawa tu lakini hatuli.

Bench litatisha tu,

Kama tukifanikiwa kuwasajili kina Lallana, Lovren, Shaqiri, Pedro na Can..hopefull tutakuwa na strong Bench aisee!!!..
 
Ben Smith saying medical on Saturday before he flies to Miami with England on Sunday. England play tomorrow night as well. (re: Lambert
A good deal for just 4ml plus add ons if its true
 
Bench litatisha tu,

Kama tukifanikiwa kuwasajili kina Lallana, Lovren, Shaqiri, Pedro na Can..hopefull tutakuwa na strong Bench aisee!!!..
Hao uliowataja wote wakitua Anfield, mambo yatakuwa shwari.
Ila kule nyuma bado ni mzigo.
Unaonaje Pepe Reina akirudi?
 
Hao uliowataja wote wakitua Anfield, mambo yatakuwa shwari.
Ila kule nyuma bado ni mzigo.
Unaonaje Pepe Reina akirudi?

Kuhusu Reina, NO, ukizingatia we've been linked na Vorm wa Swansea, na whats interesting ni kwamba Swansea washacomplete deal ya fabiansk kutoka Arsenal!!

Nadhan, if the rumours are true, Michael Vorm anaweza kuwa backUp nzuri kwa Mignolet..
 
Kuhusu Reina, NO, ukizingatia we've been linked na Vorm wa Swansea, na whats interesting ni kwamba Swansea washacomplete deal ya fabiansk kutoka Arsenal!!

Nadhan, if the rumours are true, Michael Vorm anaweza kuwa backUp nzuri kwa Mignolet..
Huyu Mignolet sio kipa mzuri
 
Hao uliowataja wote wakitua Anfield, mambo yatakuwa shwari.
Ila kule nyuma bado ni mzigo.
Unaonaje Pepe Reina akirudi?

nadhani tukiwa na Moreno, Flanagan, Andre wisdom, Enrique, GJ (ana mwaka mmoja), Sakho, Lovren, Agger, Skritel, Mignolet na Vorm au Marshall (kama wakija), Kutakuwa na competition kubwa sana ya number, ambayo itafanya watu wapambane sana, na hicho ndo kitaleta Back line imara zaidi!

Lets hope for the BEST!
 
Huyu Mignolet sio kipa mzuri

Mignolet, ana makosa madogo madogo ambayo yalitucost sana!!nahisi hakuzoea kucheza kwa presha kubwa sana, ukizingatia ni LIVERPOOL!

Nakumbuka, wakat yupo Sunderland, alikuwa na uwezo wa kutoa clean sheet nyingi sana!
 
Ben Smith saying medical on Saturday before he flies to Miami with England on Sunday. England play tomorrow night as well. (re: Lambert
A good deal for just 4ml plus add ons if its true

ndo hicho nilikuwa najaribu kukisema, deal ya £4mill, kwa mtu kama BackUp, syo Mbaya!
 
Hehehehe naona Humu wengi tuna ndoto tu hao players tunaowataja utafikiri wapo Medical tayari sasa hivi ukitaka Player tu ambao wamaana na wakweli kuja basi jitaarishe totenham spurs nao kumtaka hujifanya wao big team Kumbe Wana offer big money per week sasa usije kuomba Morinho amtake player ambaye tayari yupo mlangoni kwenu atampigia goti Mrusi kwa pesa kibao au yupo tayari aharibu kwa dau wote mkose nafikiri ukweli wa deal anao Rogers na Kamati yake News wanazifuatilia tu Tetesi kwa watu wa Betting so tusiumize kichwa ukweli July 1st ndio utaaanza au katikati ya World Cup atatokea World Cup striker au Middle atafunga goli mbili Utasikia romours LFC inamtaka kwa million 40 hawachelewi player wa 8 na Pengine deal wame sign 8m gazeti litaandika 18m.
 
Back
Top Bottom