SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,919
Hizo timu za Manchester ni kwa nini haziko vizuri? Kama ni pesa wanaongozaMkuu ligi haina timu 3.
Achana na Timu zingine.
Mkuu nakujibu tena Liverpool inaongoza EPL kwasababu timu tishio kwake kutoka katika jiji la Manchester hazipo vizuri na hilo wao wanalijua na wanautumia udhaifu huo vizuri
Endapo vijana kutoka katika jiji Manchester wangekuwa vzr kusingekuwa na gape kubwa hivyo.
PROUD TO BE MAN CITY'S FAN
MAN CITY FOREVER
Bora wewe umesema ukwel Mkuu wanajiona n wao tu wenye hat miliki na leo spurs kaongeza tundu kwao wapo kimyaaaNilichogungua mleta mada ana chuki binafs na Liverpool ila kaamua kujifichia kwenye kufananisha EPL na ligi nyingine mm shabik Wa man u ila liverpool itatutoa roho mwaka huu na nadhan tusipojpanga hawa jamaa watatawala sana ligi hii
Pesa sio kila kitu kwenye sokaBora wewe umesema ukwel Mkuu wanajiona n wao tu wenye hat miliki na leo spurs kaongeza tundu kwao wapo kimyaaa
Wamesahau kuwa pesa sio kila kitu point 22 wapo nyuma dhid ya Liverpool
Sent using Jamii Forums mobile app
Msimu wengi mtateseka Sana,kisa Liverpool,EPL ni ligi ngumu Sana,Kama ni mfuatiliaji mzuri wa Epl,msimu uliopita bingwa wa Epl na aliyepata nafasi ya pili,walitofautiana point moja tu. Msimu huu yule alihekuwa nafasi ya pili EPL ameongesha ubora wake,mpaka mashabiki wa timu sir Alex wanachukia Sana, poleni manyumbu wa ngome kongwe,MaJoGoo wa jiji wakiwa mabingwa mtatapika nyingi Sana[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Kuna hii ngonjera na propaganda ambayo imetawala vichwa vingi vya mashabiki wa mpira kuwa E.P.L ndiyo ligi ngumu zaidi duniani.
Kila siku huwa tunawapa facts huku kuwa England sio ligi ngumu bali timu zake zinakaribiana viwango watu wanakuwa wabishi hata unapowapa facts.
Bahati nzuri huu mwaka Timu ya Liverpool imekuwa katika kiwango bora na cha juu kushinda timu nyingine zote ndio tunaona sasa ukweli kuwa hii ligi huwa sio ngumu bali timu zinafanana viwango.
Tokea umeanza kushabikia mpira wa miguu ni mwaka gani ambao umeona katika Ligi 3 kubwa za ulaya ( La liga, Bundes liga na E.P.L )timu inayoongoza kwa pointi inaipita timu inayofuata kwa zaidi ya pointi 20 !!! Hata kule Serie A ambapo juve anachukua kwa miaka kama 7 mfululizo hili jambo ni nadra kutokea hata kwenye zile farmers leagues .
Je , hii Liverpool ndiyo timu bora kuwahi kutokea ulaya?
Jibu ni Hapana, Timu bora kuwahi kutokea ulaya katika karne ya 21, kwa maoni ya wengi ni ile Barcelona ya Pep Guardiola (2008-2011) ambayo ilisomba makombe yote unayojua ndani ya msimu mmoja, Hii timu na ubora wake wote haikuwahi kuongoza kwa pointi 20+ ...
Mashabiki wengi wa soka wakawa wanatoa kejeli eti Barcelona ile Pep ingepata tabu England, mi nikawa najiuliza kama Liverpool tuu hii ya kina Henderson, Wijnaldum , Milner inawatesa hivi ingekuja Barca ya ile ya kina Xavi na iniesta si isingefungwa kabisa hata misimu 3, maana katika timu hii ya Liverpool inayotesa sahizi ni wachezaji wawili tuu wangeweza kucheza ile Barcelona na wenyewe ni beki kisiki VVD na kipa wao Allison baasi, wengine kama captain wao Henderson hata benchi asingekaa.
Sasa iweje Liverpool ambayo tunaambiwa iko kwenye ligi ngumu zaidi ulaya iongoze kwa pointi 20+ kitu ambacho hata hakitokeagi kwenye ligi ya ureno ?
Mashabiki wa England sijui mtakuja na utetezi gani !!
Yaani tofauti ya pointi kati ya wa 1 na wa 4 ni pointi 32[emoji23][emoji23][emoji23], Halafu unaambiwa hiyo ndiyo ligi ngumu zaidi Duniani
Liverpool imeiumbua E.P.L....aibuuuuu
View attachment 1344079View attachment 1344081View attachment 1344086
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani Kama timu za jiji la Manchester,hazina kiwango bora ,kwanini timu za London zisiwe na kiwango bora!? Liverpool Wana kiwango bora Sana,usione aibu wape sifa yao wanayostahili.[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]Mkuu ligi haina timu 3.
Achana na Timu zingine.
Mkuu nakujibu tena Liverpool inaongoza EPL kwasababu timu tishio kwake kutoka katika jiji la Manchester hazipo vizuri na hilo wao wanalijua na wanautumia udhaifu huo vizuri
Endapo vijana kutoka katika jiji Manchester wangekuwa vzr kusingekuwa na gape kubwa hivyo.
PROUD TO BE MAN CITY'S FAN
MAN CITY FOREVER
Ni mjinga pekee atakaye bisha hili mkuu Liverpool ya sasa ina kikosi bora na kipana.Kwani Kama timu za jiji la Manchester,hazina kiwango bora ,kwanini timu za London zisiwe na kiwango bora!? Liverpool Wana kiwango bora Sana,usione aibu wape sifa yao wanayostahili.[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wenye kikosi bora ni SpursNi mjinga pekee atakaye bisha hili mkuu Liverpool ya sasa ina kikosi bora na kipana.
MAN CITY FOREVER
Unauza Erikssen unabaki na MchinaKivipi mkuu
MAN CITY FOREVER
barcelona ilifundishwa na Pep katika kipindi hicho unachotaja. Barcelona ilikuwa moto sana na ikabeba makombe yote muhimu uliyotaja kasoro club champs.Kuna hii ngonjera na propaganda ambayo imetawala vichwa vingi vya mashabiki wa mpira kuwa E.P.L ndiyo ligi ngumu zaidi duniani.
Kila siku huwa tunawapa facts huku kuwa England sio ligi ngumu bali timu zake zinakaribiana viwango watu wanakuwa wabishi hata unapowapa facts.
Bahati nzuri huu mwaka Timu ya Liverpool imekuwa katika kiwango bora na cha juu kushinda timu nyingine zote ndio tunaona sasa ukweli kuwa hii ligi huwa sio ngumu bali timu zinafanana viwango.
Tokea umeanza kushabikia mpira wa miguu ni mwaka gani ambao umeona katika Ligi 3 kubwa za ulaya ( La liga, Bundes liga na E.P.L )timu inayoongoza kwa pointi inaipita timu inayofuata kwa zaidi ya pointi 20 !!! Hata kule Serie A ambapo juve anachukua kwa miaka kama 7 mfululizo hili jambo ni nadra kutokea hata kwenye zile farmers leagues .
Je , hii Liverpool ndiyo timu bora kuwahi kutokea ulaya?
Jibu ni Hapana, Timu bora kuwahi kutokea ulaya katika karne ya 21, kwa maoni ya wengi ni ile Barcelona ya Pep Guardiola (2008-2011) ambayo ilisomba makombe yote unayojua ndani ya msimu mmoja, Hii timu na ubora wake wote haikuwahi kuongoza kwa pointi 20+ ...
Mashabiki wengi wa soka wakawa wanatoa kejeli eti Barcelona ile Pep ingepata tabu England, mi nikawa najiuliza kama Liverpool tuu hii ya kina Henderson, Wijnaldum , Milner inawatesa hivi ingekuja Barca ya ile ya kina Xavi na iniesta si isingefungwa kabisa hata misimu 3, maana katika timu hii ya Liverpool inayotesa sahizi ni wachezaji wawili tuu wangeweza kucheza ile Barcelona na wenyewe ni beki kisiki VVD na kipa wao Allison baasi, wengine kama captain wao Henderson hata benchi asingekaa.
Sasa iweje Liverpool ambayo tunaambiwa iko kwenye ligi ngumu zaidi ulaya iongoze kwa pointi 20+ kitu ambacho hata hakitokeagi kwenye ligi ya ureno ?
Mashabiki wa England sijui mtakuja na utetezi gani !!
Yaani tofauti ya pointi kati ya wa 1 na wa 4 ni pointi 32[emoji23][emoji23][emoji23], Halafu unaambiwa hiyo ndiyo ligi ngumu zaidi Duniani
Liverpool imeiumbua E.P.L....aibuuuuu
View attachment 1344079View attachment 1344081View attachment 1344086
Sent using Jamii Forums mobile app
Analysis yako at least hold some water.Kabla ya yote, tuweke indicators za ligi bora halafu tuanze kutick.
Mfano: Ligi bora ni lazima timu zikaribiane kwa points, au ligi bora inatakiwa ichukue timu tofauti tofauti ubingwa, au ligi bora ni lazima timu zake zichukue UEFA nk.
Personally kwa sasa naipa EPL kwa kigezo cha UEFA, mwaka 2018 timu ya EPL iliingia fainali UEFA, 2019 timu 4 za EPL ziliingia fainali ya UEFA na Europa.
Nikiangalia mwaka huu pia, naona kabisa kuna nafasi ya City au Liverpool kuingia fainali tena UEFA. Huku Europa Man Utd na Arsenal wakiwakilisha vyema. Na kuna miaka 5 naiona kwa mbele ambapo EPL atasumbua UEFA.
Previously, La Liga alikuwa anaingiza timu kibao Top8 UEFA, tena kuna muda unakuta semi ina Barca, RMD na Atl Madrid; ile ilikuwa ni La Liga time.
Kuna kipindi tuliwahi kuwa na Seria A: huku Juve, huku AC Milan, huku Inter, As Roma na Lazio kwa mbali nk.
Kwangu mimi nimetumia performance ya teams husika UEFA.
kumbuka tofauti ya points za City vs Liver last season (98 dhidi ya 97 na kumbuka liver kuna wkt alimzidi city points 10.Hoja yako ni ipi?
Kwahiyo kipindi Manchester city anachukua ubingwa Liverpool alikuwa yupo vizuri ?
Sent using Jamii Forums mobile app
ligi boraDefending Champions
UEFA- EPL
EUROPE - EPL
SUPERCUP - EPL
CWC - EPL
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo la kuanza kushabikia mpira ukubwani.Mkuu ligi haina timu 3.
Achana na Timu zingine.
Mkuu nakujibu tena Liverpool inaongoza EPL kwasababu timu tishio kwake kutoka katika jiji la Manchester hazipo vizuri na hilo wao wanalijua na wanautumia udhaifu huo vizuri
Endapo vijana kutoka katika jiji Manchester wangekuwa vzr kusingekuwa na gape kubwa hivyo.
PROUD TO BE MAN CITY'S FAN
MAN CITY FOREVER