Liverpool imethibitisha kuwa La Liga ni baba lao

Hajielewi huyo ana kariri tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu unanichekesha

Yaani anayeongoza ligi amewazidi wenzake pointi 25 halafu unadiriki kabisa bila kuwa na aibu kusema hiyo ligi ni ngumu?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa iseme kwa Viceversa Real Madrid imefungwa Nyumbani kwake na Timu iliyozidiwa kwa Points 20 na anayeoongoza Ligi.

Hapo imekaaje?

Narudia tena Nyinyi ni Watu munaoibuka kwa Matukio tu.

Upepo ukibadilika huji kuanzisha Uzi hapa.
Kwani hujui kuwa Manchester city ndiye bingwa mtetezi wa England na ambaye amechukua domestic treble !!

Au unahisi bingwa mtetezi wa England ni nani?

Huyo Real Madrid hana kikombe cha kuku pale La liga....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umelinganisha kijinga kweli, kufungwa hakufuati nafas!
Watford waliifunga Liverpool kwenye msimamo ni wangapi? Yanga amefungwa na KMC!
Utakuwa wewe siyo mtu wa mpira, elendelea kushabikia bongo flavor tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akili za mleta mada timu ikiongoza ligi kwa tofauti ya point 20 basi hiyo ligi ni dhaifu. Kawaulize Barcelona kipindi wanabanjuliwa kwa Agg ya bao 7 na Bayern Munich walikuwa wanaongoza kwa point ngapi.
 
Akili za mleta mada timu ikiongoza ligi kwa tofauti ya point 20 basi hiyo ligi ni dhaifu. Kawaulize Barcelona kipindi wanabanjuliwa kwa Agg ya bao 7 na Bayern Munich walikuwa wanaongoza kwa point ngapi.
cheki hili chizi lingine...

Barcelona hakuchukua ubingwa wa ligi huo msimu anafungwa kwa aggregate ya goli 7..

msijifanye mnafuatilia mpira wakati hamjui kitu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…