Liverpool itaadhibiwa vibaya na club cha flamingo ya Brazil

Liverpool itaadhibiwa vibaya na club cha flamingo ya Brazil

Kloop hajui kucheza na timu zinazocheza samba

Klop huwezi kuchukua hili kombe
Gengenpress yake hufanya kazi kwa timu zinazocheza soka za kujilinda

Flamingo itamtafuna jogoo wa uingereza kwa goli tatu katika mchezo wa club bingwa wa dunia

Kuweka kumbukuku sawa Liverpool hajawahi kuchukua hili kombe hata Mara moja

Sent using Jamii Forums mobile app
Nipee mrejesho mzee! Nani kachukua kombe?
 
Now you talk
IMG-20191222-WA0002.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Dah[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hili Jamaa limebeti Kijinga lishabakwa na Muhindi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pale Kuna liverpool zaidi ya 4, kuna liverpopol academy, kuna liverpool kids, kuna under 23, kuna liverpool women's na kuna Liverpool fc mabingwa wa ulaya na wanaongoza EPL mkapa saa baada ya mechi 17

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu kijana atakuwa anaizungumzia ile ambayo ilimpiga barca wakiwa na messi wao goli 4

mtoa mada nadhani ni shabiki wa man city
 
Back
Top Bottom