Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Swahiba kwa sasa hawa wanapaswa kuitabiri mvua tu. [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Swahiba kwa sasa hawa wanapaswa kuitabiri mvua tu. [emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani huko hata akiwa mtabiri feki ataaminika tu. [emoji3][emoji3]
Hongereni Swahiba japo niseme extra time ndio iliyowaokoa mana wale jamaa sio. [emoji2088][emoji2088][emoji2088]
Hata ningekuwa mie nisingerudi mana baada ya kupata matokeo wazee wa Liver mmekuja kama nyuki.
Wakati mwanzoni hata hamkuwepo kumpinga kwa hoja ya kwamba nini kitazuia msiadhibiwe na flamingo. [emoji41]
Eti eee.
😂😂😂😂 haya bana Mtani. Nawaona mnavyo jimwambafayi.
Huyo Flamingo wake kapandwa na jogoo
Tulikwambia, tulia sisi ndio wataalamuKloop hajui kucheza na timu zinazocheza samba
Klop huwezi kuchukua hili kombe
Gengenpress yake hufanya kazi kwa timu zinazocheza soka za kujilinda
Flamingo itamtafuna jogoo wa uingereza kwa goli tatu katika mchezo wa club bingwa wa dunia
Kuweka kumbukuku sawa Liverpool hajawahi kuchukua hili kombe hata Mara moja
Sent using Jamii Forums mobile app
Swahiba nakupa nafasi ya kuhamia Liverpool japo kwa mkopo,maana si kwa ukibonde wenu huu!hadi watford wanawabonda!🤣Yaani huko hata akiwa mtabiri feki ataaminika tu. 😀😀
Hongereni Swahiba japo niseme extra time ndio iliyowaokoa mana wale jamaa sio. 🏃♀️🏃♀️🏃♀️
nakuona wanguSwahiba kwa sasa hawa wanapaswa kuitabiri mvua tu. 😂😂😂
CurrentlyKwamba hatujawahi kuwa kwenye hali waliyonayo sasa hivi!
Aiseee!! Swahiba pagumu hapoSwahiba nakupa nafasi ya kuhamia Liverpool japo kwa mkopo,maana si kwa ukibonde wenu huu!hadi watford wanawabonda!🤣
Nipo Ndugu umeadimika sana kule kwenye uzi wetu.nakuona wangu
usisahau lakin tarehe 4 tukutane humu jamvini kuna nyama italiwa kimya kimya siku hiyo
usimuambie mtu hiyo iwe siri yako🙂🙂
nadhani utabiri wako ni mzuriKloop hajui kucheza na timu zinazocheza samba
Klop huwezi kuchukua hili kombe
Gengenpress yake hufanya kazi kwa timu zinazocheza soka za kujilinda
Flamingo itamtafuna jogoo wa uingereza kwa goli tatu katika mchezo wa club bingwa wa dunia
Kuweka kumbukuku sawa Liverpool hajawahi kuchukua hili kombe hata Mara moja
Sent using Jamii Forums mobile app
Eti,Klopp hajui kucheza na timu zinazocheza samba anayejua ni nani sasa Bibi yako.Kloop hajui kucheza na timu zinazocheza samba
Klop huwezi kuchukua hili kombe
Gengenpress yake hufanya kazi kwa timu zinazocheza soka za kujilinda
Flamingo itamtafuna jogoo wa uingereza kwa goli tatu katika mchezo wa club bingwa wa dunia
Kuweka kumbukuku sawa Liverpool hajawahi kuchukua hili kombe hata Mara moja
Sent using Jamii Forums mobile app
Eti,Klopp hajui kucheza na timu zinazocheza samba anayejua ni nani sasa Bibi yako.