Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 11,478
- 3,659
Kazi Kweli Kweli;
havi hakuna wasomi makini nchi hii wanaoweza wakafungua chrages bila kukosewa? Imekuwa kama mchezo wa kuigiza sasa.
I wish ningekuwa na uwezo sheria zote za kipuuzi zibadilishwe na badala yake kuweka sheria makini zinazotekelezeka hasa kwa wahujumu nchi.
FDR. jr, toka lini Liyumba ni Mseminari? Angalia Masheikh na Makasisi/wachungaji wasije wakakukomalia. Kumbuka dada zetu nao bado hawajaamua kufungua mashitaka yao!
nyambaf! Hao wadada (maCD) wafungue mashtaka kwani walibakwa?
Hii kesi ya Liyumba iliharakishwa labda kwa sababu ya kisiasa.
PCCB wangetakiwa kuwa na charge sheet iliyofanyiwa research na investigation ya uhakika. Wanachofanya ni kubahatisha bahatisha. Hii inakuwa kwa sababu wao kama PCCB hawana uzoefu wa kutosha (ingawa wanayo resources). Wakikutana na wanasheria wazoefu , wana chanwa chanwa.
Labda wangechukua/azima uzoefu kutoka kwa watu waliyobobea km SFO, FBI.
Waachane na mambo ya kukaa/kuchunguza mapato ya mechi za mpira / TFF.
Swali moja nauliza ni kuwa kama sikosei BOT imeteua kampuni moja kutoka nje kuchunguza cost ya twin towers ni sahihi na kama kuna udanganifu umefanika, Je hiyo kampuni ikisema costs ni sahihi na hakuna udanganifu , PCCB watakuwa tayari kumsafisha Liyumba?
tuache kuhukumu kwenye mambo tusiayoyajua na kumsifia kikwete bila sababu.Walifanya makusudi, KUKOSEA hati ya mashtaka, ili baadaye aachiwe huru on the technicality ili asepe nchi. Kwani hatujui? Lakini kumbe PCCB walishashtukia dili. Jamaa angekuwa huru tu on bail, walishamkatia tiketi ya ndege. Tusingemuona tena! Haya, wanaosema JK hajui afanyalo waseme tena!
tuache kuhukumu kwenye mambo tusiayoyajua na kumsifia kikwete bila sababu.
kama hati yab mashtaka imekosewa walipaswa kuachiwa huru kama mahakama ilivyoamua. huku kuwavizia ndo yale ya idd amin jaji anatoa hukumu badala yake yeye anakamatwa na kusewkwa ndani.
ukiangalia mtiririko wa hizi kesi ni uonevu mtupu, kama unajua abc za ujezni kwenye miradi mikubwa wafuatao walipaswa ndo wakamatwe
consultant webb uronu ambaye ndiye aliyekadiria gharama za ujenzi. na ndiye anaidhinisha contractor alipwe kupitia certificates of paynment. kweka na liumba hawana uwezo wowote wa kuidhinisha contractor alipwe bila idhini ya quantity surveyor
kuna kampuni inaitwa mekon architect imeteuliwa kufanya tathmini mpya kuhusu gharama zazilizotumika kujenga yale majengo, ndo kwanza wameanza kazi kwa nini wasingesubiri ripoti yao kabla ya kuanza kurundika watu ndani?
Any person who intentionally transmits HIV to another person commits an offence, and on conviction shall be liable to imprisonment to a term of not less than five years and not exceeding ten years.( HIV and AIDS (prevention and control) 2008 (47)....tehetehe
Tupeni yaliyojiri, wako central au Keko?? Wameshaleta mahakamani kusomewa mashtaka mapya??? Michezo ya pwagu na pwaguzi.