Lizer afunguka ya moyoni: Diamond alikuwa analipia nyimbo za Wasafi kupigwa Clouds

Lizer afunguka ya moyoni: Diamond alikuwa analipia nyimbo za Wasafi kupigwa Clouds

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,344
Reaction score
9,066
Producer namba moja wa muziki East Africa wakuitwa Lizer Classic ametoa za ndaaaaani kabisa namna Clouds na Wasafi walivyofanya biashara ya muziki.

Alitoa comment hiyo akimjibu shabiki kaukau wa mtandaoni.

IMG-20220722-WA0005.jpg
 
Producer namba moja wa muziki East Africa wakuitwa Lizer Classic ametoa za ndaaaaani kabisa namna Clouds na Wasafi walivyofanya biashara ya muziki.

Alitoa comment hiyo akimjibu shabiki kaukau wa mtandaoni.

View attachment 2299861
Inawezekana ikawa kweli manake Kiba ngoma yake ya Mvumo wa Radi ilipo pigiwa promo kuanzia saa kumi na mbili asubuhi mpaka saa sita usiku vipindi vyote, watu walipo anza kuuliza nakumbuka walijibiwa kwamba amelipia.

Yote kwa yote Clouds ni chombo binafsi so kina maamuzi na taratibu zake binafsi mwisho wa siku ni biashara yao na wana maamuzi yao.
 
Inawezekana ikawa kweli manake Kiba ngoma yake ya Mvumo wa Radi ilipo pigiwa promo kuanzia saa kumi na mbili asubuhi mpaka saa sita usiku vipindi vyote, watu walipo anza kuuliza nakumbuka walijibiwa kwamba amelipia.

Yote kwa yote Clouds ni chombo binafsi so kina maamuzi na taratibu zake binafsi mwisho wa siku ni biashara yao.
Upo sahihi.
 
Inawezekana ikawa kweli manake Kiba ngoma yake ya Mvumo wa Radi ilipo pigiwa promo kuanzia saa kumi na mbili asubuhi mpaka saa sita usiku vipindi vyote, watu walipo anza kuuliza nakumbuka walijibiwa kwamba amelipia.

Yote kwa yote Clouds ni chombo binafsi so kina maamuzi na taratibu zake binafsi mwisho wa siku ni biashara yao na wana maamuzi yao.
Huyo Alikiba amefika fika vipi hapa?

Sometime uwe unatulia sio kujifanya mjuaji.
 
Ukienda kwenye mapub ya kisasa utakuta promotion ya bia fulani kunakuwa na band ya kijanja punguzo la bei ya bia yani inshort kampuni ys bia ndio inaspend zaidi kuliko mauzo hiyo ndio maana ya promotion, inakuja kukulipa baadaye.
 
Huyo Alikiba amefika fika vipi hapa?

Sometime uwe unatulia sio kujifanya mjuaji.
Reference kwa nilicho kisikia na mada husika yahapa, bahati nzuri humiliki server za JF so we vumilia ukiona comments zangu, mimi nitaendelea kuandika kile nikitakacho.

Ni shobo zako tu zinazo kufanya usome comments zangu kwani sijakkutag,kama zina kukera ziache husizisome.
 
Reference kwa nilicho kisikia na mada husika yahapa, bahati nzuri humiliki server za JF so we vumilia ukiona comments zangu, mimi nitaendelea kuandika kile nikitakacho.

Ni shobo zako tu zinazo kufanya usome comments zangu kwani sijakkutag,kama zina kukera ziache husizisome.
Hii ni jf sio yako lazima upewe ukweli wewe nani kwani ushobokewe umekuwa demu?

Anzisha jf yako kama unataka usiambiwe ,
Kwanza hakuna mambo ya kulipia ngoma zipigwe ujinga mtupu wanatoa promo kutokana na faida ambayo kupitia kwa msanii husika wapatata hapo ndio clouds wanakuwa mabingwa wa promotion ya nyimbo huku wakichomeka matangazo yao na vitu kama concert zao kama ile chips zege sijui.

Kwahiyo kina kusah na saraphina wanalipia sio?

Kiazi wewe.
 
Hii ni jf sio yako lazima upewe ukweli wewe nani kwani ushobokewe umekuwa demu?

Anzisha jf yako kama unataka usiambiwe ,
Kwanza hakuna mambo ya kulipia ngoma zipigwe ujinga mtupu wanatoa promo kutokana na faida ambayo kupitia kwa msanii husika

Kwahiyo kina kusah na saraphina wanalipia sio?

Kiazi wewe.
We vip unipe ukweli wewe unanijua, hii JF kila mtu yupo free kuzungumza anacho jisikia as long hunichangii bando na si vunji sheria za JF,kama umekasirika tengeneza platforms yako na uweke rules zako ila sio humu.

Hiyo kitu waliiongea akina Adam Mchomvu kwenye XXL ,so brother wewe unatakiwa kuchagua kusoma comments au ziache so ukizisoma unakuwa kama MALAYA asiye na msimamo,sijakutag usome comments zangu bali ni NYEGE zako mwenyewe zinakufanya usome comments za wanaume.
 
Hii ni jf sio yako lazima upewe ukweli wewe nani kwani ushobokewe umekuwa demu?

Anzisha jf yako kama unataka usiambiwe ,
Kwanza hakuna mambo ya kulipia ngoma zipigwe ujinga mtupu wanatoa promo kutokana na faida ambayo kupitia kwa msanii husika wapatata hapo ndio clouds wanakuwa mabingwa wa promotion ya nyimbo huku wakichomeka matangazo yao na vitu kama concert zao kama ile chips zege sijui.

Kwahiyo kina kusah na saraphina wanalipia sio?

Kiazi wewe.
Wewe bwenga inamaana haujui kuwa promotion zinalipiwa?

Ni Wasafi media pekee ndio kuna restrictions ukikamatwa umechukua hela ya msanii hauna kazi. Ila radio nyingi ni imekuwa kama official.
 
We vip unipe ukweli wewe unanijua, hii JF kila mtu yupo free kuzungumza anacho jisikia as long huchamchangii bando na si vunji sheria za JF,kama umekasirika tengeneza platforms yake na uweke rules zako ila sio humu.

Hiyo kitu waliiongea akina Adam Mchomvu kwenye XXL ,so brother wewe unatakiwa kuchagua kusoma comments au ziache so ukizisoma unakuwa kama MALAYA asiye na msimamo,sijakutag usome comments zangu bali ni NYEGE zako mwenye zinakufanya usome comments za wanaume.
Hujajibu maswali niliyokuuliza zaidi umepaniki 😂😂

Kusah na saraphina wamelipia bei gani? Au adam mchomvu hakusema hilo?😂😂😂
 
Wewe bwenga inamaana haujui kuwa promotion zinalipiwa?

Ni Wasafi media pekee ndio kuna restrictions ukikamatwa umechukua hela ya msanii hauna kazi. Ila radio nyingi ni imekuwa kama official.
Swali langu ni lile lile
Saraphina promo yote aliyopewa amelipa bei gani?
 
Hujajibu maswali niliyokuuliza zaidi umepaniki 😂😂

Kusah na saraphina wamelipia bei gani? Au adam mchomvu hakusema hilo?😂😂😂
Sasa nani kapanic yaani mimi nipanic kwa kiazi kama wewe,tena anauziwa na kuongea kile ninacho kiamini mimi.
 
Swali langu ni lile lile
Saraphina promo yote aliyopewa amelipa bei gani?
Saraphina ni msanii wao ana affiliation na Clouds. Ni kama Harmonize business partner wake ni Majizo ndio maana ngoma zake zinalia sana pande zile ni vile radio na msanii wote wamefubaa.
 
Saraphina ni msanii wao ana affiliation na Clouds. Ni kama Harmonize business partner wake ni Majizo ndio maana ngoma zake zinalia sana pande zile ni vile radio na msanii wote wamefubaa.
Eeeeh
Umekuja mwenyewe sasa kilichofanya ubishe nini nilichosema kwa huyo bwege hapo juu?

Sio kila msanii analipia tena ni mara chache wao wanaangalia faida kubwa na ya baadaye sio kulipia kiwimbo kimoja hela watafanyia nini hiyo?
 
Sasa nani kapanic yaani mimi nipanic kwa kiazi kama wewe,tena anauziwa na kuongea kile ninacho kiamini mimi.
Povu wenye akili muda huu hawapo hapa tupo vilaza tu jumlisha na wewe kiongozi wetu 😂😂
 
Povu wenye akili muda huu hawapo hapa tupo vilaza tu jumlisha na wewe kiongozi wetu 😂😂
Ona unavyo prove kwamba ww ni boya,yaani comments ni andike mimi halafu comments zangu zikiuzi wewe then kupanic ni panic mimi.
 
Dah huyo saraphina katoa bongo moja la wimbooo hatareeeee noumaaaaaa sanaaaaaaaaaaaaaa yaaaaani ukiwa una gegedea mzuka una panda mzukaaaaa unaongezekaaaaaaa hauishiwi utamuuuuu
 
Dah huyo saraphina katoa bongo moja la wimbooo hatareeeee noumaaaaaa sanaaaaaaaaaaaaaa yaaaaani ukiwa una gegedea mzuka una panda mzukaaaaa unaongezekaaaaaaa hauishiwi utamuuuuu
Inaitwaje hiyo ngoma ?
 
Back
Top Bottom