sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
Producer namba moja wa muziki East Africa wakuitwa Lizer Classic ametoa za ndaaaaani kabisa namna Clouds na Wasafi walivyofanya biashara ya muziki.
Alitoa comment hiyo akimjibu shabiki kaukau wa mtandaoni.
Alitoa comment hiyo akimjibu shabiki kaukau wa mtandaoni.