Lizer afunguka ya moyoni: Diamond alikuwa analipia nyimbo za Wasafi kupigwa Clouds

Lizer afunguka ya moyoni: Diamond alikuwa analipia nyimbo za Wasafi kupigwa Clouds

Kwa haraka haraka hapa mbona na wewe umenishobokea?

Haya wewe unayejua wanalipa au hawalipi? Kama hawalipi wewe umejuaje? Wanalipa umejuaje?

Acha undezi yeyote yule ataambiwa ukweli hapa yeye ni nani asiambiwe? Hata wewe nakuchana tu kwani wewe nani?
Angalia nani aliyeanzisha kumkejeli mwenzie sio unapaparika kama maji ya maharage wewe vipi bwana..

Acha kunishonokea na kudandia treni kwa mbele
Mwanaume una vimaneno vya kibarazani sasa kunishonokea ndo maana ake nini??😁😁😁
 
Inawezekana ikawa kweli manake Kiba ngoma yake ya Mvumo wa Radi ilipo pigiwa promo kuanzia saa kumi na mbili asubuhi mpaka saa sita usiku vipindi vyote, watu walipo anza kuuliza nakumbuka walijibiwa kwamba amelipia.

Yote kwa yote Clouds ni chombo binafsi so kina maamuzi na taratibu zake binafsi mwisho wa siku ni biashara yao na wana maamuzi yao.
Wee jamaa hii comment ina akili kubwa 💯
 
Back
Top Bottom