Lexus SUV
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 4,493
- 5,591
Saraphina upo nyonyoInaitwaje hiyo ngoma ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Saraphina upo nyonyoInaitwaje hiyo ngoma ?
Saraphina ni msanii wao ana affiliation na Clouds. Ni kama Harmonize business partner wake ni Majizo ndio maana ngoma zake zinalia sana pande zile ni vile radio na msanii wote wamefubaa.
Producer namba moja wa muziki East Africa wakuitwa Lizer Classic ametoa za ndaaaaani kabisa namna Clouds na Wasafi walivyofanya biashara ya muziki.
Alitoa comment hiyo akimjibu shabiki kaukau wa mtandaoni.
View attachment 2299861
Watasema kila kituProducer namba moja wa muziki East Africa wakuitwa Lizer Classic ametoa za ndaaaaani kabisa namna Clouds na Wasafi walivyofanya biashara ya muziki.
Alitoa comment hiyo akimjibu shabiki kaukau wa mtandaoni.
View attachment 2299861
"Mvumo wa Radi" pamoja na promo lote lile ikaishia kuwa "mvumo wa mbu" pale anaposogelea sikioni.Inawezekana ikawa kweli manake Kiba ngoma yake ya Mvumo wa Radi ilipo pigiwa promo kuanzia saa kumi na mbili asubuhi mpaka saa sita usiku vipindi vyote, watu walipo anza kuuliza nakumbuka walijibiwa kwamba amelipia.
Yote kwa yote Clouds ni chombo binafsi so kina maamuzi na taratibu zake binafsi mwisho wa siku ni biashara yao na wana maamuzi yao
Kwa hiyo ikitokea wanapiga ngoma za Diamond na chama lake la Wasafi, nao wanalipia!?Inawezekana ikawa kweli manake Kiba ngoma yake ya Mvumo wa Radi ilipo pigiwa promo kuanzia saa kumi na mbili asubuhi mpaka saa sita usiku vipindi vyote, watu walipo anza kuuliza nakumbuka walijibiwa kwamba amelipia.
Yote kwa yote Clouds ni chombo binafsi so kina maamuzi na taratibu zake binafsi mwisho wa siku ni biashara yao na wana maamuzi yao.
🤣🤣🤣🤣 Ila wabongo mnamajungu"Mvumo wa Radi" pamoja na promo lote lile ikaishia kuwa "mvumo wa mbu" pale anaposogelea sikioni.
Mbona unamsemea mtu ambaye humfahamu wala haitaji msemaji wa maisha yakeWewe lizer haki zako za midundo unayotengeneza umezurumiwa Halaf unapanua domo
Boss mbona wewe ndo umeshoboka??Hii ni jf sio yako lazima upewe ukweli wewe nani kwani ushobokewe umekuwa demu?
Anzisha jf yako kama unataka usiambiwe ,
Kwanza hakuna mambo ya kulipia ngoma zipigwe ujinga mtupu wanatoa promo kutokana na faida ambayo kupitia kwa msanii husika wapatata hapo ndio clouds wanakuwa mabingwa wa promotion ya nyimbo huku wakichomeka matangazo yao na vitu kama concert zao kama ile chips zege sijui.
Kwahiyo kina kusah na saraphina wanalipia sio?
Kiazi wewe.
Mwamba ana hasira sijui kitu gani kinamuumizaBoss mbona wewe ndo umeshoboka??
Kwani huo ukweli wako alikuomba??
Umekazania hakuna kulipia kwani
wewe ni msanii ??
Kama sio umejuaje kwamba hakuna kulipia
Afu usipende kutukana watu bila sababu za msingi nenda hoja kwa hoja maswala ya matusi sijui viazi hayana mantiki kwe mtu mwenye akili timamu
Kwa haraka haraka hapa mbona na wewe umenishobokea?Boss mbona wewe ndo umeshoboka??
Kwani huo ukweli wako alikuomba??
Umekazania hakuna kulipia kwani
wewe ni msanii ??
Kama sio umejuaje kwamba hakuna kulipia
Afu usipende kutukana watu bila sababu za msingi nenda hoja kwa hoja maswala ya matusi sijui viazi hayana mantiki kwe mtu mwenye akili timamu
Muongo huyo hana lolote story za vijiweni ndo anatuletea hapa.Kwa hiyo ikitokea wanapiga ngoma za Diamond na chama lake la Wasafi, nao wanalipia!?
Bila Shaka atakuwa bwana wako mpendwa wangu.......maana Kwa utumikavo utaki hata atajweHuyo Alikiba amefika fika vipi hapa?
Sometime uwe unatulia sio kujifanya mjuaji.
Amejaa chuki za kishamba.Harmonize kafubaa? Dah kuna watu huwa akitajwa Diamond,mnaanza kuwahukumu washindani wengine, Harmonize kwa maana ya numbers anafanya vizuri hajafubaa. Angalia releases, shows na mwitikio. Hauwezi weka top 5 ya wasanii wanaofanya vizuri mwaka jana na mwaka huu Tanzania jamaa asiwepo.
Kwahiyo Diamondi kukulawiti ndio unadhani wanaume wote wanalawitiwa kama wewe?Bila Shaka atakuwa bwana wako mpendwa wangu.......maana Kwa utumikavo utaki hata atajwe
Unasema sema diamond.......katajwa wapi?? Au Linda huna uko nyumako?? Haafu mitoto ya guest utaijua Tu ......yaani Bora MTU angepiga puli kuliko kukojolea ndani ukatoka wewe mtoto WA barmaid ........wewe na huyo bwana wako Ali kiba mnawashwa matakoniUmejionyesha wazi kabisa kuwa wewe mchele kabisa sasa unataka na wenzio tukufate huko?
Nooo hapana wewe kanyagwa tu.
Mimi nimemaliza wewe endelea na michezo yako..!Unasema sema diamond.......katajwa wapi?? Au Linda huna uko nyumako?? Haafu mitoto ya guest utaijua Tu ......yaani Bora MTU angepiga puli kuliko kukojolea ndani ukatoka wewe mtoto WA barmaid ........wewe na huyo bwana wako Ali kiba mnawashwa matakoni
Ya kawaida sanaSaraphina upo nyonyo