LNG plant in Lindi

LNG plant in Lindi

SSH ni mpiga porojo, hana utaalamu wowote zaidi ya social works, kazi aliyofanya kwa muda mrefu ukiondoa siasa ni mwanaharakati wa NGO, uwezo wake wa kufikiria ni very questionable, maamuzi yake yapo ili ku please watu na makundi na sio kutatua tatizo kwa muda mrefu.
Jiwe mtaalam wa kila kitu alifanya nn cha maana zaidi ya kuwa jizi na kutuletea hasara nchini?
 
Walau Magufuli was not complacent on technical matters, asipopaelewa hashinikizi sana analaumu hao watu wanamkera lakini hatoi force.

Mfano Magufuli katika taasisi ambazo zilikuwa zinamkera ni NEMC lakini hakuna hata siku moja alilazimisha waache kufuata process zao if anything alitaka ziwe za haraka tu.

Magufuli akiongelea technical issues za miradi pamoja na kuongezea chumvi zake ukija kusikiliza maelezo ya mtaalamu unaona kabisa pamoja na hayati ku twist mambo kadhaa kwa kile anachoamini (either ana support project au against) kwenye maelezo ya wataalamu unaona he was detailed briefed on the basis of the empasse sema tu amechagua upande. As a politician kwenye kuelezea umma anakuwa biased based on what he believes to be the right course of action.

Sasa mtu anatoka tu na kuwapa watu pressure bila ya ata kusema jambo fulani specific malizeni wakati negotiations ni tactic that’s just complacency at best.
Wewe jamaa nimekusoma mara nyingi sana humu.? Kwanza huna chochote unachokijua. Pili umeweka chuki zako tu na Mama Samia kwa sababu kwa sababu humpendi na hukuwai kumpenda.

Magufuli kama hakuwai kuwa complacent on technical issues why mwendokasi ilijenwa jangwani wakati panajulikana hapafai kuwa na ujenzi wowote na yeye ndo alikuwa waziri wa ujenzi?? Why alilazimisha sera zilizokuwa zinaua biashara Kama sera ya kuingilia soko la korosho??

Embu nikwambie, kama imechukua miaka chini ya 3 kujadili issue ya makinikia kwa nini ichukue miaka zaidi ya 6 kujadili suala la gesi??? Kuna nini kwenye gesis hadi tuchelewe?? Jambo lipi la msingi linalochelewesha??? Kama Sheria Bora tunazo alizotungaa Kikwete sasa tunakwama wapi???
Wewe lazima utakuwa pandikizi la nchi jirani ambae hamtaki Tanzania tuwe na miradi ya kimkakati ya ukweli ambayo ndo italikomboa Kweli Taifa letu kiuchumi badala yake mnataka tujenge tu mireli ambayo hata hatuna uhakika kama itaendeshwa kwa faida kwa sababu reli zilizopo hazina faida zozote za msingi.

Acheni watanzania kweli tuamue hatma ya maendeleo ya Tanzania yetu na nyie wa Burundi rudini kwenu mkapigane vita na roho zenu mbaya huko
 
Hakuna negotiation rahsi. Mi Naona walikiwa kwenye right track. Yakitichachia siyo kwamba yanazaliwa Kwa Jirani then atupihe nao .Maza atulize JPM kaacha negotion team matata ambayo hatujawahi kuwa nayo kama haitabadirika
Magufuli hakuwa na muda na miradi ya desi. Full stop. Yeye aliona ni kuwafaidisha Lindi na Mtwara ambao kwake hawakuwa wa maana sana na ndo mana aliwaharibia soko la Korosho na kutishia kuwapiga shangazi zao.

Hakuna lolote la kufanya timu zetu kushindwa ku conclude mazungumzo ya gesi kwa LINDI na Mtwara kwa sababu kwa sasa focus ya dunia yote ni kwa Tanzania Kwa sababu hali ya msumbiji ni mbaya kiusalama na kwetu sie Tanzania tuko vizuri.

Kinachotakiwa ni timu zetu za majadiliano kuhakikisha tu kuwa Tanzania tunafaidika vilivyo kwenye hiyo mikataba na maslahi mapana ya kiuchumi kwa Taifa letu yanazingatiwa.
 
hakuna dharura, bali amesema mazungumzo yaendelee, kumbuka mama samia alikuwa makamu wa rais anajua kinachoendelea, na kwa nini mazungumzo yalikwana,0 na nani alikwamisha.
Chuki zao kwa mama zinawafanya wamzushie mambo kwa sababu tu Mama hataki uzandiki na ufedhuli wao. Mkataba gani unanegotiate kwa miaka 6??? Hata mwenye fedha anaweza kukuona kuwa hauna haraka ya maendeleo.

Sasa msumbiji makampuni ya gesi yamekimbia, badala Tanzania tukamate fursa yenyewe kwa miroho yao ya uzandiki wanakuja hapa kudai eti tucheleweshe mazungumzo.

Hawana akili kabisa hawa watu na wengi ni ma pandikizi ya nchi jirani ambao hawataki Tanzania tupate miradi ya maendeleo ya kweli itakayotutoa Kweli kiuchumi!
 
Hana vision, she’s narrow minded & easily manipulated, unaweza mteka hata kwa kumsifia tu few tweets na akaona unampenda kumbe anang’ong’wa tu:
Zile negotiation za Makinikia Trillion 200 tulilipwa??
 
Kwanza negotiation zinatakiwa ndani ya mwaka ziwe zimeisha. Majadiliano gani ya miaka 6! Ndani ya miaka sita teknolojia, masuala ya fedha na mahitaji ya binadamu yanakuwa yamebadilika sana. Yale mambo mliyojadili mwaka wa kwanza yanakuwa hayawezekaniki tena. Mbaya zaidi mradi ni wa pesa nyingi san, 30usd si mchezo. Hata gharama zikibafilika kwa 5percent zinakuwa ni pesa nyingi sana na zinaweza kwamisha mradi.

Kama kampuni imekuja kustall mambo itafutwe nyingine. Tena ni bora kufanya negotiation hata na kampuni tatu kwa wakati mmoja.
 
Wewe jamaa nimekusoma mara nyingi sana humu.? Kwanza huna chochote unachokijua. Pili umeweka chuki zako tu na Mama Samia kwa sababu kwa sababu humpendi na hukuwai kumpenda.

Magufuli kama hakuwai kuwa complacent on technical issues why mwendokasi ilijenwa jangwani wakati panajulikana hapafai kuwa na ujenzi wowote na yeye ndo alikuwa waziri wa ujenzi?? Why alilazimisha sera zilizokuwa zinaua biashara Kama sera ya kuingilia soko la korosho??

Embu nikwambie, kama imechukua miaka chini ya 3 kujadili issue ya makinikia kwa nini ichukue miaka zaidi ya 6 kujadili suala la gesi??? Kuna nini kwenye gesis hadi tuchelewe?? Jambo lipi la msingi linalochelewesha??? Kama Sheria Bora tunazo alizotungaa Kikwete sasa tunakwama wapi???
Wewe lazima utakuwa pandikizi la nchi jirani ambae hamtaki Tanzania tuwe na miradi ya kimkakati ya ukweli ambayo ndo italikomboa Kweli Taifa letu kiuchumi badala yake mnataka tujenge tu mireli ambayo hata hatuna uhakika kama itaendeshwa kwa faida kwa sababu reli zilizopo hazina faida zozote za msingi.

Acheni watanzania kweli tuamue hatma ya maendeleo ya Tanzania yetu na nyie wa Burundi rudini kwenu mkapigane vita na roho zenu mbaya huko
Kwa wanao elewa how actually things wanaona natokea wapi, so sioni tatizo wewe kuona kama vile ni hate, people differ in their level of perception.

Kama una fuatilia michango yangu ata Magufuli nilikuwa napishana nae mara kwa mara tu.


Jipe elimu kwanza walau basics za Oil and Gas negotiations, kabla ya kuchanganya apples and pears kwenye mjadala.

3835789D-9BA4-4AF5-98A8-19AA57D60F30.jpeg


Sisi wengine tulisha cover degree nzima ya kuendesha TPDC tena on commercial side (management), hata huyo Mataragio mwenyewe elimu yake ni geology ambayo inamanufaa zaidi upande wa kudadavua data kuliko kwenye mikakati ya kibiashara, you can analyse anapwaya pwaya be it the best tulionae kwa sasa.

AB62EAE6-9632-49F8-88F6-03EEE45E6579.jpeg


Lazima utambue wawekezaji wanakuja na msimamo, wanaelewa different scenario za serikali mbali mbali ili wajipange vipi kutokana iliyepo madarakani na lengo ni kufaidika wao regardless wapo nchi gani, ata kama wanaenda US.

Kwa hivyo kitendo cha kuwaambia watu hadharani wakamalize majadiliano ambayo ni tactical is just complacent. Aache watu wafanyekazi sio kutafuta cheap popularity za majukwaani.
 
ungetueleza ni kitu gani kilikwamisha hayo mazungumzo, la sivyo kama hujui bora unyamaze, mama ana taarifa zote anajua anachofanya
Kitendo cha ku push negotiators hadharani tu wakamalize majadiliano inaonyesha hajui, vinginevyo angewaita privately wakamalize kuliko kuwapa bargaining power investors publicly.
 
SSH is naive, anaenda kuingiza nchi kwenye hasara kwa sababu ya ujinga wake, huwezi lazimisha negotiations iishe bila kujali nini tutapata, HGA ilikuwa inasuasua sababu ya PSA policy mpya ambayo IOCs waliona inawaminya, kwa lugha rahisi SSH anawaambia TPDC waachie chochote walichokuwa wanapigania wasaini mikataba, huu ni mkataba wa 30bn USD ( 70 trl Tzs ), haraka ni ya nini?
Hiyo PSA Policy ambayo IOCs waliona inawaminya, ilikuwa inawaminya kivipi hebu iweke hapa tuone, unapo sema hasara kubwa ni hasara gani?
 
SSH ameshatoa agizo TODC wamalize negotiations haraka, hizi ni akili kweli, hivi unafikiria saivi TPDC wakiwa wanaingia kwenye chumba cha majadiliano watakuwa wana uwezo kukataa chochote huku tayari wamesha agizwa wasaini mkataba haraka ?
Kwani mkuu wamalize negotiations mapema unaelewa nini?
 
Thanks for this info. Najisikia vibaya kwa mimi kuwa ni mmoja wa pressure groups tulioshinikiza mradi huu uchelewe ni kwasababu. Sasa maadam Mama kasema majadiliano yaendelee, sisi pressure group, nasi sasa inabidi tulainike tuu, hata kama ni kuibiwa gesi yetu mchana kweupe, na tuibiwe tuu as long as at least we get something, than hali ilivyo sasa, we are getting nothing!.

P
LNG ni good project ila nataka niweke mambo kidogo yawe clear hakuna mtu anaiba ila unaweza kukubali mkataba mbaya. Kwa ujuzi wangu unapokuwa na PSA na mwekezaji unakuwa na muda maalumu na Gas sio mali ya muwekezaji. Gas ni mali ya nchi muwekezaji anatumia pesa zake kwenye mradi kuitia Gas na kuiongeza thamani sasa hapa wote wanahitajiana. Kawaida ya PSA kuna capital exp na operating cost kama wamewekeza 30 Billion unaweza kusema miaka 30 mpaka PSA iishe na serikali hawatumii hata cent ila wanapata 30% ya revenue baada ya kutoa tax na operating cost na serikali inawafidia gharama zao za uwekezaji kwa % hiyo 70 ila kila wanavyokuwa mtaji wao unarudi % ya serikali inapanda au uzalishaji ukiongezeka % ya serikali inapanda sio muwekezaji, na hii muhimu kwa sababu mnalinda prove reserve ya Gas vinginevyo wanaweza kuzalisha kwa speed na kuharibu reserve sababu wana 30 years ni lazima uko control ni muhimu sana. ila ikifika 30 years ile kampuni inabidi iachie kila kitu serikali hawaruhusiwi kuchukuwa hata kiti kwa sababu mmeshawarudishia capital yao na faida juu. swala kubwa hapa usiruhusu waongeze capital exp bila kuwa na ulazima maana wanaweza kuwa wanadai tu kwa hiyo capital exp lazima mshirika serikali aipitishe, na pia operating budget lazima serikali ipitishe sababu inapunguza faida, kuna mambo mengi yanatakiwa kufanyika mwisho wa siku mkiwa na watu waaminifu upande wa serikali mnafanya biashara vizuri tu kuna nchi kibao wanafaidika. Kitu kikubwa sana kuilinda reservoir na kujuwa je miaka 30 itakuwa imeisha kiasi gani. ikitokea wamefanya ugunduzi wa reservoir mpya au visima vipya au equipments mpya ni CAPEX wanafidiwa. natamani niandike tu ila sioni ugumu uko wapi hapa.
 
LNG ni good project ila nataka niweke mambo kidogo yawe clear hakuna mtu anaiba ila unaweza kukubali mkataba mbaya. Kwa ujuzi wangu unapokuwa na PSA na mwekezaji unakuwa na muda maalumu na Gas sio mali ya muwekezaji. Gas ni mali ya nchi muwekezaji anatumia pesa zake kwenye mradi kuitia Gas na kuiongeza thamani sasa hapa wote wanahitajiana. Kawaida ya PSA kuna capital exp na operating cost kama wamewekeza 30 Billion unaweza kusema miaka 30 mpaka PSA iishe na serikali hawatumii hata cent ila wanapata 30% ya revenue baada ya kutoa tax na operating cost na serikali inawafidia gharama zao za uwekezaji kwa % hiyo 70 ila kila wanavyokuwa mtaji wao unarudi % ya serikali inapanda au uzalishaji ukiongezeka % ya serikali inapanda sio muwekezaji, na hii muhimu kwa sababu mnalinda prove reserve ya Gas vinginevyo wanaweza kuzalisha kwa speed na kuharibu reserve sababu wana 30 years ni lazima uko control ni muhimu sana. ila ikifika 30 years ile kampuni inabidi iachie kila kitu serikali hawaruhusiwi kuchukuwa hata kiti kwa sababu mmeshawarudishia capital yao na faida juu. swala kubwa hapa usiruhusu waongeze capital exp bila kuwa na ulazima maana wanaweza kuwa wanadai tu kwa hiyo capital exp lazima mshirika serikali aipitishe, na pia operating budget lazima serikali ipitishe sababu inapunguza faida, kuna mambo mengi yanatakiwa kufanyika mwisho wa siku mkiwa na watu waaminifu upande wa serikali mnafanya biashara vizuri tu kuna nchi kibao wanafaidika. Kitu kikubwa sana kuilinda reservoir na kujuwa je miaka 30 itakuwa imeisha kiasi gani. ikitokea wamefanya ugunduzi wa reservoir mpya au visima vipya au equipments mpya ni CAPEX wanafidiwa. natamani niandike tu ila sioni ugumu uko wapi hapa.
Point kubwa nimesehau kila miaka inavyokwenda kwa kuwa mtaji unarudi % ya serikali inapanda ikifika mtaji umerudi sasa ni faida tu utakuwa kampuni 30% na serikali 70% ikiisha 30 years ni mali ya serikali 100% unless wakitaka kuwapa kama operators tu mnawapa labda 15%.
 
LNG ni good project ila nataka niweke mambo kidogo yawe clear hakuna mtu anaiba ila unaweza kukubali mkataba mbaya. Kwa ujuzi wangu unapokuwa na PSA na mwekezaji unakuwa na muda maalumu na Gas sio mali ya muwekezaji. Gas ni mali ya nchi muwekezaji anatumia pesa zake kwenye mradi kuitia Gas na kuiongeza thamani sasa hapa wote wanahitajiana. Kawaida ya PSA kuna capital exp na operating cost kama wamewekeza 30 Billion unaweza kusema miaka 30 mpaka PSA iishe na serikali hawatumii hata cent ila wanapata 30% ya revenue baada ya kutoa tax na operating cost na serikali inawafidia gharama zao za uwekezaji kwa % hiyo 70 ila kila wanavyokuwa mtaji wao unarudi % ya serikali inapanda au uzalishaji ukiongezeka % ya serikali inapanda sio muwekezaji, na hii muhimu kwa sababu mnalinda prove reserve ya Gas vinginevyo wanaweza kuzalisha kwa speed na kuharibu reserve sababu wana 30 years ni lazima uko control ni muhimu sana. ila ikifika 30 years ile kampuni inabidi iachie kila kitu serikali hawaruhusiwi kuchukuwa hata kiti kwa sababu mmeshawarudishia capital yao na faida juu. swala kubwa hapa usiruhusu waongeze capital exp bila kuwa na ulazima maana wanaweza kuwa wanadai tu kwa hiyo capital exp lazima mshirika serikali aipitishe, na pia operating budget lazima serikali ipitishe sababu inapunguza faida, kuna mambo mengi yanatakiwa kufanyika mwisho wa siku mkiwa na watu waaminifu upande wa serikali mnafanya biashara vizuri tu kuna nchi kibao wanafaidika. Kitu kikubwa sana kuilinda reservoir na kujuwa je miaka 30 itakuwa imeisha kiasi gani. ikitokea wamefanya ugunduzi wa reservoir mpya au visima vipya au equipments mpya ni CAPEX wanafidiwa. natamani niandike tu ila sioni ugumu uko wapi hapa.
Kabisa

Tazama sasa walichofanya kwenye madini makampuni yanabadilishana mgodi tu kila mtaji wao unaporudi, uwekezaji wenyewe wa awali ulikuwa kama $2 billion dollars tu na hao watu wanapewa capital allowance kwenye machinery.

Unajiuliza how is it possible zaidi ya miaka ishirini bado hisa zetu ndio kwanza 17% ina maana hao jamaa awajarudisha hiyo investment capital, tena hapo ndio Magufuli kafanya fujo kweli kuzipata hizo hisa maana ACCACIA were unwilling, mpaka Barrick alipoingilia kati yaishe.

Halafu watu wanashabikia raisi kupush watu kwenda kumalizia majadiliano mambo ambayo ukikosea utalia kweli kweli; sio kwamba hao watu wanaelewa nature za majadiliano yenyewe ni kujipengekeza tu kisiasa au sijui ndio kumtetea mama without boundaries whichever suits their nonsense.
 
Point kubwa nimesehau kila miaka inavyokwenda kwa kuwa mtaji unarudi % ya serikali inapanda ikifika mtaji umerudi sasa ni faida tu utakuwa kampuni 30% na serikali 70% ikiisha 30 years ni mali ya serikali 100% unless wakitaka kuwapa kama operators tu mnawapa labda 15%.
Wewe unajua haya mambo, Tanzania ukiangalia kwenye madini tu unaona walivyopigwa.
 
Wewe unajua haya mambo, Tanzania ukiangalia kwenye madini tu unaona walivyopigwa.
Na bahati mimi nafanya kazi katika mambo haya na nilitamani na nishawahi kukutana mkuu mmoja siku nyingi nikamwambia na tamani nitoe tu msaada katika hii sector bure kabisa low profile sababu ajira ninayo nzuri tu lakini kutamani kuchangia tu na akapenda sana bahati mbaya alifariki. Sababu nilikuwa sielewi nini shida? kwanini tunashindwa kujadili PSA bora kabisa mwisho wa siku ni majadiliano lakini basic za PSA hazibadiliki.
 
Na bahati mimi nafanya kazi katika mambo haya na nilitamani na nishawahi kukutana mkuu mmoja siku nyingi nikamwambia na tamani nitoe tu msaada katika hii sector bure kabisa low profile sababu ajira ninayo nzuri tu lakini kutamani kuchangia tu na akapenda sana bahati mbaya alifariki. Sababu nilikuwa sielewi nini shida? kwanini tunashindwa kujadili PSA bora kabisa mwisho wa siku ni majadiliano lakini basic za PSA hazibadiliki.
Professor Muhongo alipoletwa kutoka S.A jambo la kwanza alilofanya lilikuwa kutengeneza sheria za PSA frameworks za majadiliano. Before that hata sijui walikuwa wanaingia mikataba ya aina gani.

Baada ya sheria za Muhongo serikali ilikuwa aiwezi kutumia any other agreement kwenye kutengeneza mikata ya Oil and Gas zaidi ya PSA tena aliweka na madaraja kabisa ya government share based on reserve amount za visima the higher the reserve goes with government higher shares.

Hilo jambo linaweza kuwa na ukakasi kidogo kutokana na nature of the market prices but it was the best approach which required some amendments. Who knows ni frameworks zipi walitumia huko nyuma zinazofanya Barrick mpaka apate 50% of economic benefits leo it’s absurd.

Kasheshe sasa huyo Professor Muhongo pamoja na kuokoa jahazi, hizo sheria za PSA zilipita kwa hati ya dharura na kuna watu walikuwa wanalilia vitalu vya bure kina marehemu mengi ili baadae wafanye udalalali wa visima. Akawaambia ukweli watanzania wanamitaji ya viwanda vya juisi tu, vinginevyo na wao waka-bid vitalu kama wawekezaji; hayo matusi aliyopokea mungu anajua.

Sasa leo kuna mafisadi wamekimbilia kununua viwanja kusini kwenye maeneo ya mradi na bei za fidia wameziongeza, wao wanachotaka mradi uanze walipwe fidia to hell na mambo mengine, hawa ndio wapiga makelele wakubwa mitandaoni mradi uanze.
 
Back
Top Bottom